Mazingira FM

Recent posts

19 July 2024, 20:28

UWT Bunda wapigwa msasa kuelekea uchaguzi

Wito umetolewa kwa wanawake kujitokeza kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wanawake kujitokeza kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi serikali za mitaa 2024 na uchaguzi…

17 July 2024, 20:11

Maboto: Lazima kila mtanzania apate umeme

Kwa uzalishaji wa umeme uliopo kwa sasa lazima kila mtanzania apate umeme kwa sababu umeme tunao wa akutosha Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto ametoa shilingi milioni 4 kwenye mtaa wa Kyaragwita kata…

13 July 2024, 19:30

Waathirika wa tembo walia na malipo yao Bunda

Wananchi Bunda wamekerwa na malipo ya kifuta jasho na kifuta machozi kutokana na madhira ya wanyama waharibifu kuchelewa, wamedai inawachukua hadi miaka mitano, Mbunge Maboto amewatuliza na kusema bunge limeagiza serikali kumaliza tatizo hilo. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa kata…

13 July 2024, 09:27

Nyaburundu sasa kupata shule mpya ya sekondari

Kiasi cha shilingi milion 584 zimetolewa na serikali kujenga shule mpya ya sekondari katika kijiji cha Nyaburundu ambayo itasaidia wanafunzi kutoacha shule. Na Mariam Mramba Jumla ya shilingi milioni mia tano themanini na nne zimetolewa na serikali kwa ajili ya…

12 July 2024, 12:16

Maboto: Wananchi chagueni viongozi waadilifu serikali za mitaa

Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewataka wananchi kuchagua viongozi waadilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa ambao watakaowaletea Maendeleo Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewataka wananchi kuchagua…

7 July 2024, 17:56

Ndama kutetea nafasi yake kwenye uchaguzi

“Niko tayari kutetea nafasi yangu kwa kuwa kazi nilizozifanya ndani ya kipindi cha miaka mitano zinaonekana“ Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa Idara ya maji kata ya Bunda stoo halmashauri ya mji wa Bunda Ndugu Mtaki Bwire Ndama amesema atatetea nafasi…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com