Mazingira FM
Mazingira FM
19 April 2024, 4:47 pm
Madaraka Nyerere atembelea shule yenye jina la Nyerere awataka wanafunzi kutunza mazingira awahaidi kuwakaribisha Butiama. Na Avelina Sulusi Wito umetolewa kwa Jamii kutunza mazingira na kuyashika mafunzo katika utunzaji wa mazingira ili iwe faidi kwao kwa baadaye Hayo yamesemwa na…
19 April 2024, 12:34 pm
Mwenyekiti wa CCM Bunda aitaka BUWASSA kutatua changamoto ya maji chuo cha ualimu Bunda. Na Theresia Thomas Wito umetolewa kwa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Bunda BUWSSA kutatua changamoto ya upungufu wa maji safi chuo cha ualimu…
18 April 2024, 12:07 pm
Kipindi kinachoelezea kwanamna gani mogororo ndani ya ndoa na familia invyoathiri haki zaw watoto wenye uleamvu – elimu kutoka shirika lisilo la kiserikali ATFGM-Masanga
17 April 2024, 11:55 pm
Mtoto mmoja afariki dunia na wengine watatu wanusurika kifo huku mwingine akijeruhiwa vibaya baada ya kupigwa radi wakiwa ndani ya nyumba kujikinga mvua. Na Edward Lucas Magreth Gomisi (7) amefariki dunia na ndugu zake watatu wakinusurika kifo huku mmoja akiwa…
17 April 2024, 6:09 am
Pikipiki 132 zimetolewa kwa viongozi wa Kata 33 CCM Bunda kwa lengo la kuimarisha uhai wa chama. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Bunda Ndugu Mayaya Abraham Magese amekabidhi pikipiki kwa makatibu wa CCM wa chama na Jumuiya…
16 April 2024, 12:13 pm
Viongozi wa CCM ngazi ya kata wakabidhiwa pikipiki waonywa kuzitumia kufanyia uhalifu. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa viongozi wa CCM ngazi ya kata waliopata pikipiki za chama kuepuka kutumia vyombo hivyo kufanya uhalifu. Wito huo umetolewa na Afisa wa…
13 April 2024, 6:34 pm
Mahakama ya willaya ya bunda imemuhukumu Mshtakiwa Frank Majani (18) kuchapwa viboko sita (6) baada ya kupatika na hatia kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa darasa la tano ambaye pia ni binamu yake. Na Adelinus Banenwa Jeshi la Magereza Bunda…
12 April 2024, 4:36 pm
Mwanamke mmoja liyetambulika kwa jina la Nyanjara Haruni Rubailo [48] amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake Bunda. Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja liyetambulika kwa jina la Nyanjara Haruni Rubailo [48] amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake Bunda. Akizungumza na Mazingira…
12 April 2024, 11:59 am
Kipindi kichoelezea umuhimu wa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana wenye ulemavu elimu kupitia shirika lisilo la kiserikali ATFGM-Masanga
11 April 2024, 11:23 am
Mrida Mshota ambaye ni mjumbe wa bodi ya wakurugenzi NARCO amefanikiwa kutetea nafasi yake ya uenyekiti wa wafugaji taifa katika uchaguzi uliofanyika 8 April 2024 Dodoma. Na Adelinus Banenwa Mrida Mshota ambaye ni mjumbe wa bodi ya wakurugenzi NARCO amefanikiwa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com