Mazingira FM
Mazingira FM
21 June 2024, 1:19 pm
Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuzingatia lishe bora kwa watoto chini ya miaka mitano ili kuwa na watoto wenye afya bora Na Catherine Msafiri Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanazingatia lishe bora kwa watoto wao hasa wa mwaka 0…
19 June 2024, 6:01 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda atoa siku 11 kwa wakandarasi wanaolima barabara Bunda mjini wawe wamemaliza asema kwa sasa hakuna kisingizio cha mvua. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Anney Naano ametoa siku 11 kwa wakandarasi…
17 June 2024, 7:01 pm
“Wafanyabiashara msipende kutunza pesa zenu majumbani kuna hatari nyingi mfano moto, wezi n.k pelekeni benki fedha zitakuwa salama”, Raymond. Na Adelinus Banenwa Baadhi ya wafanyabiashara mkoani Mara wamelalamikia uwepo wa makato makubwa kwenye taasisi za kifedha hasa mabenki hali inayopelekea…
17 June 2024, 2:56 pm
Shirika la C-SEMA lapongezwa utoaji wa elimu ukatili dhidi ya wototo na wenye ulemavu. Na Adelinus Banenwa Shirika la C-SEMA limepokea hati ya pongezi katika maadhimisho ya siku ya kupinga ukatili dhidi ya wazee, yaliyofanyika Juni 15, 2024, wilayani Bunda,…
15 June 2024, 9:26 pm
Wazee 198 Bunda mjini kunufaika na bima ya afya kutoka kwenye mshahara wa mbunge jimbo la Bunda Mjini Mhe Robrt Chacha maboto. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto amesema kuanzia Juni 16, 2024…
14 June 2024, 6:44 pm
Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na masaa kadhaa tangu kuzaliwa ameokotwa baada ya kutupwa na mama yake punde tu baada ya kujifungua. Na Adelinus Banenwa Mtoto huyo jinsia ya kike ameokotwa leo June 14 mtaa wa Mapinduzi kata ya Bunda mjini …
14 June 2024, 5:05 pm
“Sisi kama wazee tutatoa tamko la suala la maadili haya kupinga ndoa za jinsia moja na ulawiti hapa nchini” Na Adelinus Banenwa Wazee wameiomba serikali kukemea matendo ya ukiukwaji wa maadili, mila na desturi kwenye jamii hasa kizazi cha sasa.…
14 June 2024, 4:47 pm
Utu,usalama na ustawi ni nyenzo ya kutokomeza ukatili dhidi ya wazee. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa serikali kusimamia program za mazoezi kwa wazee ili waweze kuwa na afya bora. Hayo yamesemwa na baadhi ya wazee kwenye siku ya kwanza…
8 June 2024, 5:39 pm
inadaiwa washtakiwa walimvamia Minza Kongo kisha kumkata mapanga na kuchukua vitu mbalimbali ikiwepo radio aina ya Subwoofer na pesa taslimu tshs 230,000/. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilya ya Butiama imewahukumu watu wawili kwenda jela miaka 30 kwa kosa la…
6 June 2024, 9:15 am
Kipindi kinachoelezea kwa namna gani ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu kwenye afua mbalimbali za kijamii unaleta mabadaliko ya kujitambua na kujithamini ili kufikia malengo yao – elimu kutoka shirika lisilo la kiserikali ATFGM-Masanga
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com