Mazingira FM
Mazingira FM
27 September 2023, 12:45 pm
Wakazi wa Mcharo Sasa waanza kunywa maji ya Bomba ni ule mradi unaotekelezwa na RUWASA ambao mwenyekiti wa mtaa alinusurika kupigwa Na Adelinus Banenwa Wakazi wa Mcharo Sasa waanza kunywa maji ya Bomba ni ule mradi unaotekelezwa na RUWASA ambao…
27 September 2023, 12:24 pm
Lengo la upimaji wa maji ya mto huo ni kutaka kubaini hali ya afya ya mto Tigite katika vigezo vya asili na vya kisayansi, kazi hiyo imefanyika leo 26 sept 2023 Na Thomas Masalu. Maji ni kichocheo muhimu cha maendeleo…
26 September 2023, 3:25 pm
Shirika la WWF kwa kushirikiana na bonde la Ziwa Victoria wamefanya zoezi la kupima maji ya mto Tigite uliopo kijiji cha Matongo kata ya Matongo wilaya ya Tarime ili kubaini afya ya mto huo katika vigezo vya asili na vya…
23 September 2023, 8:06 am
“Natoa rai kwa wananchi wote washiriki kuhakikisha kwamba Faru wanaendelea kubaki kwa ajili ya kizazi kilichopo na cha baadaye” Dkt Vincent Mashinji Na Thomas Masalu. Imebainishwa kuwa uwepo wa mnyama faru katika hifadhi ya taifa ya Serengeti unavutia watu wengi…
22 September 2023, 5:25 pm
Mkuu wa mkoa wa Mara mhe Said Mohamed Mtanda ameipongeza halmashauri ya mji wa Bunda kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo kwa viwango na kasi inayoitajika. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa mkoa wa Mara mhe Said Mohamed Mtanda ameipongeza…
22 September 2023, 5:17 pm
Wafanyabiashara kupitia TCCIA wameiomba serikali kuweka mazingira rafiki na wezeshi ya kufanya biashara hasa kwa wafanyabiashara waliopanga kwenye majengo ya Umma kama vile stendi na sokoni. Na Adelinus Banenwa. Wafanyabiashara kupitia TCCIA wameiomba serikali kuweka mazingira rafiki na wezeshi ya…
22 September 2023, 4:01 pm
Wakazi wa mtaa wa Migungani kata ya Bunda stoo wameitaka serikali ya mtaa kuwasimamia wafugaji ili waache kuzururisha mifugo katika maeneo yao. Na Adelinus Banenwa Tatizo la mufugo kuzurura mitaani, upungufu wa huduma ya maji, na wananchi kutohudhuria vikao ni…
22 September 2023, 3:34 pm
Umoja wa vijana kutoka kanisa la Nyasura Baptist Wakiongozwa na mchungaji wao kiongozi Jeremiah Motomoto wamefanya ziara ya kuwatembelea wagonjwa hospital ya Bunda DDH Kwa lengo la kuwatia moyo na kuwaombea Na Adelinus Banenwa. Umoja wa vijana kutoka kanisa la…
22 September 2023, 2:53 pm
Wananchi wa mkoa wa Mara wameoneshwa kuridhishwa na huduma ya king’amuzi cha ZUKU kutokana na ubora wake wa muonekano wa picha. Na Thomas Masalu Wananchi wa mkoa wa Mara wameoneshwa kuridhishwa na huduma ya king’amuzi cha ZUKU kutokana na ubora…
22 September 2023, 2:26 pm
Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na BUFADESO wamewakutanisha wadau wa kilimo wilaya ya Bunda na kuunda jukwaa la kilimo. Na Thomas Masalu Kupitia mradi wa ASILI-B unaofadhiliwa na Vi Agroforestry, CSP kwa kushirikiana na…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com