Mazingira FM
Mazingira FM
5 July 2025, 8:50 am
Matumizi ya mita za malipo ya kabla pia yatasaidia kuhimiza matumizi bora ya maji na kuongeza uwazi katika ulipaji wa huduma. Na Adelinus Banenwa Katika hatua ya kuimarisha huduma za usambazaji maji na kuondoa changamoto za malalamiko ya wateja kuhusu…
3 July 2025, 7:27 pm
Kwa mujibu wa Chonya idadi hiyo inaonesha mwitikio mkubwa wa wanachama wa CCM kushiriki katika mchakato wa kisiasa, hali inayoakisi ukuaji wa demokrasia ndani ya chama. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wagombea 42 wametia nia ya kuomba kuteuliwa kwenyenafasi ya …
3 July 2025, 10:09 am
Je, vyama vya siasa vina nafasi gani katika kuvunja vizingiti hivi? Na Edward Lucas na Dinnah Shambe Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Oktoba 2025, makala hii maalum ya redio inachambua kwa undani sababu zinazowafanya wanawake wengi kuogopa au kushindwa…
3 July 2025, 8:08 am
Ruhundwa amesema anaamini zaidi katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kila sekta kuleta maendeleo kutokana na ukuaji wa teknolojia duniani. Na Mwandishi wetu Katika kile kinachoonekana kuwa kiu ya kuwatumikia Wanangara na kuifanya Ngara kuwa kubwa…
30 June 2025, 12:25 pm
Bulaya amesema ameamua kurejea nyumbani baada ya kutafakari kwa kina, akieleza kuwa alihamia CHADEMA kwa kile alichokiita “mkopo wa kisiasa.” Na Adelinus Banenwa Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Esther Bulaya, amerejea rasmi…
27 June 2025, 9:50 am
“kikao hicho siyo kampeni badala yake ni kumshukuru kiongozi huyo kwa yale aliyoyafanya” Na Adelinus Banenwa Baraza la wazee wa chama cha mapinduzi kata ya Nyasura Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wamemkabidhi fedha kiasi cha shilingi elfu hamsini…
23 June 2025, 5:59 pm
Kwa baadhi ya jamii, wajane hulaumiwa kwa vifo vya waume zao, hutengwa kijamii, na mara nyingine hata kunyimwa urithi au mali walizochuma pamoja. Na Adelinus Banenwa Kila mwaka ifikapo tarehe 23 Juni, dunia huadhimisha Siku ya Wajane Duniani (International Widows…
21 June 2025, 3:48 pm
Safari ya Rhobi, mafanikio yake, changamoto, na mwito wake kwa wanawake Na. Edward Lucas Katika jamii inayokabiliwa na mila kandamizi na uwakilishi mdogo wa wanawake katika uongozi, Diwani Rhobi Ghati kutoka Kata ya Kiore, halmashauri ya wilaya ya Tarime, mkoani…
20 June 2025, 6:44 pm
Miradi iliyotekelezwa katika kipindi cha miaka mitano ni katika sekta ya elimu, Afya, Maji, Umeme pamoja na Barabara Na Adelinus Banenwa Kata ya Manyamanyama, iliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara, imepokea zaidi ya shilingi bilioni 2.28 kwa ajili…
20 June 2025, 9:35 am
Mambo ya kuzingatia nipamoja na AMCOS kutochezea mizani, wananchi kutobeba au kuhifadhi pamba kwenye sandarusi na makampuni kujitahidi kununua pamba kwa ushindani. Na Adelinus Banenwa Zikiwa zimetimia siku 20 tangu kufunguliwa kwa msimu wa ununuzi wa zao la pamba wilayani…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com