Mazingira FM
Mazingira FM
2 November 2022, 8:16 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Joshua Nassari amewataka viongozi wa halmashauri ya wilaya ya bunda kujitathimini kutokana na usimamizi duni wa miradi ya maendeleo katika halmashauri hiyo. Mhe Nassar ameyasema hayo leo Nov 2 katika ziara yake wakati akikagua…
2 November 2022, 7:42 pm
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Joshua Nassar ameagiza uongozi wa kata ya Nyamang’uta kufika ofisini kwake ili kutoa maelezo kwa nini hadi sasa hawajaanza ujenzi wa darasa hata Moja Kati ya Madarasa Saba yanayotakiwa kujengwa kutokana na…
29 October 2022, 8:49 pm
Wakazi wa kata ya a kabarimu halmashauri ya mji wa bunda Wameitaka serikali kuliondoa dampo la taka lililopo katika mtaa wa saranga mjini Bunda Wakizungumza katika kikao Cha kata kuhusu Maendeleo kilichitishwa na Diwani wa kata hiyo Mhe Muhunda Nyaimbo…
28 October 2022, 4:43 pm
Changamoto ya uzio, maktaba, upungufuwa walimu wa sayansi na maji bado ni changamoto inayoikabili shule ya Sekondari Bunda day iliyoko kata ya kabarimu Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara. Hayo yamebainishwa katika maafali ya wahitimu wa kidato Cha Nne…
22 October 2022, 8:33 pm
Katibu tawala wilaya ya bunda salumu halfan mterela amewataka viongozi wa vijiji na mitaa kuhamasisha wananchi kujitokeza katika kampeni ya siku kumi ya kuhamasisha chanjo ya uviko 19 Akizungumza katika kikao kilichoshirikisha idara ya afya na wenyeviti…
22 October 2022, 8:28 pm
Sikika kwa kushirikiana TAKUKURU wilayani Bunda wameendesha mafunzo kwa kamati za ujenzi na mapokezi kwa lengo la kuzuia masuala ya rushwa wakati wa kutekeleza majukumu yao. Mafunzo hayo yamefanyika wilayani Bunda ambapo Sikika kwa kushirikiana na TAKUKURU chini ya mpango…
22 October 2022, 8:24 pm
Imeelezwa kuwa upungufu wa matundu 28 ya vyoo shule ya msingi balili A bado limekuwa changamoto katika shule hiyo. Hayo yamebainishwa katika risala ya wanafunzi wa darasa la saba katika mahafari yao ya kuhitimu elimu ya msingi yaliyofanyika leo…
22 October 2022, 8:18 pm
Katibu tawala Wilaya ya Bunda Mhe Salam Halfani Mterela amepokea tani 15 za mbegu za pamba kutoka Kampuni ya Muhamed interpraisess Mapokezi hayo yamefanyika Leo 19 Oct 2022 ofisini kwa mkuu wa Wilaya ambapo Katibu tawala amesema hadi hivi sasa…
22 October 2022, 8:14 pm
Katibu tawala wilaya wilaya ya bunda salum mterela amewahimiza wananchi wa wilaya ya bunda kutumia fullsa ya mahindi ya bei nafuu yaliyoletwa na serikali wilayani bunda. Mterela ameto msisitizo huo leo ofisini kwakwe wakati akiongea na vyombo vya habari ambapo…
22 October 2022, 8:09 pm
it katibu tawala wa wilaya ya Bunda mh. Salum Mtelela amesema ofisi ya mkuu wa wilaya ya Bunda itaongeza bajeti ya elimu ya watu wazima ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanafunzi wengi wanajiumga na elimu hiyo. Akizungumza kwa niaba ya…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com