Mazingira FM
Mazingira FM
2 June 2024, 3:39 pm
Vijana watakiwa kujitambua na kuachana na tabia zisizofaa kwa kuwa wao ndiyo nguzo ya familia na jamii Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana kujitambua kuwa wao ndiyo nguvu ya familia na jamii hivyo hawana budi kuachana na makundi yasiyofaa…
30 May 2024, 8:26 pm
Mahakama yamuhukumu mshtakiwa miaka 30 jela kwa ubakaji, miaka 5 kwa kosa la kupoka, kulipa fidia ya milioni moja kwa mtuhumiwa na pia kuchapwa viboko 6. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya Butiama imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela…
30 May 2024, 2:01 pm
Fedha za mfuko wa jimbo la Bunda mjini ni kiasi cha shilingi milioni 58.7 za mwaka 2023 na 2024 zimetumika kwa kiasi kikubwa kutengeneza madawati. na Adelinus Banenwa Zaidi ya million 15 za mfuko wa jimbo mwaka 2023 na 2024…
29 May 2024, 6:51 pm
“wanafunzi hakikisheni mnayalina na kuyatunza madawati pia walimu hakikisheni mnayakarabati madawati yaliyoharibika” DC Naano Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano ameishukuru bank ya NMB kwa kutoa msaada wa madawati shule ya msingi Bigutu huku…
29 May 2024, 6:37 pm
Tuna kila sababu ya kumshukuru Rais Dr Samia kwa kuleta fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo kwa wananchi wilayani Bunda hasa kata ya Bunda stoo Na Adelinus Banenwa Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mara mhe Agness Mathew…
29 May 2024, 6:25 pm
Imetajwa kuwa chakula shuleni ni muhimu ili kuongeza hali ya mwanafunzi kufanya vizuri kitaaluma. Na Adelinus Banenwa Suala la ukosefu wa chakula mashuleni, walimu kutotimiza majukumu yao pamoja na ushilikiano kati ya wazazi na walimu imetajwa kama chanzo cha kushuka…
29 May 2024, 6:15 pm
halmashauri ya wilaya ya bunda yapewa kongole na mkuu wa wilaya kuhusu kusanyaji wa mapato Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Naano ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Bunda kwa utekelezaji wa miradi kwa ufanisi. Mhe Naano…
25 May 2024, 7:22 pm
Aliyekutwa akijisomea na kuandika notes kwa kutumia mwanga wa taa za barabarani huku akiuza karanga na miwa mjini Bunda usiku apewa zawadi na mkuu wa wilaya kama motisha. Furaha Hamis mwanafunzi wa shule ya sekondari Nyamakokoto aliyekutwa akijisomea chini ya…
24 May 2024, 12:38 pm
Wananchi watakiwa kushiriki kwenye miradi ya maendeleo inayokuja kwenye maeneo yao. Na Mariam Mramba Wananchi wa mtaa wa Nyasana kata ya Kabasa katika halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wamesema wapo tayari kujitolea nguvu kazi zao kwa kushirikiana na…
24 May 2024, 12:06 pm
“Vijana jiungeni na mafunzo ya jeshi la akiba hakuna mateso bali zipo fursa “ Na Mariam Mramba Imeelezwa kuwa wananchi kutokuwa na uelewa juu ya mafunzo ya jeshi la akiba na kutoshirikishwa katika mchakato wa kupata vijana wanaotakiwa kujiunga na…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com