

16 April 2021, 6:54 pm
Mwenyekiti wa wajasiliamali mkoa wa mara Charles Waitara amewashukuru Mbunge wa Bunda Mjini Robert chacha maboto, Diwani wa Bunda Mjini pamoja na Mkurungenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kuadhimia kujenga choo eneo la genge la jioni Waitara ameyasema…
15 April 2021, 10:35 am
Mheshimiwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mwal Lydia Bupilipili amewataka wananchi kuendelea kujenga tabia ya kufanya usafi katika maeneo yao na siyo mpaka wasubiri kusukumwa ama kusubili mashindano. Rai hiyo ameitoa leo wakati akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake…
14 April 2021, 8:09 am
Katika mila za kikurya, kizanaki na kiikizu mkoani Mara moja ya Mila yao kubwa ilikuwa ni ukeketaji huku sababu kuu ikielezwa kuwa ni kutengeneza nidhamu miongoni mwa wanawake huku bila kutathmini madhara yanayoweza kujitokeza kwa wanawake pindi wanapofanyiwa kitendo hicho cha…
8 April 2021, 4:52 pm
Moja kati ya mila na desturi za Wakurya mkoani Mara ilikuwa ni ukeketaji kwa kiasi kikubwa madhara ya ukeketaji yalikuwa hayafichuliwi kutokana unyeti wa suala hilo. Rhoda Komanchi mkazi wa Bunda Balili anaeleza kuhusu hatari iliyotokea kwa watoto wake wawili…
8 April 2021, 12:49 pm
Mheshimiwa mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Mwalimu Lydia Bupilipili amewashukuru Wananchi wa wilaya Bunda kwa kuonesha mshikamano na uzalendo wakati wa kipindi chote cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe…
2 April 2021, 5:27 pm
Halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imepokea kiasi cha pesa za KitanzaniaTsh. Billioni Moja kwa ajili ya ujenzi wa makao makuu ya halmashauri hiyo. Taarifa ya kupokea pesa hizo imetolewa katika kikao cha baraza la madiwani kwenye kikao cha…
2 April 2021, 4:52 pm
Katibu wa chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Bunda mkoani Mara Ramamdhani Dallo amewataka watumishi wa umma na wakuu wa idara halmasauri ya wilaya ya Bunda kuacha mara moja kutumia neno mchakato na badala yake wajielekeze katika kutekeleza miradi ya…
2 April 2021, 4:42 pm
Jeshi la Polisi linamshikilia Mkazi wa Bunda Mkoani Mara kwa kukutwa akisafirisha Kobe 438 kwenye mabegi matatu bila ya vibali Kobe hao wana thamani ya Shilingi Milioni 71.
31 March 2021, 5:30 pm
MAKAMU wa Rais mteule, Dkt Philip Mpango, ameapishwa leo Machi 31, katika ukumbi wa Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Akihutubia baada ya makamu wake kuapishwa, Rais Samia, ametangaza Baraza Lake Jipya la mawaziri ambalo amefanya mabadiliko kidogo, Katika baadhi ya wizara…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com