Mazingira FM
Mazingira FM
4 July 2023, 11:24
Katika kuziimarisha Radio za Kijamii, Tadio imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari namna ya kuchapisha habari katika mtandao na faida zake katika ulimwengu wa kidigitali. Na Ally Nyamkinda Radio za Kijamii zimepewa mafunzo ya namna ya kuzipa nguvu habari katika…
3 July 2023, 12:37
Ukosefu wa huduma ya chakula shuleni, miundombinu thabiti chanzo cha utoro na kufeli mitihani kwa wanafunzi By Edward Lucas Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe. Dkt Vicent Naano amesema serikali wilayani Bunda imechukua hatua mbalimbali kuboresha elimu ikiwa ni pamoja…
2 July 2023, 15:43
Mkuu wa wilaya ya Bunda Dk Vicent Naano amesema serikali imeleta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara kilometa 25 za lami ndani ya barabara za mitaa Bunda mjini, stendi mpya ya kisasa, soko, pamoja na machinjio. Dc Naano ameyasema…
2 July 2023, 15:35
Baadhi ya vyama vya ushirika AMCOS halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara viko kwenye hatihati ya kuuzwa mali zao ikiwa ni pamoja na maghala au stoo kutokana na mikopo ya matrekta kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo. Haya yamebainishwa…
24 June 2023, 08:50
Mkuu wa mkoa wa Mara Mhe Said Mtanda ametoa siku kumi na nne (14) kwa halmashauri ya mji wa Bunda na halmashauri ya wilaya Bunda kufanya mgawanyo wa mali na madeni ili kuondoa mkanganyiko uliopo kwa sasa. Hayo ameyasema katika…
21 June 2023, 10:47
Afisa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi Mamlaka ya Mapato TRA mkoa wa Mara, Geofrey Comoro amewaasa wafanyabiashara wasisubiri siku ya mwisho kufanya malipo ya kodi ya mapato bali wafanye mapema ili kuepuka faini na usumbufu usio wa lazima. Comoro ameyasema…
21 June 2023, 10:40
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimefanya mkutano katika kata ya Bunda Stoo halmashauri ya mji wa Bunda huku wakigusia mambo mbalimbali likiwemo ukosefu wa ajira kwa vijana na ugumu wa maisha. Katika mkutano huo uliohudhuriwa na viongozi mbalimbali kuanzia ngazi ya…
21 June 2023, 10:31
Diwani wa kata ya Nyamakokoto Emmanuel Malibwa amewataka wakazi wa kata hiyo kuchangia utengenezaji wa milango 15 ya vyoo iliyoibwa katika shule za msingi za Balili na Bunda. Akizungumza na radio Mazingira Fm katika kutamatatisha ziara yake ndani ya mitaa…
21 June 2023, 10:18
Umoja wa vijana kanisa la FPCT Neno la Neema chini ya mchungaji Omoso wametembelea wodi ya wazazi kituo cha afya Bunda ikiwa ni sehemu ya sherehe za wiki ya vijana kanisani hapo. Akizungumza na Radio Mazingira Fm mwenyekiti wa vijana…
21 June 2023, 10:16
Wito umetolewa kwa vijana kumtanguliza Mungu katika shughuli zao na kujiepusha na mambo yasiyofaa katika jamii. Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa vijana kanisa la FPCT neno la Neema Bade Winford chini ya mchungaji Omoso Tukiko ikiwa ni hitimisho la wiki ya…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com