Mazingira FM

Recent posts

4 March 2022, 6:00 pm

WAFUNGWA MIAKA 20 KWA KUKUTWA NA MENO YA TEMBO NA BUNDUKI,

Washitakiwa wanne wa Ujangili wamefungwa kila mmoja kifungo cha miaka 20 katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti kwa kukutwa na meno manne ya tembo na bunduki aina Riffle 458 kinyume cha Sheria. Waliokumbwa na adhabu hiyo katika kesi ya Uhujumu…

9 February 2022, 9:58 am

Serikali kuwalinda mangariba walioacha kukeketa

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amewapongeza Ngariba waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya ukeketaji baada ya kuacha kufanya vitendo hivyo na kisha kugeuka kuwa wanaharakati wa kukemea vitendo vinavyo dhalilisha utu wa mtoto…

3 February 2022, 9:40 am

Watanzania watakiwa kuwaamini wataalamu wa ndani

Wito umetolewa kwa wananchi kuendelea kuwaamini wataalamu wazawa wanaotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao na kuacha kuwabeza Hayo yamesemwa na mkurugezi wa kampuni ya AUDECIA Investiment  Eng Kambarage Wasira anayetekeleza mradi wa ujenzi wa barabara ya Guta –…

3 February 2022, 8:17 am

Tembo waua tena wawili na kujeruhi mmoja Bunda

Watu wawili wamepoteza maisha na mwingine mmoja kujeruhiwa baada ya kushambuliwa na tembo wakati wakijaribu kuwafukuza tembo waliokuwa wamevamia makazi ya watu katika mtaa wa Bushigwamala kata ya Guta, Wilaya ya Bunda mkoani Mara. Akizungumzia tukio hilo mwenyekiti wa mtaa…

29 January 2022, 6:48 pm

Tembo waharibu Ekari 50 za mahindi na mtama

Takribani ekari 50 za mahindi na 10 za pamba kata ya bunda stoo halmashauri ya mji wa bunda zimeliwa na tembo usiku wa kuamkia tarehe 28 jan 2022 Hayo yamesemwa na Afisa kilimo wa kata ya Bunda stoo Mboji Shibole…

20 January 2022, 7:55 pm

Madarasa 708 yajengwa kwa fedha za UVICO-19 mkoani Mara

Jumla ya madarasa 708 mkoani Mara yamejengwa kupitia mradi wa maendeleo ya ustawi wa taifa na mapambano dhidi ya UVICO 19. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Mara Ally Happi wakati wa ziara ya kukagua na kuzindua madarasa 48…

20 January 2022, 10:31 am

Serengeti: Wamuua kikongwe kwa ahadi ya laki tano

Watu wanne akiwemo mwanamke mmoja wakazi wa kijiji cha Rigicha wanashikiliwa na Polisi wilaya ya Serengeti kwa tuhuma ya mauaji ya kikongwe kwa ahadi ya ujira wa sh500,000 wakimtuhumu kwa ushirikina. Hata hivyo taarifa za awali zinadai kwamba hadi wanakamatwa…