Mazingira FM
Mazingira FM
14 February 2023, 10:35
Hellena Emmanuel(23) mkazi wa Mwanza ni miongoni mwa abiria waliojeruhiwa vibaya kwenye ajali ya basi la Afrika Raha iliyotokea tarehe 12 Feb 2023 majira ya saa 9 alasiri eneo la Mwibagi Wilaya ya Butiama mkoani Mara Akizungumza na Radio Mazingira…
14 February 2023, 08:02
Katika kusherekea siku ya radio Duniani Mazingira fm imefanya Bonanza la michezo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukimbiza kuku ,kukimbia na yai kwenye kijiko, mchezo wa bao na mpira wa miguu, ikiambatana na utoaji wa elimu na chanjo ya uviko-19…
11 February 2023, 19:11
Wazazi na walezi wametakiwa kuwafundisha watoto waridhike na kile walichonacho ili kuwaepusha na vishawishi vinavyopelekea mimba za utotoni na kukatisha ndoto zao.Wito huo umetolewa jana tarehe 8 Feb 2023 na Afisa Ushirikiano kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la kuunganisha Uwezo…
11 February 2023, 18:52
Uongozi wa Kata ya Kabarimu Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara umefanya hafla fupi ya kuwapongeza walimu wa kata hiyo kwa kuonesha bidii kubwa katika ufundishaji unaoleta matokeo chanya kwa wanafunzi wao. Hafla hiyo fupi imefanyika jana tarehe 10…
1 February 2023, 15:56
Bashiri Kichere Nyitati mkazi wa Kibuyi Kata ya Nyamunga Wilaya ya Rorya Mkoani Mara anasakwa na jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji ya Mke wake Sesilia au Kulwa Cosmas Wang’anga kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali…
27 January 2023, 20:25
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Bunda Ndugu Leonard Magwayega amesema hajalidhishwa na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa choo na jengo lakufulia kituo Cha Afya Cha Mugeta kilichopo kata ya Mugeta Halmashauri ya Wilaya…
27 January 2023, 19:53
Halmashauri kuu ccm wilaya ya bunda chini ya mwenyekiti wa chama hicho ndugu pius magese mayaya imepokea taarifa ya utekelezaji wa ilani ya chama hicho kwa mwaka 2022. Akiwasilisha taarifa hiyo mhe mkuu wa wilaya ya bunda mhe Joshua Nassar…
25 January 2023, 08:29
Jumuiya ya wanawake chama cha mapinduzi wilaya ya Bunda UWT imechangia kiasi cha shilingi laki saba na mifuko hamsini ya saruji shule ya msingi Kabarimu ili kupunguza adha wanayoipata wanafunzi wa shuleni hapo wanaokaa chini kwenye vumbi wakati wa kusoma.…
25 January 2023, 07:49
Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira Bunda imewaonya wananchi wanaojiunganishia maji kinyemela bila taarifa ya mamlaka kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao pindi watakapobainika Hayo yamesemwa na Moyo Faya kutoka Mamlaka ya maji Bunda wakati wa ukaguzi…
23 January 2023, 16:30
Mkurugenzi wa radio Mazingira Fm ambaye pia ni Diwani wa kata ya Ketale Mhe Mramba Simba Nyamkinda amemkabidhi baiskeli ya magurudumu mawili kwa bi Ferda Wanjara mkazi wa kata ya Nyasura ambaye ni mama mzazi wa mtoto Elizabeth John mwenye…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com