Mazingira FM

Recent posts

27 July 2023, 20:25

RC Mara: Walimu zingatieni sheria sasa hivi dunia ni ya utandawazi

Walimu zingatieni sheria kwa sasa dunia ni ya utandawazi watu wanarekodi kila kitu na kutuma kwenye mitandao. Na Thomas Masalu Mkuu wa mkoa wa Mara, Mhe Said  Mohamed  Mtanda amewataka walimu kuzingatia sheria katika utekelezaji wao wa majukumu ili kuondoa…

27 July 2023, 18:44

Mahindi ya bei nafuu bado hayajatibu uhaba wa chakula Nyatwali

Baada ya serikali kuitikia kilio cha wananchi wa Nyatwali kuhitaji kupata mahindi ya bei nafuu, mambo yamekwenda tofauti kilio kimebadilika. Na Edward Lucas Baada ya serikali kupeleka huduma ya mahindi ya bei nafuu kwa wananchi wa Nyatwali wilaya ya Bunda,…

23 July 2023, 21:35

Mazingira Fm yatoa mshindi tuzo za EJAT 2022

Radio Mazingira Fm imefanikiwa kumtoa mshindi wa tuzo za EJAT zinazotolewa na baraza la habari Tanzania MCT ambaye ni Catherine Msafiri Madabuke. Na Adelinus Banenwa Catherine Msafiri Madabuke mtangazaji kutoka radio Mazingira fm ameibuka mshindi wa umahiri wa uandishi wa…

23 July 2023, 20:35

Gari lililobeba mashabiki wa Yanga laua na kujeruhi Bunda

Mashabiki wa club ya Yanga wamesherekea kilele cha siku ya mwananchi kwa masikitiko baada ya miongoni mwa gari lililokuwa limebeba mashabiki wa timu hiyo mjini Bunda kupata ajali iliyosababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 14. Na Adelinus Banenwa…

21 July 2023, 21:12

Mikakati kupambana na wanyama waharibifu yawekwa wazi Bunda

Kuongeza magari, kuweka uzio wa waya na kuongeza vituo vya vikosi vya kudhibiti wanyamapori waharibifu ni miongoni mwa mikakati iliyojadiliwa katika kusaidia kilio cha wananchi wanaopakana na hifadhi ya Serengeti jimbo la Bunda. Na Edward Lucas Mkuu wa Wilaya ya…

18 July 2023, 21:42

Bulaya awashika mkono kituo cha kulea watoto yatima Bunda

Bulaya atembelea kituo cha watoto yatima na mazingira magumu St. Francis na kusaidia mahitaji mbalimbali kama sukari, mchele, unga na mafuta Na Edward Lucas Mbunge wa Viti Maalumu na ambaye pia amewahi kuwa Mbunge wa Bunda Mjini, Mh Ester Amos…

16 July 2023, 15:14

BAVICHA kuadhimisha siku ya vijana duniani mkoani Mwanza

BAVICHA maadhimisho ya siku ya vijana Duniani yatafanyiaka Mwanza kauli mbiu kijana ijue na itambue nguvu yako, lengo ni kuwakutanisha vijana na badarishana mawaza ya fursa zilizopo. Na Adelinus Banenwa Baraza la vijana  chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA wanatarajia…

16 July 2023, 12:28

Masaburi: urasimu chanzo kusitishwa mikopo ya halmashauri

Urasimu chanzo cha kusitishwa kwa mikopo ya asilimia kumi kutoka mapato ya ndani ya halmashauri ambapo serikali inaandaa mfumo mwwingine ambao makundi ya akina mama vija na wenye ulemavu watatumia kupata fedha hizo. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa serikali imeamua…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com