Mazingira FM
Mazingira FM
18 December 2024, 12:24
“Wametoboa signboard wamekunywa soda maganda wametupa hapo chini walinzi walikuwa nje hawakujua kilichokuwa kikiendelea“. Na Adelinus Banenwa Ni katika hali isiyo ya kawaida wezi waiba zaidi ya maduka 11 eneo la Genge la jioni mtaa wa Posta kata ya Bunda…
14 December 2024, 20:39
Kilio kukubwa cha vijana hao ni kutaka ushirikiano kutoka kwa viongozi hao ikiwa ni pamoja na madiwani na wabunge. Na Adelinus Banenwa Umoja wa vijana chama cha mapinduzi wilayani Bunda wamewasihi viongozi waliochaguliwa kupitia chama hicho kutoisahau jumuiya hiyo kutokana…
13 December 2024, 07:08
Changamoto za kisheria zilizopo wilayani Bunda ni tatizo la migogoro ya ardhi, mirathi n.k. Na Adelinus Banenwa Wananchi wilayani Bunda wametakiwa kujitokeza na kutumia fursa ya timu ya wataalamu wa sheria kutoka kwa Rais Samia inayozunguka kusikiliza kero, ili kutatua…
13 December 2024, 07:01
“Vimeanza kuwepo viashiria vya udokozi na wizi nyakati za mchana na usiku katika baadhi ya maeneo katika Mtaa wa Majengo pia watoto wameanza kupiga mafataki hali hiyo haikubaliki” Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wazazi na walezi katika mtaa wa…
11 December 2024, 18:28
Lengo la NHIF ni kuwaunganisha wanachama wa NHIF katika familia moja ili kuwaka unafuu wa na uhakika wa matibabu. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kujiunga na mfuko wa bima ya afya wa NHIF ili kuwa na uhakika wa…
11 December 2024, 16:32
YAS inaendelea kutoa ofa mbalimbali kuelekea msimu huu wa kufunga mwaka ambapo zipo zawadi ambazo zinatolewa kwa washindi wa kila siku, wiki, mpaka mwezi. Na Adelinus Banenwa Wateja wa mtandao wa mawasiliano wa YAS zamani Tigo wametolewa wasiwasi kuhusiana huduma…
10 December 2024, 18:16
Kwa sasa makundi hayana tija badala yake wenyeviti wanatakiwa kuungana na viongozi wengine wakiwemo watendaji ili kuleta maendeleo katika eneo husika ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero mbalibali za wananchi kupitia mikutano ya hadhara ,kukemea vitendo vya ukatili wa kijinsia…
10 December 2024, 10:30
Mwaka 2024 matukuo yaliyoripotiwa 1099 ukilinganisha na matukio 1163 sawa kupungua kwa matukio 64 ambayo ni sawa na asilimia 5.8 Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa sheria mahsusi inayopinga vitendo vya ukeketaji, ukosefu wa nyumba salama za serikali na…
7 December 2024, 22:48
Mradi wa uendelezaji miji TACTICS kwa mji wa Bunda utakapoanza utasaidia barabara nyinyi za bunda mjini Kupata lami. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amesema mradi wa uendelezaji miji TACTICS kwa mji wa…
7 December 2024, 21:53
Zao la pamba limepoteza kabisa ushawishi kwa wakulima kutokana na changamoto zake kwa sasa likiwemo suala la bei, pamoja na uzalishaji hafifu wa zao hilo. Na Adelinus Banenwa Kikao cha kama ya ushauri ya wilaya ya Bunda DCC kilichoketi tarehe…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com