Mazingira FM
Mazingira FM
20 June 2025, 6:44 pm
Miradi iliyotekelezwa katika kipindi cha miaka mitano ni katika sekta ya elimu, Afya, Maji, Umeme pamoja na Barabara Na Adelinus Banenwa Kata ya Manyamanyama, iliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara, imepokea zaidi ya shilingi bilioni 2.28 kwa ajili…
20 June 2025, 9:35 am
Mambo ya kuzingatia nipamoja na AMCOS kutochezea mizani, wananchi kutobeba au kuhifadhi pamba kwenye sandarusi na makampuni kujitahidi kununua pamba kwa ushindani. Na Adelinus Banenwa Zikiwa zimetimia siku 20 tangu kufunguliwa kwa msimu wa ununuzi wa zao la pamba wilayani…
20 June 2025, 6:58 am
Mradi huo una urefu wa kilometa 33 kuanzia kwenye tenki mpaka Nyamuswa ambapo wananchi wote wanaopitiwa na mradi huo watanufaika. Na Adelinus Banenwa Wananchi wapatao elfu 51 wanatarajiwa kunufaika na upanuzi wa mradi wa Butiama Nyamuswa ambao unatokea katika mradi…
19 June 2025, 10:57 am
Miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilion 5.7 imetekelezwa Bunda stoo kwa miaka mitano. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana kutoogopa kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi October mwaka huu. Wito huo…
14 June 2025, 4:29 pm
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Evans Alfred Mtambi na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Bunda Charles Manumbu,Piacha na Thomas Masalu Ameitaka Halmashauri hiyo kuongeza vyanzo vya ndani vya mapato na kufanya upembuzi yakinifu katika shughuli za uchimbaji madini…
14 June 2025, 4:21 pm
Damu inakaa salama ndani ya siku 35 tu na ikizidi hapo inakua si salama kwa matumizi. Na Catherine Msafiri Ikiwa Tanzania inaungana na mataifa mengine Duniani kuadhimbisha siku ya mchangia damu Mratibu wa Damu Salama wa Wilaya ya Bunda Bi.…
14 June 2025, 10:15 am
Mara nyingine wagonjwa wanaohitaji damu hukosa huduma hiyo kwa wakati kutokana na ucheleweshaji, au mfumo usio wa wazi katika benki ya damu. Na Fabian Ndomi Baadhi ya wakazi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, hasa kutoka kata za Nyamakokoto na…
13 June 2025, 4:07 am
Mhe. Mtambi ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kupata hati safi na kuwa na hoja chache za ukaguzi ukilinganisha na Halmashauri nyingine za Mkoa wa Mara ambazo zinahoja nyingi. Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Evans Alfred Mtambi leo…
11 June 2025, 11:27 am
Kiasi cha shilingi bilion 5.71 kimetolewa na serikali kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa kata ya Bunda stoo katika kipindi cha miaka mitano yaani 2021 na 2025. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi bilion tano milioni miasaba…
9 June 2025, 7:15 pm
Baadhi ya wazee wameitaka serikali iwatambue wazee kwamba wapo, pia iwahudumie hasa katika sera ya matibabu bure kwa wazee maana wakati mwingine hukosa dawa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa wazee wawili (2)hadi watatu…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com