

5 June 2021, 8:53 am
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh Mwl Lydia Bupilipili amewatunuku vyeti wadau wa maendeleo Wilaya ya Bunda katika kutambua mchango wao wa kuisaidia serikali kutekeleza miradi yake Hafla hiyo imefanyika June 4, 2021 Wilayani Bunda ambapo pamoja na Mambo mengine…
24 May 2021, 11:59 am
Maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani kwa mkoa wa Mara imefanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda ambapo mgeni Rasmi alikuwa mganga mkuu wa mkoa wa Mara DKT FROLIAN TINUGA kwa niaba ya katibu tawala wa mkoa Katika kujibu risala…
18 May 2021, 6:03 pm
Wananchi wa migungani kata ya Bunda Stoo wilaya ya Bunda mkoani Mara wamelalamikia suala la wanyama pori waaribifu ikiwemo Tembo na Viboko kuwakatisha tamaa ya kujihusisha na kilimo Wakizungumza katika kikao cha diwani wa kata hiyo Flaviani chacha kilicholenga kusikiliza…
18 May 2021, 5:42 pm
Serikali kupitia wizara ya maliasili na utalii imetenga zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya kulipa kifuta jasho kwa wananchi waliofanyiwa uharibifu wa wanyamapori katika mashamba na makazi wanayoishi katika vijiji vitatu Mariwanda,Hunyari na Kihumbu vilivyopo Bunda Mkoani Mara…
18 May 2021, 5:32 pm
Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Dkt Nuru Yunge ameitaka jamii kuzingatia lishe bora ili kupunguza matatizo ya magonjwa Hayo yamesemwa na wakati akizungunza na watendaji wa kata 19 za Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na kubainisha kuwa…
10 May 2021, 8:23 am
MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA AKIHAMASISHA UTALII KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA WANYAMA PORI YA SERENGETI Hayo yamefanyika leo katika bonanza la michezo la Twende Kutalii Serengeti lililoandaliwa na TANAPA kwa kushirikiana na wadau wa utalii #Twendekutalii pamoja na #Mazingirafm katika viwanja…
27 April 2021, 6:05 am
Diwani wa kata ya bunda stoo Flaviani Chacha amewapongeza wadau wa maendeleo kwa kuendelea kujitolea katika kuisaidia serikali kutatua kero za wananchi Akizungumza na Redio Mazingira Fm April ,22/ 2021 Flavian amesema amepokea shilingi milion 80 kutoka kwa wadau wa…
20 April 2021, 12:26 pm
Mwenyekiti wa wajasiliamali mkoa wa Mara ndugu Charles Waitara amewataka wajasiliamali wote mkoa wa Mara kutojihusisha na kuwaajiri watoto katika maeneo ya biashara Kauli hiyo ameitoa April 19 2021 katika mkutano wa hadhara na wajasiliamali eneo la balili kona, lakini…
20 April 2021, 11:31 am
Diwani wa kata ya Nyasura Magigi Samwel Kiboko amewataka wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini yaani TASAF kutumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa. akizungumza na Mazingira kwenye ofisi ya mtendaji kata ya Nyasura Kiboko amesema kwa upande wa wale…
17 April 2021, 5:26 pm
MARA: APRILI 17, 2021 NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara, amemtaka mkandarasi wa kampuni ya M/S Beijing Construction Engineering Group Company Limited, kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kwa wakati mradi wa upanuzi wa kiwanja cha ndege…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com