Mazingira FM
Mazingira FM
25 March 2023, 7:42 pm
Ikiwa waislamu nchini Tanzania na duniani kote wameanza mwezi kufunga katika mwezi mtukufu wa Ramadhani wafanyabiashara wamelalamikiwa desturi ya kupandisha bei ya bidhaa za chakula vinavyotumika katika kipindi hiki. Wakizungumza kupitia kipindi cha asubuhi leo kupitia radio mazingira fm leo…
19 March 2023, 7:23 pm
Naibu Katibu Mkuu Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Zanzibar SALUMU MWALIMU amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kuruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa. Kiongozi huyo wa CHADEMA ameyasema hayo kwenye…
18 March 2023, 5:52 pm
Wakala wa ufilisi na udhamini nchini rita umekamilisha hatua ya kwanza ya mfumo wa usajili wa matukio mbalimbali ya binadamu ikiwemo vizazi , vifo , ndoa na taraka kupitia mtandao ambao unajulikana kama E RITA jambo litakalorahisisha upatikanaji wa huduma…
13 March 2023, 8:43 am
Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Halfani Mtelela amewataka maafisa kilimo ngazi ya halmashauri na kata kuwaelimisha wakulima namna bora ya kutumia pembejeo za kilimo zinazoletwa na serikali hasa katika zao la pamba. Hayo ameyasema wakati akipokea viuatilifu vya zao…
11 March 2023, 2:08 pm
Jeshi la polisi wilaya ya Bunda mkoani Mara wametembelea na kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wagonjwa hospitali ya Bunda DDH ikiwa ni siku ya familia kwa jeshi hilo yenye kauli mbiu ( Bunda Family Day Tushirikiane Kutokomeza Uharifu )…
10 March 2023, 12:58 pm
Baraza la madiwani halmashauri ya mji wa bunda limeketi katika kikao maalum kujadili rasimu ya mpango wa bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2023-2024. Kikao hicho cha baraza kimefanyika hii leo tarehe 9 Machi katika…
10 March 2023, 12:52 pm
Mkuu Wa Wilaya Ya Bunda Daktari Vicent Naano Anney Amesema Kuwa Changamoto Nyingi Zilizopo Katika Halmashauri ya wilaya ya bunda Zinatokana Na Usimamizi Duni wa Watendaji Unaosababishwa Na Watu Kupenda Maslahi Yao Binafsi Suala Linaloaibisha Taasisi Ya Saerikali. Hayo Ameyasema…
8 March 2023, 11:54 am
Wafanyakazi wanawake wa mamlaka ya maji na usafi wa mazingira bunda BUWASA wamesherekea siku ya wanawake duniani kwa kutoa vitu mbalimbali kwa watoto wahitaji na kutembea wodi ya mama waliojifungua hospitali ya Bunda DDH Akizungumza katika siku hiyo kaimu mkurugenzi…
4 March 2023, 6:57 pm
Madiwani Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara walia na mpango wa wanufaika wa TASAF kufanyishwa shughuli za kulima barabara ndipo wapewe fedha zao. Wakizungumza katika Baraza la Madiwani mkutano wa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2022/2023 uliofanyika…
3 March 2023, 2:39 pm
Zaidi ya watu 7,000 ambao ni wastani wa kaya 1000 wanatarajiwa kunufaika na mradi wa maji wa Misisi-Zanzibar katika Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara. Hayo yamebainishwa na Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Maji Bunda BUWASA, Esther Gilyoma wakati…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com