Mazingira FM
Mazingira FM
21 June 2023, 10:18
Umoja wa vijana kanisa la FPCT Neno la Neema chini ya mchungaji Omoso wametembelea wodi ya wazazi kituo cha afya Bunda ikiwa ni sehemu ya sherehe za wiki ya vijana kanisani hapo. Akizungumza na Radio Mazingira Fm mwenyekiti wa vijana…
21 June 2023, 10:16
Wito umetolewa kwa vijana kumtanguliza Mungu katika shughuli zao na kujiepusha na mambo yasiyofaa katika jamii. Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa vijana kanisa la FPCT neno la Neema Bade Winford chini ya mchungaji Omoso Tukiko ikiwa ni hitimisho la wiki ya…
15 June 2023, 11:21
Diwani wa kata ya Nyamakokoto Halmashauri ya Mji wa Bunda Mhe EMANUEL MALIBWA amepiga marufuku kwa wenye nyumba kuwapangisha watu bila kuwa na uthibitisho wa barua alikotoka. Akizungumza katika kikako cha hadhara mtaa wa barabara ya Ukerewe halmashauri ya Mji…
9 June 2023, 08:48
Janeth Samweli (28) mkazi wa mtaa wa Kabarimu kata ya Kabarimu halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara amenusurika kifo baada ya kuchomwa kisu na anayetajwa kuwa na mume wake tumboni kisha mwanaume huyo kutokomea kusikojulikana. Wakizungumza na Mazingira Fm…
9 June 2023, 07:43
Kufuatia kilio cha wakulima wa zao la pamba nchini hususani katika bei ya pamba, chama cha ACT-Wazalendo kimewaelekeza wachambuzi wake kuangalia iwapo bei hiyo inaweza kusaidia mkulima kurejesha gharama zake alizozitumia katika kilimo. Hayo yamebainishwa na kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto…
7 June 2023, 14:12
Chama cha ACT Wazalendo kesho tarehe 8 Juni 2023 kitafanya mkutano mkubwa wa siasa katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo Manispaa ya Musoma mkoani Mara. Hii ikiwa ni mwendelezo wa mikutano yake tangu ilivyozindua mikutano hiyo mwezi Februari 2023…
7 June 2023, 12:32
Diwani wa kata ya Manyamanyama Mhe Mathayo Machilu amekabidhi mabomba ya maji yenye urefu wa mita 950 eneo la kisiwani Mtaa wa Mbugani kata ya Manyamanyama. Akizungumza katika kikao hicho cha kukabidhi mabomba hayo Mhe Machilu amesema kama alivyoahidi katika…
2 June 2023, 12:29
Wakulima wa zao la pamba wilaya ya Bunda wameishauri serikali kutangaza bei ya pamba mwanzoni mwa msimu kabla ya kuanza kulima Akizungumza na Mazingira Fm katika kituo cha AMCOS Balili mwalimu Tumaini Nyangamba Ndaro ambaye ni mkulima amesema ni vema…
2 June 2023, 12:07
Mahakama ya wilaya ya Bunda imemhukumu Masubugu Masubugu (32) mkazi wa Bunda mjini kifungo cha miaka thelathini jela na kuchapwa viboko 12 pamoja na kumlipa fidia mhanga kiasi cha shilingi milioni moja kwa kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa…
28 May 2023, 19:42
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bunda Mhe Changwa Mkwazu amemaliza sintofahamu ya eneo la ujenzi wa shule ya sekondari katika Kijiji Cha Nyaburundu Kata ya Ketare Halmashauri ya wilaya ya Bunda. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika shule…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com