Mazingira FM
Mazingira FM
15 September 2025, 22:53
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Mtambi amesisitiza umuhimu wa kuimarisha juhudi za pamoja za uhifadhi, pamoja na kuendeleza mshikamano baina ya jamii zinazozunguka bonde hilo. Na Catherine Msafiri, Maadhimisho ya Mara Day yamehitimishwa leo 15 septemba 2025 katika viwanja…
15 September 2025, 19:41
Ndugu Lukas amesema azma yake kubwa ni kuiletea kata hiyo maendeleo endelevu kwa kusimamia ipasavyo miradi ya barabara, kufufua soko la Nyamakokoto Na Catherine Msafiri, Mgombea udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kata ya Nyamakokoto, Halmashauri ya Mji wa Bunda…
15 September 2025, 18:32
Afisa Kilimo kutoka Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Mara Pamba Mara Cooperative Fikiri Maregesi Mauna ameiomba serikali kufufua viwanda vilivyopo mkoani Mara. Na Catherine Msafiri, Afisa Kilimo kutoka Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Mara Pamba Mara Cooperative Fikiri…
14 September 2025, 20:29
Katibu wa NEC Uchumi na Fedha (MCC) Ndg. Joshua Mirumbe leo tarehe 14 Sept 2025 amezindua kampeni za uchaguzi kwa wilaya ya Maswa yenye majimbo mawili ya uchaguzi ambayo ni Maswa. Mashariki na Maswa Magharibi. Akizungumza na wananchi wa Jimbo…
14 September 2025, 10:33
Mhomboje amesisitiza kuwa zoezi la uchaguzi linawahusu Watanzania pekee, na kwamba raia wa kigeni hawaruhusiwi kushiriki kwa namna yoyote ile. Na Edward Lucas Wananchi wametakiwa kutokuwa na hofu kutembelea ofisi za Uhamiaji kwa ajili ya kuuliza na kupata taarifa mbalimbali…
14 September 2025, 10:16
Mirumbe akiwa mgeni rasmi amewanadi wagombea wa CCM kuanzia kwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan, ubunge Ndugu Jafari Wambura Chege na madiwani wote kutoka kata 26 za jimbo la Rorya. Na Adelinus Banenwa Katibu wa…
13 September 2025, 06:56
Viongozi wa kisiasa na wanaharakati wa kupinga ukatili wameweka wazi namna tatizo hili linavyowaathiri wanawake. Na Dinnah Shambe Wanawake wengi wanaojitokeza kuwania nafasi za kisiasa hukumbana na kikwazo kikubwa-rushwa ya ngono,hali hii si tu inawakatisha tama,bali pia inazima ndoto za…
13 September 2025, 06:41
Wanauwezo wa kujenga hoja, kusimamia masilahi ya Taifa, ujenzi wa Uchumi Imara na huduma za jamii kamavile miundombinu, Elimu na Afya. Na Adelinus Banenwa Ndugu Joshua Chacha Mirumbe. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha na Mjumbe wa Kamati Kuu ya…
12 September 2025, 11:47
Kwa mujibu wa kifungu cha 70(1) cha sheria ya utawala wa kodi sura 438 na kifungu cha 249 cha sheria ya forodha ya jumuiya ya Afrika mashariki ya mwaka 2004 , Na Catherine Msafiri, Imeelezwa kuwa mamlaka ya mapato Tanzania…
11 September 2025, 21:04
“Inaonesha mzee huyo amejinyonga kutokana na msongo wa mawazo kwa kuwa ni kama familia yake ilikuwa haimjali” Na Adelinus Banenwa Mzee mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Odondo mwenye umri wa miaka 93 mkazi wa kijiji cha Nyaburundu kata ya…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com