Mazingira FM
Mazingira FM
5 June 2025, 6:15 pm
Jamii yatakiwa kisikiliza vyombo vya habari ili kujifunza masuala mbalimbali kama vile afya, elimu, mazingira n.k Na Adelinus Banenwa Wanafunzi wa kidato cha nne kutoka shule ya Sekondari ya Manyamanyama iliyopo halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wametembelea na…
5 June 2025, 3:35 pm
Mwalimu wa Malezi amesema kuwa msaada huo utasaidia kuinua mahudhurio na morali ya kitaaluma kwa wanafunzi wa kike. Na Taro Michael Mujora Katika kuunga mkono jitihada za kuinua elimu ya mtoto wa kike, Kanisa la PAGT Balili kwa kushirikiana na…
4 June 2025, 10:54 am
Bunda kuna jumla ya vikundi 31 vya ulinzi shirikishi ambavyo vipo hai na katika maeneo hayo matukio ya uharifu yamepungua kwa kiasi kikubwa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa sehemu zenye vikundi vya ulinzi shirikishi yaani polisi jamii wilayani Bunda matukio…
29 May 2025, 7:54 pm
Kwa mujibu wa muongozo uliopo wakulima wote wa zao la pamba wamesamehewa madeni ya mkopo wa pembejeo. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewaagiza AMCOS kujiepusha na udanganyifu wa kilo za pamba kwa lengo la kukwepa…
29 May 2025, 1:00 pm
Kobe ni wanyama kama walivyo wanyamapori wengine na wanalindwa kisheria tuwatunze. Na Catherine Msafiri, Jamii imetakiwa kuendelea kuwatunza na kuwalinda kobe kwaajiri ya manufaa ya vizazi vijavyo kwani ujangili dhidi yao unahatarisha uwepo wa mnyama kobe kwa miaka ijayo. Hayo…
28 May 2025, 6:52 pm
Siku ya Hedhi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 28 Mei, ni jukwaa la kimataifa linalotumika kuongeza uelewa kuhusu hedhi kama hali ya kawaida ya kibaiolojia. Na Adelinus Banenwa Lengo kuu la maadhimisho haya ni kuondoa unyanyapaa unaozunguka hedhi, kuhamasisha…
28 May 2025, 6:38 pm
Amewataka wananchi na wanachama wa chama hicho kuwa makini na watu wanaotoka nje ya nchi na kutaka kuleta vurugu na chokochoko hapa nchini. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Bunda ndugu Mohamed Juma Msafiri amewataka wananchi na wanachama…
24 May 2025, 8:41 pm
Ni jukumu la vijana hao kuhakikisha wanwalinda viongozi pia wanajitokeza kugombea nafasi za uongozi pindi mchakato wa chama utakapoanza Na Adelinus Banenwa Katibu wa jumuiya ya umoja wa vijana chama cha mapinduzi wilaya ya Bunda Pendo Machilu amewataka vijana kuacha…
16 May 2025, 5:25 pm
Wamesema kuwa ziara hiyo imewapanua uelewa wao kuhusu namna vyombo vya habari vinavyofanya kazi. Na Taro Michael Wanafunzi wa kidato cha nne kutoka Shule ya Sekondari Migungani, iliyopo wilayani Bunda, mkoani Mara, wamefanya ziara ya kielimu katika Redio Mazingira FM…
16 May 2025, 2:16 pm
Ni wajibu wa baraza la madiwani kujua miradi inayotekelezwa katika maeneo yao na kuisimamia ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Ndugu Salumu Mtelela ameitka halmashauri ya wilaya ya Bunda kukamilisha miradi inayoendelea kutekelezwa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com