Mazingira FM

Elimu juu ya madhara ya mila ya ukeketaji

23 September 2025, 11:26 am

Na Adelinus Banenwa

Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo.

Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo kipindi kinajaribu kuelimisha jamii kubuni njia mbadala ya kutumia badala ya kufanya ukeketaji ambao mwisho wa siku ni hatari kwa afya za watendewa.

Kipindi cha Mila zetu Tunu yetu Eps. 1