Recent posts
9 March 2026, 11:21
Ukikutwa unauza mbegu feki faini ni kati ya shilingi Mil.100 hadi Mil.500
Duka au muuzaji wa mbegu aliyesajiliwa akikamatwa anauza mbegu ambazo siyo bora kwa mujibu wa sheria ya mbegu ya mwaka 2003 atalipa faini kati ya milioni 100 hadi milioni 500. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wakulima kutumia mbegu bora…
8 March 2026, 13:21
Vi agroforestry washiriki maadhimisho siku ya wanawake mkoa wa Mara
Wanawake mkoani Mara wamehimizwa kutumia maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kama fursa ya kujijengea uwezo wa kiuchumi kupitia shughuli za uhifadhi wa mazingira na uzalishaji wa mazao ya lishe Na Catherine Msafiri, Wanawake mkoani Mara wamehimizwa kutumia maadhimisho ya…
6 March 2026, 19:38
Kesi ya Kaunya na wenzake yaendelea leo mahakama ya Bunda
Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Bunda, Mheshimiwa Mulokozi Kamuntu. Na Adelinus Banenwa Kesi ya jinai namba 21 ya mwaka 2026 inayosikilizwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda inaendelea kusikilizwa huku washtakiwa wakitetewa na…
5 March 2026, 20:48
TAKUKURU Bunda yazindua jengo lake la mil 363
Chalamila ameipongeza TAKUKURU wilaya ya Bunda kwa usimamizi mzuri wa mradi huo, na matumizi sahihi ya fedha iliyotolewa hadi bubakiza kiasi hicho cha fedha cha shilingi million 31 Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni 363,133,211.13 zimetumika katika ujenzi wa…
28 February 2026, 17:37
Mtoto wa miaka 15 akutwa amejinyonga Bunda
Mtoto huyo alitoka ndani ya nyumbani anakoishi na mama yake mdogo na kwenda kutekeleza tukio hilo la kujinyonga kwenye mti uliopo pembeni mwa nyumba yao. Na Adelinus Banenwa Mtoto aliyetambulika kwa jina la Joshua Judicate Muro mwenye umri wa miaka…
28 February 2026, 15:04
Waliovamia maeneo ya Chama cha Ushirika Mara watakiwa kuondoka
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi, aagiza watu wote waliovamia maeneo ya Chama Kikuu cha Ushirika Pamba Mara, kuondoka mara moja Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi, ameagiza watu wote waliovamia maeneo ya Chama Kikuu…
28 February 2026, 14:38
Ofisi ya mbunge Bunda Mjini yapokea vifaa vya kazi
Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Mussa Hussein,akipokea vifaa mbalimbali ikiwemo madawati 248 na kompyuta 2 kwa ajili ya shule za msingi katika jimbo hilo. Na Thomas Masalu Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Mussa Hussein,…
26 February 2026, 19:05
Getere aonesha kutoridhishwa kasi ujenzi baadhi ya miradi
Ameonesha kutokulidhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa zahanati ya Mahanga ambayo hadi sasa utekelezaji wake umesimama kutokana na uzembe wa watendaji Na Mariam Mramba Viongozi wa vijiji wametakiwa kushirikiana vizuri katika usimamizi wa fedha zinazotolewa na…
26 February 2026, 10:06
Uchakavu wa miundombinu waitesa shule ya msingi Tingirima
Jumla ya wanafunzi 850 kutumia vyumba viwili vya madarasa pamoja na matundu mawili ya vyoo. Na Mariam Mramba Shule ya msingi Tingirima iliyopo kata ya Mugeta halmashauri ya wilaya ya Bunda inakabiliwa na uchakavu wa miundombinu ikiwemo vyumba vya madarasa…
25 February 2026, 12:26
Ziara ya Getere Mariwanda yatoa majibu waathirika wa tembo
Achangia mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ukarabati wa vyumba vitano vya madarasa katika shule ya msingi Sarakwa Na Mriam Mramba Mbunge wa jimbo la Bunda Mheshimiwa Bonphace Mwita Getere amewataka wananchi wa jimbo hilo kuwa na tabia ya …