Mazingira FM
Mazingira FM
5 September 2024, 12:08 am
Kaimu mganga mkuu halmashauri ya mji wa Bunda (TMO), Dr Yusuph Steven Wambura amewasisitiza watumishi idara ya afya kuhakikisha wanatoa lugha nzuri kwa wateja wanapofika kupata huduma Amesema amekwisha ongea na watumishi na kuwaelekeza kuwa ” sasa hivi sio zamani…
29 August 2024, 6:28 pm
Watu watatu wamefariki dunia na wengine 13 kujeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika Kijiji cha Sanzate wilayani Bunda Mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Watu watatu wamefariki dunia na wengine 13 kujeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria…
29 August 2024, 10:42 am
Utani wa bodaboda vijiweni ulivyopelekea kifo cha mwenzao mmoja baada ya kuchomwa na kitu che ncha kali kifuani. Na Adelinus Banenwa Dereva pikipiki (bodaboda) aliyetambulika kwa jina la Abdullah Halfani John (41) amepoteza maisha akidaiwa kuchomwa na kitu chenye ncha…
28 August 2024, 1:46 pm
Wito umetolewa kwa viongozi kutoa taarifa sahihi na kwa wakata kwa wananchi ili kuepuka migogoro na kusambaa kwa taarifa za upotoshaji. Na Adelinus Banenwa Kamati ya siasa kata ya Nyasura ikiongozwa na mwenyekiti wa CCM wa kata hiyo ndugu Marco…
27 August 2024, 5:40 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda kwa niaba ya Rais Samia amekabidhi shilingi milioni tano kwa familia zilizopoteza ndugu ajali ya Kyandege Bunda na milion moja na laki nne kwa majeruhi wa ajali hiyo. Na Naomi Lumbe Mkuu wa wilaya Bunda …
27 August 2024, 12:49 pm
Siku saba zimetolewa na katibu mwenezi CCM Balili kwa shule ya msingi na sekondari Rubana kufanya marekebisho ya vyoo vya wanafunzi ikiwa ni pamoja na huduma ya maji ili kuepuka magonjwa ya mlipuko. Na Adelinus Banenwa Chama cha mapinduzi CCM…
26 August 2024, 9:55 am
Idadi ya waliopoteza maisha katika ajali ya gari aina ya Hiace wilayani Bunda imefikia 9 huku majeruhi wakiendelea kupatiwa matibabu. Na Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Mugeta Mganga Jongora amesema tukio la ajali hiyo amezipata majira ya saa kumi…
26 August 2024, 9:44 am
Wanafunzi sita wa shule ya msingi Ochuna wilaya ya Rorya mkoani Mara wamefariki dunia wakidaiwa kuzama na kunasa kwenye tope. Na Adelinus Banenwa Wanafunzi sita wa shule ya msingi Ochuna wilaya ya Rorya mkoani Mara wamefariki dunia wakidaiwa kuzama na…
26 August 2024, 9:21 am
Vituo 1,597 ni sawa na ongezeko la vituo 50 ukilinganisha na vituo 1,547 vilivyotumika kwenye uboreshaji mwaka 2019/ 2020. Na Adelinus Banenwa Jumla ya vituo 1,597 mkoani Mara vimetengwa kutumika kwenye zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga…
23 August 2024, 6:14 pm
Halmashauri ya wilaya ya Bunda ina upungufu wa nyumba 500 za walimu ili kukidhi mahitaji ya walimu. Na Fadhil Mramba Halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara inakadiriwa kuwa na upungufu wa nyumba za walimu zaidi ya mia tano ambavyo…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com