Mazingira FM
Mazingira FM
14 October 2022, 5:23 pm
Diwani wa kata ya Ketare halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara ndugu Mramba Simba Nyamkinda ameahidi kutekeleza changamoto mbalimbali zilizopo katika shule ya sekondari Esperanto. Akizungumza wakati wa mahafali ya 8 ya kidato cha nne ya shule hiyo…
14 October 2022, 5:19 pm
Diwani wa kata ya Ketare ndani ya halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara Mhe Mramba Simba Nyamkinda amekabidhi vifaa vya shule mbalimbali vya shule kwa wanafunzi 19 wa shule ya msingi Ketare waliofanya vizuri katika mitihani ya nusu…
14 October 2022, 5:04 pm
Katibu Tawala Wilaya ya Bunda Moani Mara, Salumu Mtelela amepiga marufuku umoja wa Machinga kutoza faini wala kutoza ushuru katika masuala yanayohusu usafi wa Mazingira. Kauli hiyo ya Mtelela imekuja baada ya kupokea kero na malalamiko mbalimbali ya wafanyabiashara na…
14 October 2022, 5:01 pm
Vijana 72 kati ya 136 wameshindwa kuhitimu mafunzo ya jeshi la akiba ‘mgambo’ wilayani bunda mkoani mara 2022. Utovu wa Nidhamu, Utoro, Uelewa na Kutomudu gharama za kulipia sare ni moja ya changamoto zilizopelekea baadhi ya wanafunzi kushindwa kuhitimu mafunzo…
14 October 2022, 4:53 pm
Wito umetolewa kwa wanafunzi kujiepusha na masuala ya mahusiano ya kimapenzi angali wakiwa shuleni badala yake wajikite kwenye kusoma Hayo yamesemwa na katibu tawala wa Wilaya ya Bunda Mhe Salum Alfani Mterela wakati wa Ziara yake ambapo amezungumza na wanafunzi…
14 October 2022, 4:48 pm
Mkuu wa mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mzee ametatua mgogoro uliokuwepo kati ya wamiliki wa mashamba, wachimbaji Wadogo na wamiliki wa leseni ya uchimbaji wa madini mtaa wa Stooni Kata ya Guta halmashauri ya Mji wa Bunda. Rc Mzee…
10 October 2022, 8:01 am
Wananchi wa mitaa ya Zanzibar na Nyasura B kata ya Nyasura Halmashauri ya mji wa Bunda wamejitolea katika ujenzi wa madarasa mawili shule ya msingi Kilimani kutokana na uhaba uliopo shuleni hapo. Wakizungumza wakati wakichimba msingi tayari kwa kuanza…
25 September 2022, 8:58 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Joshua Nassar amezindua kambi ya matibabu kwa wangojwa katika hospitali ya wilaya ya Bunda Manyamanyama inayodhaminiwa na kamati ya kukuza na kuendeleza uislamu Tanzania Akizungummza katika uzinduzi huo mhe mkuu wa wilaya ameishukuru…
25 September 2022, 8:50 pm
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Jushua Nassar katikati katika semina ya TRA kwa wafanyabiashara Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Joshua Nassar amesema kuna haja na umuhimu mkubwa kwa wafanyabiashara kujua mabadiriko ya sheria ya Kodi ili kuondoa mkanganyiko baina…
13 September 2022, 7:49 am
Halmashauri ya Mji wa Bunda imepokea tani 30 za mahindi ya bei nafuu kutoka kwa wakala wa hifadhi ya chakula ya Taifa NFRA Akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake Katibu tawala Wilaya ya Bunda Salum halfani Mterela amesema…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com