Mazingira FM
Mazingira FM
24 August 2025, 11:29 pm
“Kwa sasa hivi mimi ni mali ya chama sio tena mtu binafsi, kwahiyo taratibu zote….” Mwandishi. Edward Lucas Siku moja baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), tarehe 23 Agosti 2025, kutangaza rasmi majina ya wagombea ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu wa…
23 August 2025, 8:47 pm
Na. Edward Lucas. Kijiji cha Mkula, Busega – Simiyu, kilikumbwa na simanzi kubwa tarehe 18 Agosti 2025, baada ya watoto watatu wa kike kufariki dunia ndani ya hema katika kambi ya watoto waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA). Miongoni…
23 August 2025, 8:40 pm
Mwenge wa uhuru kitaifa 2025 uliingia mkoa wa Mara kupitia wilaya ya Bunda kwa halmashauri ya mji wa Bunda tarehe 15 Aug 2025 na kuzunguka katika halmashauri zote tisa za mkoa wa Mara na leo Aug 23,2025. Na Adelinus Banenwa…
21 August 2025, 11:12 pm
Na Edward Lucas. Juma Lutamula (33), mchimbaji katika mgodi wa Walwa uliopo katika machimbo ya Kinyambwiga, amepatikana jioni ya leo akiwa tayari amefariki baada ya kufukiwa na kifusi wakati akifanya kazi ya ujenzi wa duara la uchimbaji. Lutamula alipata ajali…
21 August 2025, 6:15 pm
Mgombea wa udiwani kata ya Manyamanyama kupitia chama cha mapinduzi CCM ametangaza juu ya kuvunjwa kwa makundi yote yaliyokuwepo wakati wa kutafuta mgombea wa CCM kata. Na Adelinus Banenwa Mgombea wa udiwani kata ya Manyamanyama kupitia chama cha mapinduzi CCM…
20 August 2025, 10:31 pm
Tukio hilo lilitokea jana tarehe 19 Augost 2025, majira ya saa 12:00 jioni, wakati Lutamula na wenzake walipokuwa katika shughuli ya ukarabati wa duara Na Edward Lucas. Mchimbaji Afukiwa na Kifusi Katika Mgodi wa Dhahabu Juma Lutamula (33), mkazi wa…
20 August 2025, 5:30 pm
Wateule wa CCM kuwania udiwani waendelea kuchukua fomu kwenye ofisi za tume kwa wasimamizi wasaidizi kuomba kuteuliwa Na Adelinus Banenwa Mgombea wa udiwani kata ya Sazira kupitia chama cha mapinduzi CCM ndugu Michael Thomas Kweka amewashukuru wakazi anwanachama wa chama…
19 August 2025, 8:39 pm
Makada wa CCM wapishana ofisi za wasimamizi wasaidizi wa tume kuchukua fomu za kuwania udiwani Na Adelinu Banenwa Mgombea wa udiwani kata ya nyasura kupitia chama cha mapinduzi CCM ndugu Magigi Samwel Kiboko amewaomba wanachama wa chama hicho kuwa watulivu…
19 August 2025, 9:54 am
Jitihada za kuokoa zinaendelea huku Majeruhi katika maafa haya ni watu 31 ikiwe watu wazima ni 11 na watoto wadogo 20. Na Gabon Mariba – Musoma Wakazi mbalimbali wa Manispaa ya Musoma Mkoani Mara wamejeruhiwa kutokana na Mafuriko ya Maji…
18 August 2025, 5:45 pm
Ni mgombea wa cha Democratic Party DP ambaye leo tarehe 18 Augost amechukua fomu za tume huru ya taifa ya uchaguzi ngazi ya jimbo akitaka kugombea ubunge na ngazi ya kata akitaka kugombea udiwani. Na Adelinus Banenwa Abubakari Makene Johnson…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com