Mazingira FM
Mazingira FM
3 February 2025, 19:24
Wananchi zaidi ya 2700 wamefikiwa wiki ya sheria wilayani Bunda baada ya kufika katika vituo vilivyokuwa vimeainishwa na wadau wa mahakama. Na Adelinus Banenwa Wananchi zaidi ya 2700 wamefikiwa wiki ya sheria wilayani Bunda baada ya kufika katika vituo vilivyokuwa…
31 January 2025, 16:12
“Kanda ya ziwa inavivutio vingi vya utalii mbavyo ni fursa Katika kutatua tatizo la ukosefu wa ajira nchini” Na Catherine Msafiri, Mkurugenzi wa TECTO community company Bw.Juma Elias Elias ameeleza kuwa Kanda ya ziwa Kuna fursa nyingi zinazowezakupunguza tatizo la…
28 January 2025, 06:39
Lengo la mkutano wake na wafanyabiashara ni kukaa na kujadili namna gani ya kushirikiana ili kusonga mbele kwa mwaka huu wa 2025. Na Edward Lucas Wafanyabiashara wilayani Bunda wajadili changamoto zao katika sekta ya mifugo, uvuvi , kilimo pamoja na…
25 January 2025, 20:02
Miongoni mwa maeneo yatakayokuwa yanalengwa zaidi katika wiki hii ya sheria ni pamoja na migogoro ya ardhi, mirathi, ndoa na talaka miongoni mwa maeneo mengine. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya bunda imezindua rasmi leo wiki ya sheria inayoongozwa…
24 January 2025, 18:37
“NMB kama wadau wa maendeleo wanajikita sana katika kusaidia sekta ya elimu ambapo husaidia madawati na vifaa vingine, afya husaidia kwenye vitanda pamoja na vifaa vingine vya kusaidia matibabu, pia husaidia kwenye majanga yanayoipata nchi.” Na Adelinus Banenwa Benki ya…
24 January 2025, 18:03
UWT Bunda mwaka huu wamepanga kufanya shughuli mbalimbali za kijamii katika kuelekea sherehe hizo za miaka 48 ya CCM ambazo ni pamoja na kupanda miti walau 50 kila kata, kufanya usafi katika ofisi za umma, kutembelea makundi ya watu wasiyojiweza…
22 January 2025, 18:00
Hadi sasa amekamatwa mtu mmoja kwa tuhuma hizo za kuharibu makaburi na tayari ameshafikishwa jeshi la polisi. Na Adelinus Banenwa Baadhi ya vyuma vinavyodaiwa kung’olewa kwenye makaburi ya Zanzibar vyakamatwa kwenye godauni la vyuma Chakavu Bunda. Nyabatuli Ndege mwenyekiti wa…
22 January 2025, 13:05
Vitambulisho elfu 12 ni kati ya vitambulisho 62,370 vilivyoletwa Bunda. Na Adelinus Banenwa Afisa usajili mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA wilaya Bunda Fredson John Samwel amesema zaidi ya vitambulisho elfu 12, vimerejeshwa ofisi za NIDA wilaya kutoka kwenye ofisi…
22 January 2025, 09:49
Makaburi yenye vigae ( marumaru ) na mikanda ( strips) ndiyo yanaonekana kulengwa zaidi. Na Adelinus Banenwa Katika hali isiyo ya kawaida zaidi ya makaburi 50 yaliyopo mtaa wa Zanzibar kata ya Nyasura Halmashauri ya mji wa Bunda yamevunjwa na…
20 January 2025, 08:59
Mwenyekiti Hamis Said Madoro “Amekutwa na majeraha katika maeneo mbalimbali mwilini mwake na amefariki wakati anapelekwa kwenye huduma za matibabu” Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Akinyo Kumu (39) mkazi wa kijiji cha Nyaburundu kata Ketare halmashauri…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com