Mazingira FM
Mazingira FM
6 November 2024, 21:03
Shirika la Bufadeso linatoa miche ya miti bure kwa taasisi ambazo zinatoa huduma kwa watu kama vile shule, vituo vya kutolea huduma za afya miongoni mwa taasisi zingine. Na Adelinus Banenwa Wakazi wa mtaa wa Maini kata ya Kabasa Halmashauri…
5 November 2024, 11:40
Zitakuwepo burudani mbalimbali zikiongozwa na msanii wa singeli Dullah Makabila, pamoja na vikundi vingine vingi kutoka mkoa wa Mara Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Bunda kujitokeza kwa wingi katika tamasha la uchomaji wa nyama (Bunda nyama choma…
1 November 2024, 19:24
Chama chateua mwanachama mwingine achukua fomu na kurejesha muda huohuo, chadai mazishi ya mwanachama wao ni jumapili. Na Adelinus Banenwa Aliyekuwa amepitishwa na chama cha mapinduzi kugombea nafasi ya uwenyekiti wa kijiji cha Isanju kata ya Ilamba wilayani Bunda ndugu…
31 October 2024, 15:01
Mwenyekiti wa CCM kata ya Nyasura asema makundi yote yaliyokuwepo kwenye kura za maoni yalishavunjwa awataka wanachama kujitokeza kwenye mikutano na kupiga kura atoa rai kwa vyama vya siasa kufanya kampeini za kistaarabu. Na Adelinus Banenwa Waliochukua fomu za kugombea…
30 October 2024, 10:15
Mradi huu ukikamilika utakuwa na uwezo wa kuhudumia wakazi elfu 33 pia unatarajiwa kujengwa ndani ya miezi mitano hadi kukamilika. Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira Bunda BUWSSA chini ya mkurugenzi Bi Esther Giryoma imetangaza mradi…
30 October 2024, 10:11
Wanachama wa CCM kata ya Sazira wachachamaa kuhusu mgombea wao kukatwa kisa hajui kusoma na kuandika wamkataa aliyepitishwa na halmashauri kuu ya wilaya. Na Adelinus Banenwa Wanachama wa chama cha mapinduzi mtaa wa Sazira B kata ya Sazira wamelazimika kurudia…
27 October 2024, 19:30
Kwa mujibu wa wanafamilia ni kuwa walipata chakula cha pamoja jana usiku bila tatizo lolote hadi pale asubuhi walipogundua baba yao amejinyonga huku bila kujua sababu hasa ya chanzo cha kujiua. Na Adelinus Banenwa Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la…
23 October 2024, 10:16
Kampeni ya ‘NI RAHISI SANA’ inayofanywa na TCRA inalengo la kuelimisha umma kuhusu fursa zilizopo kwenye mitandao Na Edward Lucas Watumiaji wa mitandao wamehimizwa kuitumia kwa tija ili kujipatia kipato na kuepuka matumizi ambayo hayana faida kwao. Wito huo umetolewa…
23 October 2024, 09:49
Wananchi wa mtaa wa nyasana wameipongeza mamlaka na serikali kwa ujumla kwa kuwakumbuka kuwafikishia huduma ya maji safi kwa kwa wametaabika kwa muda mrefu Na Adelinus Banenwa Mkurugenzi wa mamlaka ya maji na usafi wa mazingira Bunda BUWSSA Bi Esther…
22 October 2024, 14:12
Hifadhi ya taifa ya Serengeti imeshinda kwa mara ya sita mfurulizo tuzo ya kuwa hifadhi bora barani afrika Na Adelinus Banenwa Hifadhi ya taifa ya Serengeti imeshinda kwa mara ya sita mfurulizo tuzo ya kuwa hifadhi bora barani afrika Akizungumza…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com