Mazingira FM
Mazingira FM
10 January 2023, 5:10 pm
Zaidi ya shilingi million 4 laki 1 na 35 elfu zimetolewa na mbunge wa jimbo la Bunda Mjini Mhe Robert Chacha Mabotto kwa wanafunzi 64 kwa ajili ya mahitaji yao ya shule. Akizungumza kwa niaba ya mbunge wakati wa…
9 January 2023, 9:43 pm
Wazazi na walezi kata ya Nyamakokoto katika Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wametakiwa kuwapeleka watoto wao shule na ambao hawatafanya hivyo watakamatwa. Hayo yamebainishwa leo na Diwani wa kata ya Nyamakokoto Mhe, Emmanuel Malibwa wakati akizungumza na…
5 January 2023, 8:54 am
Serikali imetangaza adhima yake kuhusu kulitwaa eneo la kata ya Nyatwali lililopo katika Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara kuwa sehemu ya hifadhi ya taifa ya Serengeti Kamati ya mawaziri nane wa kisekta wakiongozwa na mwenyekiti wao ambaye pia…
1 January 2023, 7:16 pm
Jumla ya madaftari 806, kalamu 150 na box mbili za pensel vimetolewa kwa wanafunzi 275 wa ngazi tofauti wanaotalajiwa kuanza muhula wa masomo hivi karibuni Vifaa hivyo vya shule vimetolewa na mchungaji kiongonzi wa kanisa la Revival Buptst Nyasura…
1 January 2023, 6:43 pm
Umoja wa Kikundi Cha Wachungaji Bunda wametoa msaada wa chakula (mahindi ) magunia 10 kwa watoto 75 wanaoishi Mazingira magumu. Msaada huo umetolewa 31 Dec 2022 katika kanisa la FPCT sabasaba Bunda mjini na kuudhiriwa na viongozi wa kiserikali huku…
1 January 2023, 6:26 pm
Diwani wa kata ya Nyamakoko Mhe Emanuel Machumu Malibwa amewashukuru wananchi waliojitokeza kufanya usafi katika maeneo mbalimbali katika kata hiyo Akizungumza na Mazingira Fm mara baada ya zoezi hilo la ufasi Mhe Malibwa amesema alipokea maelekezo juu ya kata yake…
1 January 2023, 5:57 pm
Ally Nyamkinda Meneja Mazingira Fm Meneja wa kituo cha utangazaji cha radio Mazingira Fm Ally Simba Nyamkinda amewashukuru wasikilizaji na wadau wote wa Redio Mazingira kwa mwaka 2022 huku akibainisha kuwa Mazingira Fm ipo kwa ajili yao. Hayo ameyasema katika…
1 January 2023, 5:51 pm
Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Bunda imepokea viua dudu ekapak 42 elfu na mabomba miatano kwa ajiri ya wakulima wa zao la pamba Akizunngumza katika mapokezi hayo kwa niaba ya Mkuu wa wilaya Afisa Tarafa ya Serengeti Revocatus Mkangara…
1 January 2023, 5:42 pm
Leonard Magwayega, Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi CCM Bunda Jumuhiya ya wazazi CCM Bunda imewatupia lawama wabunge wa wilaya ya Bunda kwa kushindwa kuwaunga mkono katika vikao vyao Hayo yamebainishwa leo na Mwenyekiti wa Jumuhiya hiyo ndugu Leonard Magwayega wakati…
20 December 2022, 6:16 pm
Mjumbe wa halmashauri kuu ccm taifa kutoka UWT ndugu Joyce Mang’o amefungua mafunzo ya umoja wa wanawake chama cha mapinduzi(UWT) jimbo la bunda mjini iliyowahusisha wenyeviti na makatibu wa (UWT) ngazi ya matawi , kata na viongozi ngazi ya…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com