Mazingira FM

Recent posts

16 February 2023, 12:36 pm

Ajali ya basi la Afrika Raha dereva alikuwa ‘bize’ na simu

Mwendokasi na dereva kuwa ‘bize’ na simu wakati wa safari ni chanzo cha ajali ya Basi la Afrika Raha iliyotokea siku ya jumapili tarehe 12 Feb 2023 eneo la Mwibagi Wilaya ya Butiama mkoa wa Mara barabara ya Mwanza Musoma.…

16 February 2023, 12:31 pm

Aliyepambana na mamba kwa dakika 15 majini asimulia alivyonusurika

Boniface Nkwande mkazi wa Buzimbwe kata ya Bulamba Halmashauri ya wilaya ya Bunda Mkoani Mara anaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya DDH Bunda baada ya kushambuliwa na mamba na kujeruhiwa mkono wake wa kulia. Akisimulia tukio hilo amesema lilitokea jumamosi…

14 February 2023, 11:06 am

Nyasura: tutapita nyumba kwa nyumba wanafunzi wote waende shule.

Uongozi wa Kata ya Nyasura Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara umeweka mikakati ya kupita nyumba hadi nyumba kuhakikisha watoto wote waliopaswa kuwa shule waweze kufika shule kwa wakati. Hayo yamebainishwa leo na Afisa Mtendaji wa kata Hiyo, Bi…

14 February 2023, 10:35 am

Mama mwenye mtoto wa miezi miwili, akatika mguu ajali ya Basi

Hellena Emmanuel(23) mkazi wa Mwanza ni miongoni mwa abiria waliojeruhiwa vibaya kwenye ajali ya basi la Afrika Raha iliyotokea tarehe 12 Feb 2023 majira ya saa 9 alasiri eneo la Mwibagi Wilaya ya Butiama mkoani Mara Akizungumza na Radio Mazingira…

11 February 2023, 7:11 pm

Bunda: Wazazi wafundisheni watoto kuridhika ili muepushe mimba za utotoni

Wazazi na walezi wametakiwa kuwafundisha watoto waridhike na kile walichonacho ili kuwaepusha na vishawishi vinavyopelekea mimba za utotoni na kukatisha ndoto zao.Wito huo umetolewa jana tarehe 8 Feb 2023 na Afisa Ushirikiano kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la kuunganisha Uwezo…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com