Mazingira FM
Mazingira FM
15 June 2023, 11:21
Diwani wa kata ya Nyamakokoto Halmashauri ya Mji wa Bunda Mhe EMANUEL MALIBWA amepiga marufuku kwa wenye nyumba kuwapangisha watu bila kuwa na uthibitisho wa barua alikotoka. Akizungumza katika kikako cha hadhara mtaa wa barabara ya Ukerewe halmashauri ya Mji…
9 June 2023, 08:48
Janeth Samweli (28) mkazi wa mtaa wa Kabarimu kata ya Kabarimu halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara amenusurika kifo baada ya kuchomwa kisu na anayetajwa kuwa na mume wake tumboni kisha mwanaume huyo kutokomea kusikojulikana. Wakizungumza na Mazingira Fm…
9 June 2023, 07:43
Kufuatia kilio cha wakulima wa zao la pamba nchini hususani katika bei ya pamba, chama cha ACT-Wazalendo kimewaelekeza wachambuzi wake kuangalia iwapo bei hiyo inaweza kusaidia mkulima kurejesha gharama zake alizozitumia katika kilimo. Hayo yamebainishwa na kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto…
7 June 2023, 14:12
Chama cha ACT Wazalendo kesho tarehe 8 Juni 2023 kitafanya mkutano mkubwa wa siasa katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo Manispaa ya Musoma mkoani Mara. Hii ikiwa ni mwendelezo wa mikutano yake tangu ilivyozindua mikutano hiyo mwezi Februari 2023…
7 June 2023, 12:32
Diwani wa kata ya Manyamanyama Mhe Mathayo Machilu amekabidhi mabomba ya maji yenye urefu wa mita 950 eneo la kisiwani Mtaa wa Mbugani kata ya Manyamanyama. Akizungumza katika kikao hicho cha kukabidhi mabomba hayo Mhe Machilu amesema kama alivyoahidi katika…
2 June 2023, 12:29
Wakulima wa zao la pamba wilaya ya Bunda wameishauri serikali kutangaza bei ya pamba mwanzoni mwa msimu kabla ya kuanza kulima Akizungumza na Mazingira Fm katika kituo cha AMCOS Balili mwalimu Tumaini Nyangamba Ndaro ambaye ni mkulima amesema ni vema…
2 June 2023, 12:07
Mahakama ya wilaya ya Bunda imemhukumu Masubugu Masubugu (32) mkazi wa Bunda mjini kifungo cha miaka thelathini jela na kuchapwa viboko 12 pamoja na kumlipa fidia mhanga kiasi cha shilingi milioni moja kwa kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa…
28 May 2023, 19:42
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bunda Mhe Changwa Mkwazu amemaliza sintofahamu ya eneo la ujenzi wa shule ya sekondari katika Kijiji Cha Nyaburundu Kata ya Ketare Halmashauri ya wilaya ya Bunda. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika shule…
20 May 2023, 17:29
Wananchi wa mtaa wa Mine kata ya Kabasa halmashauri ya jji wa Bunda mkoani Mara wameungana pamoja katika shughuli ya maendeleo kwa kujenga zahati ili kuondokana na changamoto ya huduma ya afya katika eneo hilo. Mwenyekiti wa kamati ya ujenzi…
17 May 2023, 18:42
Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya ya Bunda kimesema hakuna mwenyekiti wa mtaa hata mmoja halmashauri ya Bunda mjini kurudisha muhuri huku kikitoa siku 14 kwa viongozi wa halmashauri ya mji wa Bunda kukutana na wenyeviti wa mitaa 88 kusikiliza kero…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com