Mazingira FM
Mazingira FM
27 January 2023, 7:53 pm
Halmashauri kuu ccm wilaya ya bunda chini ya mwenyekiti wa chama hicho ndugu pius magese mayaya imepokea taarifa ya utekelezaji wa ilani ya chama hicho kwa mwaka 2022. Akiwasilisha taarifa hiyo mhe mkuu wa wilaya ya bunda mhe Joshua Nassar…
25 January 2023, 8:29 am
Jumuiya ya wanawake chama cha mapinduzi wilaya ya Bunda UWT imechangia kiasi cha shilingi laki saba na mifuko hamsini ya saruji shule ya msingi Kabarimu ili kupunguza adha wanayoipata wanafunzi wa shuleni hapo wanaokaa chini kwenye vumbi wakati wa kusoma.…
25 January 2023, 7:49 am
Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira Bunda imewaonya wananchi wanaojiunganishia maji kinyemela bila taarifa ya mamlaka kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao pindi watakapobainika Hayo yamesemwa na Moyo Faya kutoka Mamlaka ya maji Bunda wakati wa ukaguzi…
23 January 2023, 4:30 pm
Mkurugenzi wa radio Mazingira Fm ambaye pia ni Diwani wa kata ya Ketale Mhe Mramba Simba Nyamkinda amemkabidhi baiskeli ya magurudumu mawili kwa bi Ferda Wanjara mkazi wa kata ya Nyasura ambaye ni mama mzazi wa mtoto Elizabeth John mwenye…
22 January 2023, 9:10 pm
Wito umetolewa kwenye jamii kuwahudumia watoto yatima na wanaoishi katika Mazingira magumu kwa kuwa hawakutaka kuwa hivyo Hayo yamesemwa na Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto wakati wa harambee ya kutafuta fedha ya ununuzi wa kiwanja…
19 January 2023, 7:08 am
Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Bunda ikiongozwa na mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bunda Ndugu Ibrahim Magesse Mayaya imefanya ziara ya ukaguzi wa utekelezaji wa ilani ya Cha hicho ndani ya Jimbo la Bunda Mjini.…
18 January 2023, 8:01 am
Katibu tawala wilaya ya bunda mhe Salum Halfan Mterela amewataka AMCOS wilayani Bunda kuzingatia uadilifu na maadili katika kazi yao ili kulinda viapo vyao. Hayo ameyasema wakati wa uapisho wa viongozi wa AMCOS wilaya ya Bunda ambapo…
15 January 2023, 5:53 pm
Mbunge Wa Jimbo La Bunda Mjini Mhe. Chacha Robart Maboto amefanya Mkutano Na Viongozi Wa Chama Cha Mapinduzi Wenyeviti Wa Kata,Makatibu Kata, Wenezi Kata Pamoja Na Madiwani Viti Maalum Kupitia Kata Zote 14 Zinazounda Jimbo La Bunda Mjini. Mkutano Huo…
15 January 2023, 5:32 pm
Mbunge wa jimbo la Bunda mh. Bonphace Mwita Getere amewapongeza wanakijiji cha Nyaburundu kata ya Ketare kwa nia njema waliyoonesha ya kujega Shule ya Sekondari katika kijiji hicho. Mh. Getere ameyasema hayo katika ziara yake jimboni wakati akiongea na wananchi…
11 January 2023, 7:01 pm
Mkuu wa mkoa wa mara, meja jenerali suleiman mzee ameliomba jeshi la wananchi tanzania kuchangamkia fursa mbalimbali za kiuchumi zilizomo mkoani humo ikiwemo kilimo cha umwagiliaji. Meja jenerali ametoa ombi hilo wakati wa mapokezi ya mkuu wa majeshi, jenerali…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com