Mazingira FM
Mazingira FM
16 February 2023, 12:36 pm
Mwendokasi na dereva kuwa ‘bize’ na simu wakati wa safari ni chanzo cha ajali ya Basi la Afrika Raha iliyotokea siku ya jumapili tarehe 12 Feb 2023 eneo la Mwibagi Wilaya ya Butiama mkoa wa Mara barabara ya Mwanza Musoma.…
16 February 2023, 12:31 pm
Boniface Nkwande mkazi wa Buzimbwe kata ya Bulamba Halmashauri ya wilaya ya Bunda Mkoani Mara anaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya DDH Bunda baada ya kushambuliwa na mamba na kujeruhiwa mkono wake wa kulia. Akisimulia tukio hilo amesema lilitokea jumamosi…
14 February 2023, 7:18 pm
Jumla ya wanafunzi 234 waliofaulu kujiunga na masomo ya sekondari jimbo la Mwibara Halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara hawajaripoti shule mpaka sasa. Hayo yamebainika leo katika ziara ya kikazi ya mkuu wa wilaya ya Bunda Dr. Vicent Naano…
14 February 2023, 11:06 am
Uongozi wa Kata ya Nyasura Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara umeweka mikakati ya kupita nyumba hadi nyumba kuhakikisha watoto wote waliopaswa kuwa shule waweze kufika shule kwa wakati. Hayo yamebainishwa leo na Afisa Mtendaji wa kata Hiyo, Bi…
14 February 2023, 10:35 am
Hellena Emmanuel(23) mkazi wa Mwanza ni miongoni mwa abiria waliojeruhiwa vibaya kwenye ajali ya basi la Afrika Raha iliyotokea tarehe 12 Feb 2023 majira ya saa 9 alasiri eneo la Mwibagi Wilaya ya Butiama mkoani Mara Akizungumza na Radio Mazingira…
14 February 2023, 8:02 am
Katika kusherekea siku ya radio Duniani Mazingira fm imefanya Bonanza la michezo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukimbiza kuku ,kukimbia na yai kwenye kijiko, mchezo wa bao na mpira wa miguu, ikiambatana na utoaji wa elimu na chanjo ya uviko-19…
11 February 2023, 7:11 pm
Wazazi na walezi wametakiwa kuwafundisha watoto waridhike na kile walichonacho ili kuwaepusha na vishawishi vinavyopelekea mimba za utotoni na kukatisha ndoto zao.Wito huo umetolewa jana tarehe 8 Feb 2023 na Afisa Ushirikiano kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la kuunganisha Uwezo…
11 February 2023, 6:52 pm
Uongozi wa Kata ya Kabarimu Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara umefanya hafla fupi ya kuwapongeza walimu wa kata hiyo kwa kuonesha bidii kubwa katika ufundishaji unaoleta matokeo chanya kwa wanafunzi wao. Hafla hiyo fupi imefanyika jana tarehe 10…
1 February 2023, 3:56 pm
Bashiri Kichere Nyitati mkazi wa Kibuyi Kata ya Nyamunga Wilaya ya Rorya Mkoani Mara anasakwa na jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji ya Mke wake Sesilia au Kulwa Cosmas Wang’anga kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali…
27 January 2023, 8:25 pm
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Bunda Ndugu Leonard Magwayega amesema hajalidhishwa na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa choo na jengo lakufulia kituo Cha Afya Cha Mugeta kilichopo kata ya Mugeta Halmashauri ya Wilaya…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com