

19 September 2024, 8:52 pm
dalili kwa mama mwenye fistula ya uzazi ambapo ni pamoja na kutokwa na aja ndogo au kubwa kwa mfululizo bila kuwa na uwezo wa kujizuia, kutokwa na harufu mbaya ya mkojo au kinyesi miongoni mwa dalili zingine. Na Adelinus Banenwa…
19 September 2024, 2:57 pm
” Kabla ya kumkuta amejichoma kisu asubuhi jana alimeza dawa zangu vidonge saba na akaandika kikaratasi kama wosia akiaga watu yeye anadai eti amesambazwa kwenye mtandao wa tiktok kwamba ni shoga” Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la…
18 September 2024, 7:04 pm
“Mimi kama mkuu wa wilaya ya Bunda siwezi kukubali ujambazi kama huu wa kuwadhurumu wananchi haiwezekanai mtu akope milioni moja alafu alipe milioni kumi huu ni ujambazi” DC Vicent Naano. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt…
17 September 2024, 2:58 pm
Wakati mbunge wa jimbo la Bunda mjini akitoa msaada wa mahindi kwa wahanga wa upepo Sazira diwani wa kata hiyo aomba wadau wengine kujitokeza kuwashika mkono Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto atoa…
17 September 2024, 2:29 pm
Upatikanaji wa maji eneo la kisiwani Kilimani kitawezesha wanawake kuepukana na adha ya kuamka asubuh sana na kutembea umbali mrefu kufuata maji. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa mtaa wa kilimani (kisiwani) kata ya Bunda stoo waishukuru mamlaka ya Maji na…
13 September 2024, 9:46 am
Walimu wanatakiwa kutumia fursa zinazowazunguka kubuni miradi mbalimbali ya kiuchumi hata kama wanamitaji midogo. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa uoga wa kupata huduma kwenye taasisi rasmi za kifedha na ukosefu wa elimu juu ya matumizi sahihi ya mikopo nimiongoni mwa…
12 September 2024, 5:10 pm
Diwani wa kata ya Bunda stoo aahidi kuwafanya viongozi wote wa CCM kwenye kata yake kupata sare za chama ifikapo 2025 Na Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Bunda stoo Mhe Flavian Chacha (CCM) Nyamageko ameendelea na zoezi la kuwapatia…
12 September 2024, 4:34 pm
Mvua iliyokuwa imeambatana na upepo yaacha kilio kwa wakazi wa kata ya Sazira halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara baada ya nyumba kama 150 kuezuliwa na upepo na kuacha kaya zaidi ya 135 bila makazi. Na Adelinus Banenwa Zaidi…
9 September 2024, 4:39 pm
Udanganyifu wa umri kwenye zoezi la uandikisha na uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ni kosa kisheria. Na Adelinus Banenwa Zikiwa zimesalia siku mbili kutamatika kwa zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa Mkoa…
9 September 2024, 4:21 pm
Takribani miche ya miti million moja na elfu ishiri tayari imepandwa katika maeneo mbalimbali ya halimashauri ya wilaya ya Bunda Na Catherine Msafiri Takribani miche ya miti million moja na elfu ishiri tayari imepandwa katika maeneo mbalimbali ya halimashauri ya…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com