Mazingira FM

Recent posts

4 August 2023, 14:33

Namba 116 yasaidia kwa kiasi kikubwa utoaji wa taarifa za ukatili

Lengo la mafunzo haya kati ya vyama vya wenye ulemavu na waandishi wa habari ni kuweka mpango kazi wa pamoja na kuweka mapendekezo wa njia gani zitumike katika kutokomeza ukatili wa kijinsia katika jamii. Na Adelinus Banenwa Katika kukabiliana na…

3 August 2023, 15:23

Wenye ulemavu na wanahabari wakutanishwa elimu kupinga ukatili Mara

Dismas amewataka watu wenye ulemavu hasa wanawake na wasichana kujiona watu wa kawaida katika Jamii. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa waandishi wa habari kuelimisha Jamii juu ya madhara yatokanayo ya ukatili wa kijinsia katika Jamii hasa kwa kwa wanawake…

2 August 2023, 21:55

Bunda: Miili yote 13 yapatikana ajali ya mitumbwi Ziwa Victoria

28 walipata ajali 30 July 2023, wakanusurika 14 siku ya tukio , mtoto wa mwaka mmoja akapatikana akiwa amefariki na katika zoezi la utafutaji tarehe 1 August 2023 hadi kufikia saa 12:00 jioni wawili walikuwa wamepatikana na kufika asubuhi 2…

2 August 2023, 08:23

Breaking News: miili 10 mingine yapatikana ajali ya mitumbwi Bunda

Na Adelinus Banenwa Katika zoezi la utafutaji ya miili ya wanaoohofiwa kufa maji kwa ajali ya mitumbwi, hadi sasa miili 12 tayari imepatikana kati ya watu 13 waliotajwa kuzama katika ajali hiyo Baada ya miili miwili kupatikana hada jana jioni,…

1 August 2023, 20:11

Mwili mwingine wapatikana waliozama Ziwa Victoria

Mwili mwingine wa muumini wa kanisa la KTMK umepatikana jioni hii na kufanya jumla ya waliopatikana kufika wawili huku vifo vikifikia vitatu kati ya watu 28 waliokuwa kwenye mitubwi iliyozama. Na Adelinus Banenwa Katika zoezi la utafutaji wa miili ya…

31 July 2023, 20:52

Manusura ajali ya mitumbwi Bunda wasimulia hali ilivyokuwa

Vijana walionusurika kwenye ajali ya mitumbwi eneo la Mchigondo Bunda wasimulia hali ilivyokuwa baada ya mitumbwi kuzama na wao walivyonusurika huku wakiokoa watoto watatu. Na Adelinus Banenwa na Edward Lucas Joseph Kundi mkazi wa Bulomba alikuwa ni miongoni mwa wasafiri…

31 July 2023, 16:39

Bunda: Watu 13 wahofiwa kufariki dunia Ziwa Victoria

Watu 13 wanahofiwa kufariki dunia huku wengine 14 wakinusurika baada ya mitumbwi miwili kuzama Ziwa Victoria wakiwa wanatoka kanisani eneo la Mchigondo kata ya Igundu halmashauri ya wilaya ya Bunda. Na Adelinus Banenwa na Edward Lucas Watu 13 wanahofiwa kupoteza…

30 July 2023, 23:46

Wachimbaji wadogo wa madini Bunda wafunguka kinachowarudisha nyuma

Wachimbaji wadogowadogo walia kukosa msaada na kulazimika kutumia vifaa duni lakini wakati dhahabu inapopatikana ndipo viongozi wa serikali, mamlaka na wadau wengine hujitokeza kwa ajili ya mgao wa mali. Na Edward Lucas Utaratibu wa viongozi, wadau na mamlaka zingine za…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com