Mazingira FM
Mazingira FM
6 October 2025, 12:48
Mkurugenzi wa Kampuni ya Utalii ya Twende kutalii Bw.Albert Chenza, amesema kutokana na athari za mabadiliko ya tabia nchi ,idadi ya watalii wanaotembelea baadhi ya hifadhi inaweza kupungua. Na Catherine Msafiri Mkurugenzi wa Kampuni ya Utalii ya Twende kutalii Bw.Albert…
3 October 2025, 18:16
Mwenyekiti wa wazungumzaji wa lugha ya kiesperanto Tanzania, Mramba Simba Nyamkinda aahidi ufadhili wa masomo kwa wanafunzi 5 wanaosoma lugha hiyo watakaofanya vizuri kwenye mtihani wa kuhitimu kidato cha nne mwaka huu. Na Catherine Msafiri Jumla ya wanafunzi 108 wamehitimu…
3 October 2025, 14:51
Getere ameahidi baada ya uchaguzi watatoa million 20 kwaajili ya kujenga mabafu na tenki la maji Esperanto sekondari. Na Catherine Msafiri Mgombea ubunge wa jimbo la Bunda Boniface Mwita Getere amewaahidi wanafunzi na uongozi wa shule ya sekondari Esperanto kushirikiana…
3 October 2025, 14:10
Mgombea wa udiwani kata ya Ketare Simba Mramba Nyamkinda amekabidhi sola mbili katika shule ya sekondari Esperanto. Na Catherine Msafiri, Mwenyekiti wa shirika la Mazingira na mlezi wa shule ya esperanto sekondari Simba Mramba Nyamkinda amekabidhi sola mbili katika shule…
3 October 2025, 13:47
Mratibu wa miradi Simba Mramba ameeleza baadhi ya mambo waliyofanya kama shirika katika shule hiyo huku akitaja kuwa chumba hicho kimewekewa viti 31 na meza 31 na computer 30. Na Catherine Msafiri, Shirika la Mazingira Community Development Forum limezindua mradi…
3 October 2025, 13:39
Mgombea urais kupitia DP Abdul Juma Mluya aahidi serikali ya DP itarekebisha mtaala wa elimu ili kuendana na teknolojia ya sasa. Na Teddy Thomas Chama cha Democratic Paty DP kimesema endapo kitapa ridhaa ya kuiongoza serikali ya Jamhuri ya muungano…
3 October 2025, 12:25
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
30 September 2025, 18:59
Watu watano wamenusurika kifo baada ya tembo kushambulia nyumba waliyokuwemo. Na Adelinus Banenwa Ni katika mtaa wa Tairo uliopo kata ya Guta halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara ambapo nyumba ya mzee Juma Sarya kushambuliwa na tembo ikiezua mabati…
30 September 2025, 13:28
Halmashauri ya wilaya ya Rorya kinara tatizo la ugonjwa wa selimundu (Sickle cell) kwa asilimia kubwa ikiwa na wagonjwa 1500 kati ya wagonjwa 5037 kwa mkoa wa Mara. Na Catherine Msafiri Imeelezwa kuwa Halmashauri ya wilaya ya Rorya ndio kinara…
30 September 2025, 12:12
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) yasema wanaomiliki nyara kama pembe, na mikia ya wanyamapori bila vibali , ni kinyume na sheria za uhifadhi . Na Catherine Msafiri, Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imewataka wananchi kuhakikisha wanamiliki…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com