

9 September 2024, 4:10 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda ameelekeza halmashauri ya wilaya ya Bunda kumuacha mkaguzi wa ndani kufanya kazi yake. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda ameelekeza halmashauri ya wilaya ya Bunda kumuacha mkaguzi wa ndani kufanya kazi yake. Huku…
9 September 2024, 4:00 pm
Baraza la madiwani Bunda DC lamchagua tena Keremba Irobi diwani kuwa mwenyekiti wa halmashauri kwa mara ya nne mfururizo. Na Adelinus Banenwa Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limemchagua diwani wa kata ya Nyamang’uta Mhe Kilemba Irobi Kilemba…
9 September 2024, 12:38 pm
“Mwenyekiti nawapongeza mmejitahidi ukusanyaji wa mapato mwaka wa fedha 2023 na 2034 endeleeni kushirikiana” Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Naano Ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Bunda kwa ukusanyaji wa mapato na ukamilishaji wa miradi kwa…
8 September 2024, 7:19 pm
Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Bunda wailalamikia wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini RUWASA kwa kusababisha changamoto kubwa ya maji kwenye maeneo ya vijijini. Na Adelinus Banenwa Baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limelalamikia Wakala…
5 September 2024, 8:28 pm
Zoezi la ulipaji fidia likiwa limefunguliwa rsmi kwa wakazi wa kata ya Nyatwali, mbunge wa Bunda mjini ataka mambo kadhaa yazingatiwe ikiwemo riba ya asilimia saba kutokana na kucheleweshwa kwa fidia zao Na Adelinus Banenwa Serikali imeridhia kulipa asilimia saba…
5 September 2024, 12:08 am
Kaimu mganga mkuu halmashauri ya mji wa Bunda (TMO), Dr Yusuph Steven Wambura amewasisitiza watumishi idara ya afya kuhakikisha wanatoa lugha nzuri kwa wateja wanapofika kupata huduma Amesema amekwisha ongea na watumishi na kuwaelekeza kuwa ” sasa hivi sio zamani…
29 August 2024, 6:28 pm
Watu watatu wamefariki dunia na wengine 13 kujeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika Kijiji cha Sanzate wilayani Bunda Mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Watu watatu wamefariki dunia na wengine 13 kujeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria…
29 August 2024, 10:42 am
Utani wa bodaboda vijiweni ulivyopelekea kifo cha mwenzao mmoja baada ya kuchomwa na kitu che ncha kali kifuani. Na Adelinus Banenwa Dereva pikipiki (bodaboda) aliyetambulika kwa jina la Abdullah Halfani John (41) amepoteza maisha akidaiwa kuchomwa na kitu chenye ncha…
28 August 2024, 1:46 pm
Wito umetolewa kwa viongozi kutoa taarifa sahihi na kwa wakata kwa wananchi ili kuepuka migogoro na kusambaa kwa taarifa za upotoshaji. Na Adelinus Banenwa Kamati ya siasa kata ya Nyasura ikiongozwa na mwenyekiti wa CCM wa kata hiyo ndugu Marco…
27 August 2024, 5:40 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda kwa niaba ya Rais Samia amekabidhi shilingi milioni tano kwa familia zilizopoteza ndugu ajali ya Kyandege Bunda na milion moja na laki nne kwa majeruhi wa ajali hiyo. Na Naomi Lumbe Mkuu wa wilaya Bunda …
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com