

2 September 2021, 8:17 am
Tuzo hizo zinazoandaliwa na baraza la habari Tanzania MCT, ndiyo tuzo kubwa zaidi za uandishi wa habari nchini, zinazopimwa kwa kushindanisha kazi Bora zilizowahi kuripotiwa nchini katika kipindi cha mwaka mzima. Thomas Masalu Mtangazaji na mwandishi wa Habari kutoka radio…
6 July 2021, 6:35 pm
By Adelinus Banenwa Wananchi wa mtaa wa Migungani kata ya Bunda stoo Halmashauri ya Mji wa Bunda wameiomba serikali kuhamisha dampo la Migungani kutokana na kero kubwa wanazozipata Hayo wameyasema leo july 5, katika eneo la dampo la maji taka…
3 July 2021, 3:33 pm
By Adelinus Banenwa Katibu wa Umoja wa Vijana UVCCM mkoa wa Mara Wambula Peresia amesema niwajibu wa madiwani na wabunge kuwawezesha Vijana hasa kwenye kuandaa mabaraza ya Wilaya Hayo ameyasema leo July 3, 2021 kwenye baraza la Vijana UVCCM Wilaya…
2 July 2021, 1:15 pm
by Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Neruma Mh. Alfred Maungo amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi Akizungumza na Mazingira fm Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mh. Charles Manunbu amethibitisha kifo cha diwani huyo huku taarifa…
22 June 2021, 6:39 am
By Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh Joshua Nassar Leo June 21, 2021 amekabidhiwa ofisi na Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Bunda Mwl Lydia Bupilipili ambaye amestaafu Akizungumza katika makabidhiano hayo Mh Nassar Amewataka wanabunda wote kuwa wamoja…
21 June 2021, 9:53 am
By Edward Lucas. Wananchi wa Kata ya Nyambureti, Wilayani serengeti Mkoani Mara, wamelipongeza Shirika la Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP kwa kuwapa msaada wa radio kwa akinamama na wasichana waiishio kwenye mazingira magumu. Wakizungumza baada ya zoezi hilo la ugawaji…
21 June 2021, 9:26 am
By Edward Lucas Kijana aitwaye Magesa Magori (21) mkazi wa Mtaa wa Tamau, Kata ya Nyatwali Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara anusurika kifo baada ya kuvamiwa na mnyama nyati wakati akiwa anachunga ng’ombe maeneo ya Tamau. Akisimulia tukio…
7 June 2021, 6:15 pm
Diwani wa kata ya bunda stoo Flavian Chacha Nyamigeko amewataka wadau mbalimbali wilayani Bunda na viunga vyake kuziunga mkono timu za nyumbani ili ziweze kufanya vizuri kwenye mashindano ya kitaifa Hayo ameyasema leo alipotembelea kambi ya timu ya Bunda Queens…
7 June 2021, 5:53 pm
Diwani wa kata ya Bunda Stoo Flavian Chacha ametoa mifuko mitano ya saruji katika kuunga juhudi za wananchi za ujenzi wa choo cha shule ya msingi miembeni Katika ujumbe wake diwani huyo amesema ameona ni vyema kushiriki juhudi za wananchi…
5 June 2021, 3:06 pm
Mkuu wa mkoa wa Mara Mh Mhandisi Gabriel Luhumbi amekagua miradi ambapo Mwenge wa uhuru utapita kuizindua ndani ya Wilaya ya Bunda Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na kituo Cha Afya Cha Nyamuswa (IKIZU), mradi wa Maji wa kihumbu Hunyari, mradi…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com