Mazingira FM

Recent posts

13 September 2024, 9:46 am

NMB yawapiga msasa matumizi ya fedha walimu zaidi 200 Rorya

Walimu wanatakiwa kutumia fursa zinazowazunguka kubuni miradi mbalimbali ya kiuchumi hata kama wanamitaji midogo. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa uoga wa kupata huduma kwenye taasisi rasmi za kifedha na ukosefu wa elimu juu ya matumizi sahihi ya mikopo nimiongoni mwa…

12 September 2024, 5:10 pm

Diwani Flaviani wa Bunda stoo awafanya UWT kuwa kijani na njano

Diwani wa kata ya Bunda stoo aahidi kuwafanya viongozi wote wa CCM kwenye kata yake kupata sare za chama ifikapo 2025 Na Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Bunda stoo Mhe Flavian Chacha (CCM) Nyamageko ameendelea na zoezi la kuwapatia…

9 September 2024, 4:39 pm

Watoa taarifa za uongo zoezi la uboreshaji wapiga kura waonywa

Udanganyifu wa umri kwenye zoezi la uandikisha na uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ni kosa kisheria. Na Adelinus Banenwa Zikiwa zimesalia siku mbili kutamatika kwa zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa Mkoa…

9 September 2024, 4:21 pm

Zaidi ya miche ya miti milioni moja imepandwa Bunda DC

Takribani miche ya miti million moja na elfu ishiri tayari imepandwa katika maeneo mbalimbali ya halimashauri ya wilaya ya Bunda Na Catherine Msafiri Takribani miche ya miti million moja na elfu ishiri tayari imepandwa katika maeneo mbalimbali ya halimashauri ya…

9 September 2024, 4:10 pm

DC Bunda; “Muacheni mkaguzi wa ndani afanye kazi yake”

Mkuu wa wilaya ya Bunda ameelekeza halmashauri ya wilaya ya Bunda kumuacha mkaguzi wa ndani kufanya kazi yake. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda ameelekeza halmashauri ya wilaya ya Bunda kumuacha mkaguzi wa ndani kufanya kazi yake. Huku…

9 September 2024, 4:00 pm

Diwani Keremba achaguliwa tena makamu mwenyekiti Bunda DC

Baraza la madiwani Bunda DC lamchagua tena Keremba Irobi diwani kuwa mwenyekiti wa halmashauri kwa mara ya nne mfururizo. Na Adelinus Banenwa Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limemchagua diwani wa kata ya Nyamang’uta Mhe Kilemba Irobi Kilemba…

8 September 2024, 7:19 pm

Baraza la madiwani Bunda DC lalia na RUWASA

Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Bunda wailalamikia wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini RUWASA kwa kusababisha changamoto kubwa ya maji kwenye maeneo ya vijijini. Na Adelinus Banenwa Baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limelalamikia Wakala…

5 September 2024, 8:28 pm

Serikali kulipa riba ya asilimia 7 Nyatwali kwa kuchelewesha fidia zao

Zoezi la ulipaji fidia likiwa limefunguliwa rsmi kwa wakazi wa kata ya Nyatwali, mbunge wa Bunda mjini ataka mambo kadhaa yazingatiwe ikiwemo riba ya asilimia saba kutokana na kucheleweshwa kwa fidia zao Na Adelinus Banenwa Serikali imeridhia kulipa asilimia saba…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com