Mazingira FM
Mazingira FM
27 July 2023, 20:25
Walimu zingatieni sheria kwa sasa dunia ni ya utandawazi watu wanarekodi kila kitu na kutuma kwenye mitandao. Na Thomas Masalu Mkuu wa mkoa wa Mara, Mhe Said Mohamed Mtanda amewataka walimu kuzingatia sheria katika utekelezaji wao wa majukumu ili kuondoa…
27 July 2023, 18:44
Baada ya serikali kuitikia kilio cha wananchi wa Nyatwali kuhitaji kupata mahindi ya bei nafuu, mambo yamekwenda tofauti kilio kimebadilika. Na Edward Lucas Baada ya serikali kupeleka huduma ya mahindi ya bei nafuu kwa wananchi wa Nyatwali wilaya ya Bunda,…
23 July 2023, 21:35
Radio Mazingira Fm imefanikiwa kumtoa mshindi wa tuzo za EJAT zinazotolewa na baraza la habari Tanzania MCT ambaye ni Catherine Msafiri Madabuke. Na Adelinus Banenwa Catherine Msafiri Madabuke mtangazaji kutoka radio Mazingira fm ameibuka mshindi wa umahiri wa uandishi wa…
23 July 2023, 20:35
Mashabiki wa club ya Yanga wamesherekea kilele cha siku ya mwananchi kwa masikitiko baada ya miongoni mwa gari lililokuwa limebeba mashabiki wa timu hiyo mjini Bunda kupata ajali iliyosababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 14. Na Adelinus Banenwa…
21 July 2023, 21:12
Kuongeza magari, kuweka uzio wa waya na kuongeza vituo vya vikosi vya kudhibiti wanyamapori waharibifu ni miongoni mwa mikakati iliyojadiliwa katika kusaidia kilio cha wananchi wanaopakana na hifadhi ya Serengeti jimbo la Bunda. Na Edward Lucas Mkuu wa Wilaya ya…
21 July 2023, 18:26
Watumishi wanne wa idara ya afya pamoja na dereva wao wamenusurika kifo baada ya gari lao kuwaka moto wakati wanatoka kutoa huduma ya uzazi wa mpango mtaa wa Kinyambwiga kata ya Guta Halmashauri ya Bunda Mjini Na Adelinus Banenwa Watumishi…
18 July 2023, 21:42
Bulaya atembelea kituo cha watoto yatima na mazingira magumu St. Francis na kusaidia mahitaji mbalimbali kama sukari, mchele, unga na mafuta Na Edward Lucas Mbunge wa Viti Maalumu na ambaye pia amewahi kuwa Mbunge wa Bunda Mjini, Mh Ester Amos…
17 July 2023, 23:30
Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia katika matukio tofauti huku mwingine wa miaka miwili akinusurika kifo baada ya kuopolewa kwenye shimo la choo, msichana wa miaka 18 ambaye ana muda wa takribani miezi miwili tangu afike kwenye hiyo familia…
16 July 2023, 15:14
BAVICHA maadhimisho ya siku ya vijana Duniani yatafanyiaka Mwanza kauli mbiu kijana ijue na itambue nguvu yako, lengo ni kuwakutanisha vijana na badarishana mawaza ya fursa zilizopo. Na Adelinus Banenwa Baraza la vijana chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA wanatarajia…
16 July 2023, 12:28
Urasimu chanzo cha kusitishwa kwa mikopo ya asilimia kumi kutoka mapato ya ndani ya halmashauri ambapo serikali inaandaa mfumo mwwingine ambao makundi ya akina mama vija na wenye ulemavu watatumia kupata fedha hizo. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa serikali imeamua…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com