Mazingira FM

Recent posts

24 May 2024, 10:43 am

Changamoto ya maji, barabara na umeme kupatiwa ufumbuzi Bunda stoo

ukosefu wa maji, umeme na barabara kwenye eneo la kisiwani mtaa wa Idara ya maji na Kilimani kupatiwa ufumbuzi hivi karibuni. Na Adelinus Banenwa Mhe Flavian Chacha Nyamageko diwani kata ya Bunda stoo amefanya mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero…

24 May 2024, 10:16 am

Hospitali ya mji wa Bunda yaanza kutoa huduma.

Kufunguliwa kwa huduma ya matibabu hospitali ya halmashauri ya mji wa Bunda inatajwa itapunguza adha kwa wakazi wa bunda stoo ambao walikuwa wakitembea umbali mrefu kufuata huduma za matibabu. Na Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Bunda stoo Mhe Flavian…

22 May 2024, 7:08 pm

65% ya wanafunzi Bunda hufeli mtihani kidato cha nne

Wazazi kutofatilia maendeleo ya watoto shuleni , utoro na ukosefu wa chakula shuleni chanzo cha wanafunzi wengi kufeli mtihani wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda chini ya mkuu wa wilaya dkt Vicent Naano imewasilisha utekelezaji wa ilani ya …

19 May 2024, 1:04 pm

Onyo! watumishi wasiyotoa ushirikiano kwa waandishi: RC Mtambi

“Kama wewe ni mtumishi wa serikali mkoa wa Mara na hutaki kutoa habari kwa waandishi mimi nakuona ni msaliti” Na Adelinus Banenwa Mkuu wa mkoa wa Mara Kanali Evance Mtambi ametoa onyo kwa watumishi wa serikali mkoani Mara wasiotoa ushirikiano …

11 May 2024, 7:41 pm

TAKUKURU yawataka wananchi kutambua viashiria vya rushwa kuelekea uchaguzi

TAKUKURU yaanza kujipanga kudhibiti matukio na vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi serikali za mitaa. Na Adelinus Banenwa Kujitoa kugombea, kusafirisha wapigakura, kununua au kuuza kadi ya mpiga kura ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa ni rushwa  katika kipindi cha uchaguzi.…

10 May 2024, 6:33 pm

Mrida; serikali inatushirikisha sisi wafugaji

Kwa mwaka wa 2023 ha 2024 zaidi ya majosho 246 nchi nzima hii inaonesha serikali inawajali wafugaji. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa wafugaji taifa Ndugu Mrida Mshota amewataka maafisa mifugo kuwatembelea wafugaji na kuwapatia elimu badala ya kukamata mifugo yao.…

7 May 2024, 2:40 pm

Waathirika wa mafuriko Lamadi wapongeza viongozi kuwatembelea

Na Edward Lucas Wahanga wa mafuriko kata ya Lamadi Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu wamewashukuru viongozi wa CCM mkoa na Mkuu wa Wilaya ya Busega kuwatembelea na kusikiliza changamoto zao. Wakizungumza na Radio Mazingira Fm kwa nyakati tofauti baada ya…

6 May 2024, 5:41 pm

Mafuriko yawaweka hatarini wakazi wa Lamadi Simiyu

Na Edward Lucas Wananchi wa Kitongoji cha Makanisani na Lamadi kata ya Lamadi wilaya ya Busega mkoani Simiyu wako hatarini kupata milipuko ya magonjwa baada ya vyoo kujaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Wakizungumza na Mazingira Fm wakazi hao…

5 May 2024, 6:22 pm

Ushirikiano na maslahi bora kwa walimu chachu kuongeza ufaulu Nyamakokoto

Serikali ikizishughulikia changamoto za walimu na wazazi wakiwa na ushirikiano na walimu itasaidia kiwango cha ufaulu kitaongezeka. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kushrikiana na walimu pamoja na serikali ili kuinua kiwango cha ufaulu wa wanafunzi shuleni…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com