Mazingira FM
Mazingira FM
21 April 2023, 7:31 am
Chuo cha maendeleo ya wananchi kisangwa FDC wameiomba serikali kuzungumza na watoa huduma wa nishati mbadala za kupikia ili waweze kumudu gharama za uendeshaji katika ununuzi wa nishati hizo. Akizungumza na Mazingira Fm ofisini kwake leo 19 April 2023 mratibu…
21 April 2023, 7:20 am
Wakazi wa Kijiji Cha Nyaburundu katika Kata ya Ketare Halmashauri ya wilaya ya Bunda wameiomba serikali kuwakubalia kujenga shule ya secondary katika eneo walilolipendekeza kutokana na changamoto wanazokutana nazo watoto wao wanaokwenda kusoma shule ya Kijiji Jiran. Wakizungumza katika kikao…
17 April 2023, 9:01 am
Upitishaji wa mifugo barabarani (kuswagwa) imetejwa kama chanzo cha uharibifu wa barabara zinazojengwa na wakala wa barabara za mijini na vijijini TARURA wilayani Bunda. Akizungumza katika ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara katika kata za mihingo na nyasura…
14 April 2023, 8:26 pm
Ndugu Kambarage wasira atoa shilingi laki tano kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo kwenye mabweni shule ya sekondari Bunda katika risala ya mkuu wa shule hiyo mwalimu Charles Somba mbele ya mgeni rasmi katika maafali ya nane ya…
14 April 2023, 7:55 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda Dr Vicent Anney Naano memuondoa mganga mfawidhi wa hospital ya halmashauri ya wilaya ya Bunda na kumuweka ndandi mganga mkuu wa halmashauri kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa vifaa tiba vya hospitali hiyo Akizungumza…
14 April 2023, 12:07 pm
Leo ikiwa ni tarehe 13 mwezi wa 4 kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa la Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Wazazi Wametakiwa Kuwalea Watoto Katika Maadili Mazuri ili Kuepukana Na jamii isiyofaa. Hayo yamesemwa katika ufunguzi wa wiki…
10 April 2023, 8:11 am
Kwa mara ya pili mfululizo mashindano ya mpira wa mikono (handball) Taifa yanafanyika katika ardhi ya Halmashauri ya Mji wa Bunda. Mashindano haya yalianza siku ya Jumatano tarehe 04.04.2023 na kuzinduliwa na mdau mkubwa wa michezo Ndg. Kambarage Wasira katika…
31 March 2023, 3:24 pm
TANZIA!!! Uongozi wa Radio Mazingira Fm kwa masikitiko makubwa unatangaza kifo cha mfanyakazi wao Bi.Magreth Samson Misinzo (aliyekuwa mhasibu katika kituo Cha Radio Mazingira) kilichotokea jana tarehe 30 March 2023 saa 11 jioni. Tunamtukuza Mungu kwa maisha ya Magreth na…
28 March 2023, 10:37 am
Mwenyekiti wa wazazi CCM wilaya ya Bunda ndugu wakili Leonard Magwayega amesema suala la Maadili Elimu Mazingira na Afya wataendelea kuvisimamia kwa kuwa ndiyo nguzo za jumuiya ya wazazi. Ndugu Magwayega ameyasema hayo katika ziara ya mwenyekiti wa jumuiya ya…
25 March 2023, 7:51 pm
Mwenyekiti wa wazazi CCM taifa Ndugu, Fadhil Rajabu Maganya ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu CCM taifa amesema kero za wakazi wa kata ya nyatwali amezisikia na wategemee majibu mazuri kutoka serikali inayotokana na chama cha mapinduzi. Kauli hiyo…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com