Mazingira FM
Mazingira FM
2 June 2023, 12:07 pm
Mahakama ya wilaya ya Bunda imemhukumu Masubugu Masubugu (32) mkazi wa Bunda mjini kifungo cha miaka thelathini jela na kuchapwa viboko 12 pamoja na kumlipa fidia mhanga kiasi cha shilingi milioni moja kwa kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa…
28 May 2023, 7:42 pm
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bunda Mhe Changwa Mkwazu amemaliza sintofahamu ya eneo la ujenzi wa shule ya sekondari katika Kijiji Cha Nyaburundu Kata ya Ketare Halmashauri ya wilaya ya Bunda. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika shule…
20 May 2023, 5:29 pm
Wananchi wa mtaa wa Mine kata ya Kabasa halmashauri ya jji wa Bunda mkoani Mara wameungana pamoja katika shughuli ya maendeleo kwa kujenga zahati ili kuondokana na changamoto ya huduma ya afya katika eneo hilo. Mwenyekiti wa kamati ya ujenzi…
17 May 2023, 6:42 pm
Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya ya Bunda kimesema hakuna mwenyekiti wa mtaa hata mmoja halmashauri ya Bunda mjini kurudisha muhuri huku kikitoa siku 14 kwa viongozi wa halmashauri ya mji wa Bunda kukutana na wenyeviti wa mitaa 88 kusikiliza kero…
17 May 2023, 6:23 pm
Upigaji wa faini kwa mifugo inayoingia katika maeneo ya hifadhi bado sio mwarobaini wa kukomesha vitendo vya wafugaji kuingiza mifugo katika maeneo ya hifadhi hususani katika kipindi cha kiangazi. Hayo yamesemwa na Kamishna Msaidizi wa Tanapa Kanda ya Magharibi, Albert…
13 May 2023, 5:24 pm
Wenyeviti wa mitaa 88 Halmashauri ya Mji wa Bunda watishia kujiuzuru waandamana kuelekea ofisi za Chama CCM wilaya. Tukio hilo la aina yake limetokea 12 May 2023 wilayani Bunda ambapo wenyeviti hao walionelana kuitaji uongozi wa chama huku wakiwa wamebeba…
12 May 2023, 8:03 am
Mahakani wilayani Bunda imemuhukumu kifungo Cha Maisha Jela Melkiadi Mgaya,umri 22years, mkulima,mkazi wa mtaa wa Balili Bunda kwa kosa la kumbaka mtoto wa Miaka 7 kwa nyakati tofauti. Kesi hiyo namba 238/2022 ya Kubaka, imetolewa hukumu May 10, 2023 Inaelezwa…
11 May 2023, 6:40 pm
Wakulima wa zao la pamba watauza pamba yao kwa bei ya ukomo isiyopungua 1060 kwa msimu wa mwaka 2022 na 2023. Hayo yamesema wa makaguzi wa zao la pamba wilayani Bunda Hemedi Kabea alipozungumza na Mazingira Fm iliyofika ofisini kwake…
10 May 2023, 11:16 am
Chama cha mapinduzi CCM wiayani Bunda kimewataka makatibu wa siasa na uenezi kuzingatia itifaki katika Kutekeleza majukumu yao hayo yamebainishwa vkatika semina elekezi ya kuwajengea uwezo makatibu hao wa siasa na uenezi ngazi ya kata kutoka kata 33 za wilaya…
10 May 2023, 10:56 am
Wito umetolewa kwa walengwa wa TASAF wilaya ya Bunda kuudhulia warsha za mafunzo ilikuwa na uelewa kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu malipo kwa familia hizo hayo yamesemwa na afisa ufuatiliaji TASAF wilayani Bunda Alex Kumwalu alipokuwa akizungumza na wanufaika wa TASAF…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com