Mazingira FM
Mazingira FM
1 March 2023, 4:38 pm
Meneja wa RUWASA wilaya ya Bunda Mhandisi William Boniphas amesema ifikapo 2025 wilaya ya Bunda itakuwa imefikia 85% ya upatikanaji wa maji vijijini kama inavyoelekeza ilani ya CCM ya 2020 na 2025 Hayo ameyasema ofisini kwake wakati akizungumza na Mazingira…
1 March 2023, 3:48 pm
Wakaazi wa Kisangwa kata ya Mcharo Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara wamelalamikia ukosefu wa huduma ya choo katika mnada wa Kisangwa jambo linalohatarisha usalama wa afya zao. Wakizungumza na Radio Mazingira Fm wamesema kukosekana kwa usimamizi katika choo…
26 February 2023, 11:30 am
Jamii imeaswa kuendelea kusikiliza vyombo vya habari ili kujiimarisha zaidi katika matumizi ya lugha ya kiswahili na kuifanya lugha hiyo iendelee kukua na kuenea katika maeneo mbalimbali duniani. Wito huo umetolewa leo tarehe 24 FeB 2023 kupitia Ziara ya Wanafunzi…
26 February 2023, 11:20 am
MBUNGE WA JIMBO la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Mabotto ameitaka serikali isione haya kuwalipa wakazi wa nyatwali stahiki zao kwa kuwa siyo wavamizi. Akizungumza katika kikao cha wananchi kilichoitishwa na mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano…
24 February 2023, 9:07 am
Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Bunda, Gasper Charles amewahasa wananchi kuendelea kuisikiliza Radio Mazingira Fm kwa ajili ya kupata habari na taarifa mbalimbali. Wito huo ameutoa leo tarehe 23 Feb 2023 wakati alipotembelea ofisi za Radio Mazingira…
23 February 2023, 9:24 pm
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano amesema hataki kuongoza Wilaya ambayo watu wake Wana njaa Kauli hiyo ameitoa kwenye kikao Cha Baraza maalumu la madiwani lililoketi Juma hili kulijadili zoezi la Nyatwali Amesema katika maeneo mengi ya…
23 February 2023, 9:22 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda mhe Dkt Vicent Naano amewatoa hofu madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kuwa hoja zao juu ya suala la Nyatwali wamezichukua na watashauriana na mamlaka husika kuweza kupata muafaka uliyo sahihi. Mhe Dkt Naano…
20 February 2023, 2:59 pm
ASKARI wa wanyamapori TAWA wamefanikiwa kumuua mamba anayedaiwa kumuua mwananchi aliyekuwa akifanya shughuli za uvuvi mtaa wa Tamau kata ya nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda Kutokana na maelekezo ya Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Bunda kwa askari ya…
20 February 2023, 2:52 pm
Zoezi la utafutaji wa ndugu Mayila Maleba mwenye umri wa miaka (37) aliyekamatwa na mamba wakati akiendelea na shughuli za uvuvi wa samaki kandokando ya ziwa Victoria eneo la Tamau,wamefanikiwa kumpata akiwa amepoteza maisha. Mwili umekabidhiwa kwa ndugu ili taratibu…
19 February 2023, 9:07 pm
Mayela Maleba (37) Mkazi wa Tamau kata ya Nyatwali Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara amekamatwa na mamba wakati akiendelea na shughuli za uvuvi wa samaki kandokando ya ziwa Victoria eneo la Tamau. Mwanamme huyo ambaye mpaka sasa bado…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com