Mazingira FM
Mazingira FM
13 September 2024, 9:46 am
Walimu wanatakiwa kutumia fursa zinazowazunguka kubuni miradi mbalimbali ya kiuchumi hata kama wanamitaji midogo. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa uoga wa kupata huduma kwenye taasisi rasmi za kifedha na ukosefu wa elimu juu ya matumizi sahihi ya mikopo nimiongoni mwa…
12 September 2024, 5:10 pm
Diwani wa kata ya Bunda stoo aahidi kuwafanya viongozi wote wa CCM kwenye kata yake kupata sare za chama ifikapo 2025 Na Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Bunda stoo Mhe Flavian Chacha (CCM) Nyamageko ameendelea na zoezi la kuwapatia…
12 September 2024, 4:34 pm
Mvua iliyokuwa imeambatana na upepo yaacha kilio kwa wakazi wa kata ya Sazira halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara baada ya nyumba kama 150 kuezuliwa na upepo na kuacha kaya zaidi ya 135 bila makazi. Na Adelinus Banenwa Zaidi…
9 September 2024, 4:39 pm
Udanganyifu wa umri kwenye zoezi la uandikisha na uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ni kosa kisheria. Na Adelinus Banenwa Zikiwa zimesalia siku mbili kutamatika kwa zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa Mkoa…
9 September 2024, 4:21 pm
Takribani miche ya miti million moja na elfu ishiri tayari imepandwa katika maeneo mbalimbali ya halimashauri ya wilaya ya Bunda Na Catherine Msafiri Takribani miche ya miti million moja na elfu ishiri tayari imepandwa katika maeneo mbalimbali ya halimashauri ya…
9 September 2024, 4:10 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda ameelekeza halmashauri ya wilaya ya Bunda kumuacha mkaguzi wa ndani kufanya kazi yake. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda ameelekeza halmashauri ya wilaya ya Bunda kumuacha mkaguzi wa ndani kufanya kazi yake. Huku…
9 September 2024, 4:00 pm
Baraza la madiwani Bunda DC lamchagua tena Keremba Irobi diwani kuwa mwenyekiti wa halmashauri kwa mara ya nne mfururizo. Na Adelinus Banenwa Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limemchagua diwani wa kata ya Nyamang’uta Mhe Kilemba Irobi Kilemba…
9 September 2024, 12:38 pm
“Mwenyekiti nawapongeza mmejitahidi ukusanyaji wa mapato mwaka wa fedha 2023 na 2034 endeleeni kushirikiana” Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Naano Ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Bunda kwa ukusanyaji wa mapato na ukamilishaji wa miradi kwa…
8 September 2024, 7:19 pm
Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Bunda wailalamikia wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini RUWASA kwa kusababisha changamoto kubwa ya maji kwenye maeneo ya vijijini. Na Adelinus Banenwa Baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limelalamikia Wakala…
5 September 2024, 8:28 pm
Zoezi la ulipaji fidia likiwa limefunguliwa rsmi kwa wakazi wa kata ya Nyatwali, mbunge wa Bunda mjini ataka mambo kadhaa yazingatiwe ikiwemo riba ya asilimia saba kutokana na kucheleweshwa kwa fidia zao Na Adelinus Banenwa Serikali imeridhia kulipa asilimia saba…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com