Mazingira FM
Mazingira FM
5 October 2023, 11:56 pm
“Kabasa Sekondari ina madarasa 28 na yanayotumika ni 22 tu hivyo ina ziada ya madarasa 6” Na Edward Lucas Shule ya Sekondari Kabasa iliyopo Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara, imempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa…
4 October 2023, 7:29 pm
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Bunda BUWSSA inatarajia kufunga mita mpya takribani 6000 na kuondoa mita za zamani Na Catherine Msafiri Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Bunda (BUWSSA) Bi. Esther Gilyoma, amesema…
4 October 2023, 3:58 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mh. Dkt. Vicent Naano amemshukuru mbunge wa jimbo la Bunda Mjini Robert Chacha Maboto kwa kusaidia shule za jimbo la Bunda Mjini kwa kutoa madawati 1049 zilizopatikana kutokana na fedha za mfuko wa jimbo. Na…
4 October 2023, 3:44 pm
Katika kuadhimisha wiki ya huduma Kwa wateja banki ya NMB tawi la Bunda wametoa msaada wa madawati 100 kwa sule ya msingi ya Nyasura iliyopo kata ya Nyasura halamshauri ya mji wa Bunda mkoani Mara. Na Adelinus Banenwa Katika kuadhimisha…
30 September 2023, 1:50 pm
Ukosefu wa choo cha walimu na vifaa vya kuchapisha mitihani ni miongoni mwa changamoto katika shule ya msingi Kunzugu iliyopo Bunda Mkoani Mara. Na Edward Lucas Katika mahafali ya 42 shule ya msingi Kunzugu, Kambarage Wasira ametoa ahadi ya kuwapatia…
29 September 2023, 12:21 pm
Na Thomas Masalu Watalaamu wa WWF wametembelea kitalu cha miti cha Jumuiya ya watumia maji ya mto Mara kusini ( WUAs) kilichopo Kijiji cha Kwisaro kata ya Nyamimange wilaya ya Butiama katika lengo la kujionea shughuli zinavyoendelea katika utunzaji wa…
28 September 2023, 3:14 pm
Watalaamu wa Shirika la WWF leo 28 Sept 2023 wametembelea chanzo cha maji ya kisima cha Ryawaka kilichopo Kijiji cha Kwibuse Kata ya Kisumwa wilaya ya Rorya Mkoani Mara. Na Thomas Masalu Watalaamu wa Shirika la WWF leo 28 Sept…
28 September 2023, 12:49 am
Kupitia matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 mwanahabari unaweza kuhoji ili kuisaidia jamii Na Edward Lucas Kamisaa wa Sensa ya watu na makazi, Spika msaafu Mhe.Anna Makinda amewaasa waandishi wa habari kuhakikisha kuwa wanasoma taarifa ya…
27 September 2023, 11:11 pm
Je, mbinu iliyotolewa na WWF kuhifadhi mazingira kwa kufanya kilimo na ufugaji bora inatekelezwa? Na Thomas Masalu Mara ni Moja ya mikoa ya Tanzania zinazotegemea kilimo kama chanzo cha mapato na chakula kwa wananchi wake. Hata hivyo sekta hii muhimu…
27 September 2023, 3:14 pm
Shirika la WWF kwa kushirikiana na watalaamu wa bodi la bonde la ziwa Victoria wametembelea wakulima waliopatiwa mafunzo ya mbinu ya kilimo bora. Na Thomas Masalu Shirika la WWF kwa kushirikiana na watalaamu wa bodi la bonde la ziwa Victoria…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com