Mazingira FM
Mazingira FM
29 November 2022, 12:37 pm
Mahakama ya wilaya ya Bunda imemuhukumu kifungo cha maisha jela na faini ya shilingi milioni moja Steven Mwita 52 mkazi wa mtaa wa Kinyabwiga kata ya Guta halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara kwa kosa la kubaka. Hukumu hiyo…
28 November 2022, 10:22 pm
Naibu waziri wa TAMISEMI mh. David Silinde amesema kuwa serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassani imedhamiria kuboresha miundombinu ya elimu shule ya msingi na ekondari ili wanafunzi waweze kufurahia mazingira ya Shule. Ametoa taarifa hiyo…
28 November 2022, 10:16 pm
Naibu waziri wa TAMISEMI mh. David Silinde amemtaka mkuu wa wilaya ya Bunda Joshua Nassari kusimamia na kuhakikisha ujenzi wa madarasa unaoendelea katika shule mbalimbali ndani ya wilaya unakamilika kwa wakati ili mwezi wa kwanza wanafunzi watumie madarasa hayo.…
27 November 2022, 2:32 pm
Gunje malemi Gunje 15 mkazi wa Kunzugu kata ya Kunzugu Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi kunzugu ameshikwa mamba wakati akinywesha mifugo mto Rubana. Akizungumza na Mazingira fm baba mzazi wa…
25 November 2022, 6:56 pm
Tatizo la Maji Safi na salama imetajwa kuwa bado changamoto katika Chuo Cha maendeleo ya wananchi Kisangwa FDC Hayo yamebainishwa na mkuu wa chuo hicho Edmundi Nzowa katika mahafali ya 36 ya Chuo hicho ambapo jumla ya wahitimu…
25 November 2022, 6:42 pm
Mamlaka ya mapato Tanzania wilaya ya Bunda Mkoani Mara imeadhimisha wiki ya shukurani kwa mteja kwa kuepela vitu mbalimbali kama vile Mchele,Sukurani,Mafuta ya kula,Sabuni ,Mafuta ya kujipaka vyenye thamani ya shilingi laki nne na elfu kumi na mbili katika…
17 November 2022, 9:36 pm
Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa uamzi rasmi wa kulitwaa eneo la kata ya Nyatwali kwa matumizi ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Uamuzi huo umetolewa na katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela katika mkutano wa baraza…
17 November 2022, 9:31 pm
Viongozi wa Kata ya Balili Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara wakerwa na uharibifu wa taa za barabarani unaoendelea kujitokeza katika eneo la Balili. Wakizungumza na Radio Mazingira Fm kwa nyakati tofauti viongozi hao wamesema baadhi ya wananchi wasiokuwa…
11 November 2022, 1:48 pm
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Bunda Magafu Manumbu ameagiza utekelezaji wa ujenzi wa madarasa ya Sekondari uende haraka na kama Kuna changamoto zozoto waseme haraka ili ndani ya mwezi December ujenzi uweze kukamilika. Manumbu ameyasema hayo katika Kikao Cha…
11 November 2022, 9:13 am
Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Yusuph Yohana Marwa umri miaka 15 mwanafunzi wa kidato cha pili shule ya sekondari Guta na mkazi wa mtaa wa nyabehu kata ya Guta halmashauri ya Mji wa Bunda amepoteza maisha baada ya…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com