Mazingira FM
Mazingira FM
17 December 2022, 2:46 pm
Shirika la BUFADESO linalojihusisha na utoaji elimu kwa jamii juu ya masuala ya kijinsi na kuwajengea uwezo wakulima mkoani mara limefanya mkutano mkuu wa mwaka ambapo imepokea taarifa mbalimbali zilizofanywa na shirika hilo kwa mwaka wa 2022. Akitoa taarifa ya…
17 December 2022, 2:38 pm
Halmashauri kuu ya ccm kata ya nyasura ikiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho Marko Mabula Budosera imepokea taarifa aya utekerezaji wa ilani ya chama hicho kwa mwaka 2022 Akisoma taarifa hiyo mbele ya wajumbe wa halmashauri kuu hiyo afisa mtendaji…
16 December 2022, 8:46 am
Halmashauri kuu ya ccm kata ya bunda stoo ikiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho Charles Mwita Chacha imepokea taarifa ya utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi kwa mwaka 2022 Akiwasilisha taarifa hiyo mbele ya wajumbe wa halmashauri kuu hiyo…
16 December 2022, 8:20 am
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Joshua Nassari amezindua mradi wa maji katika shule ya Msingi Kabirizi iliyopo katika Kata ya Nampindi. Uzinduzi huo umefanyika leo tarehe 14/12/2022. Mhe. Mkuu wa Wilaya alianza kwa kuishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano…
16 December 2022, 7:52 am
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini amewataka maderava wa magari ya abiria na binafsi kuongeza umakini barabarani hasa wakati huu wa kuelekea sikukuu za Krismasi na mwaka mpya ili kuepuka ajali zisizokuwa za lazima. Kauli hiyo…
14 December 2022, 6:50 pm
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bi. Adelina Mfikwa Leo tarehe 13.12.2022 amefungua mafunzo ya siku mbili ya Risk Management kwa wafanyakazi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kutoka katika kila Idara na Vitengo. Bi. Adelina amewataka Watumishi…
7 December 2022, 8:11 pm
Ushirikiano hafifu wa jamii na kuwa mbali na vyombo vya dola kama kituo cha polisi ni moja kati ya changamoto zinazokwamisha juhudi za kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia katika kata ya Nyambureti Wilaya ya Serengeti mkoani Mara.…
2 December 2022, 12:44 pm
Wakazi wa Mgayangobo mtaa wa Miembeni kata ya Bunda Stoo mjini Bunda wamewashukuru viongozi wa kata hiyo kwa kutatua changamoto ya kivuko katika eneo hilo Wakizungumza na Mazingira Fm wakazi hao wamesema imekuwa changamoto kubwa wakati wa kuvuka hasa kwa…
2 December 2022, 12:26 pm
Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imewahukumu kulipa faini ya shilingi laki tatu au kwenda jela miaka mitatu Mwenge Maseke (29) mkazi wa bunda mjini na Guya Saimon Isabuke (41) mkazi wa Bunda stoo (ambaye hakuwepo mahakamani) kwa kosa…
30 November 2022, 7:29 am
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Meja Jenerali Suleiman Mzee amewaondoka kwenye kikao cha Bodi ya Barabara ya Mkoa huo makatibu wa wabunge ambao waliwawakilisha wabunge kwa maelezo kuwa makatibu hao siyo wajumbe halali wa kikao hicho huku akidai wabunge wengi…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com