Mazingira FM
Mazingira FM
27 October 2024, 7:30 pm
Kwa mujibu wa wanafamilia ni kuwa walipata chakula cha pamoja jana usiku bila tatizo lolote hadi pale asubuhi walipogundua baba yao amejinyonga huku bila kujua sababu hasa ya chanzo cha kujiua. Na Adelinus Banenwa Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la…
23 October 2024, 10:16 am
Kampeni ya ‘NI RAHISI SANA’ inayofanywa na TCRA inalengo la kuelimisha umma kuhusu fursa zilizopo kwenye mitandao Na Edward Lucas Watumiaji wa mitandao wamehimizwa kuitumia kwa tija ili kujipatia kipato na kuepuka matumizi ambayo hayana faida kwao. Wito huo umetolewa…
23 October 2024, 9:49 am
Wananchi wa mtaa wa nyasana wameipongeza mamlaka na serikali kwa ujumla kwa kuwakumbuka kuwafikishia huduma ya maji safi kwa kwa wametaabika kwa muda mrefu Na Adelinus Banenwa Mkurugenzi wa mamlaka ya maji na usafi wa mazingira Bunda BUWSSA Bi Esther…
22 October 2024, 2:12 pm
Hifadhi ya taifa ya Serengeti imeshinda kwa mara ya sita mfurulizo tuzo ya kuwa hifadhi bora barani afrika Na Adelinus Banenwa Hifadhi ya taifa ya Serengeti imeshinda kwa mara ya sita mfurulizo tuzo ya kuwa hifadhi bora barani afrika Akizungumza…
22 October 2024, 1:58 pm
Halmashauri ya wilaya ya Bunda kwa siku za hivi karibuni wamekuwa wakipokea matukio mengi ya wananchi kushambuliwa na kuharibiwa mazao yao na wanyama wakali na waharibifu ambao ni mamba na viboko. Na Adelinus Banenwa Wakazi wa kata Neruma na maeneo…
16 October 2024, 5:04 pm
Mkuu wa mkoa ametoa rai kwa wakazi wa Nyatwali ambao tayari wameshapokea hundi zao kuhakikisha wanafanya hima kuondoka katika maeneo hayo Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa serikali inakwenda kuhitimisha zoezi la ulipaji fidia kwa wakazi wote wa Nyatwali waliotathminiwa katika…
11 October 2024, 12:12 pm
Jumla ya wanafunzi 225 wanatarajia kuhitimu kidato cha nne shule ya sekondari Dkt Nchimbi mwaka huu kati ya wanafunzi 380 walioanza kidato cha kwanza mwaka 2021. Kupitia risala yao iliyosomwa mbele ya mgeni rasmi katika mahafali ya 17 ya shule…
9 October 2024, 8:36 am
Katika kipindi cha serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan miradi iliyotekelezwa ni pamoja na ujenzi wa zahanati mpya tatu, vyumba vya madarasa vya kutosha shule ya sekondari sazira, mradi wa maji wa Misisi Zanzibar pamoja na…
5 October 2024, 10:58 am
Kipindi cha nyuma jamii nyingi za mkoa wa Mara hazikutoa kipaumbele kwa mtoto wa kike kwenda shule wakitegemea ataolewa. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewahimiza wazazi na walezi wilayani Bunda kuwasomesha watoto…
3 October 2024, 7:38 pm
TANAPA wamesaidia kwa kiasi kikubwa katika shughuli za maendeleo katika jamii ikiwemo utengenezaji madawati, ujenzi wa zahanati, madarasa miongoni mwa kazi zingine. Na Adelinus Banenwa TANAPA Kanda ya Magharibi itoa refractor 1000 kwa waendesaha pikipiki maarufu bodaboda wilayani Bunda. Akikabidhi…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com