Mazingira FM
Mazingira FM
27 December 2023, 12:51 pm
Watu wawili wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba siku ya tarehe 25 wakati wakiendele na shughuli zao katika ufukwe wa ziwa Victoria. Na Adelinus Banenwa Watu wawili wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba siku ya tarehe 25 wakati…
27 December 2023, 12:45 pm
Mhe Robert Chacha Maboto Mbunge Jimbo la Bunda Mjini amesema Kwa Mwaka huu 2023 amefanikisha miradi mbalimbali kufanyika Kwa upande wa Afya, Elimu, miundombinu pamoja na Maji. Na Adelinus Banenwa Mhe Robert Chacha Maboto Mbunge Jimbo la Bunda Mjini amesema…
22 December 2023, 8:26 am
Mtoto aliyetambulika kwa jina la Nyambega Elisha Mbayi mwenye umri wa miaka 14 mwanafunzi wa darasa la saba shule ya msingi Bulamba ameshikwa na mamba wakati akiogelea katika mwalo wa kitongoji cha Mwaloni. Akizungumzia tukio hilo Afisa tarafa wa tarafa…
22 December 2023, 8:06 am
Serikali wilayani Bunda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutatua changamoto za wananchi katika sekta mbalimbali ikiwa ni kwa upande wa miundombinu, Elimu, Afya na Usuruhishi kwa kipindi cha mwaka 2023. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutatua…
16 December 2023, 4:04 pm
Wanafunzi 34 wa shule ya Sekondari Esperanto wakiwa wameambatana na walimu na viongozi wengine wa jumuiya ya Esperanto watembelea pori la Akiba Kijereshi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho kuzaliwa mwanzilishi wa lugha ya Esperanto. Na Edward Lucas Wanafunzi wa shule…
16 December 2023, 1:58 pm
Bank ya NMB kama wadau wa maendeleo imetoa Mabati 182 shule ya Msingi mihingo na vifaa vingine vya kuezekea. Vyenye thanan ya shilingi 11 milioni. Na Adelinus Banenwa Bank ya NMB kama wadau wa maendeleo imetoa Mabati 182 shule ya…
13 December 2023, 9:32 am
Jukwaa la wadau wa kilimo wilaya Bunda linalokutanisha halmashauri ya Bunda mji na Bunda Dc limerasimishwa rasmi kupitia kikao kilichofanyika Dec 8 mwaka 2023 katika ukumbi wa Shaloom mjini Bunda. Na Thomas Masalu Jukwaa la wadau wa kilimo wilaya Bunda…
13 December 2023, 9:17 am
Utafiti mdogo uliofanywa na Shirika la Civil Social Protection Foundation (CSP) kwa kushirikiana na shirika la MVIWANYA umebaini kuwa upatikanaji wa pembejeo ni changamoto kwa wakulima wadogo. Na Thomas Masalu Utafiti mdogo uliofanywa na Shirika la Civil Social Protection Foundation…
12 December 2023, 5:06 pm
Baraza la Madiwani Halmashauri ya wilaya ya Bunda limempatia hati ya pongezi Meneja TARURA wilaya ya Bunda Eng Baraka Mkuya. Na Adelinus Banenwa Baraza la Madiwani Halmashauri ya wilaya ya Bunda limempatia hati ya pongezi na fedha shilingi laki tano…
12 December 2023, 4:59 pm
Mhe Naibu waziri wa maji Maryprisca Mahundi amechangia tani mbili za saruji katika zahanati ya Kijiji Cha Tiring’ati. Na Adelinus Banenwa Mhe Naibu Waziri wa Maji Maryprisca Mahundi amechangia tani mbili za saruji katika zahanati ya kijiji cha Tiring’ati ikiwa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com