Mazingira FM

Recent posts

25 November 2022, 6:42 pm

TRA Bunda: Yatoa msaada kwa kituo Cha kulea watoto Cha Mt. Frances

  Mamlaka ya mapato Tanzania wilaya ya Bunda Mkoani Mara imeadhimisha wiki ya shukurani kwa mteja kwa kuepela vitu mbalimbali kama vile Mchele,Sukurani,Mafuta ya kula,Sabuni ,Mafuta ya kujipaka vyenye thamani ya shilingi laki nne na elfu kumi na mbili katika…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com