Mazingira FM

Recent posts

12 November 2021, 5:38 pm

Shule ya msingi Bigutu yakabiliwa na upungufu wa madarasa

Shule ya msingi ya Bigutu iliyopo kata ya Bunda stoo Halmashauri ya Mji wa Bunda inakabiliwa na chambamoto mbalimbali kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi wanaosomea shuleni hapo Akizungumza na Mazingira fm mwalimu mkuu wa shule hiyo Yohana Albert amesema…

12 November 2021, 5:20 pm

Mbegu za pamba sasa wakulima kukopeshwa

Siku moja tangu utaratibu wa kugawa mbegu kwa wakulima kwa njia ya mkopo kuanza kwenye AMCOS ya Kunzugu mkulima mwezeshaji na katibu wa chama hicho cha ushirika amesema mbegu zote zimeisha kwa yale makampuni yaliyoleta fomu za kujaza wakulima wanaokopa…

10 November 2021, 8:58 pm

Bunda; Wakulima wa pamba waomba kukopeshwa pembejeo

Baadhi ya Wakulima wa zao la pamba kata ya Kunzugu Halmashauri ya Mji wa Bunda wameiomba serikali isimamie zoezi la usambazaji wa mbegu ya pamba kwa kuwakopesha wakulima kama ilivyokuwa msimu uliopita tofauti na utaratibu wa msimu huu unaowataka walipie…

10 November 2021, 8:45 pm

Maafali ya 1 shule ya sekondari Anthony Mtaka

Takribani wanafunzi 243 Shule ya sekondari Anthony Mtaka iliyopo Wilayani Busega Mkoani Simiyu wanatalajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nne  mwaka 2021 ambapo kati yao wavulana ni 104 Na wasichana ni 139 Kupitia risala ya wahitimu  kawe mgeni rasmi…

19 October 2021, 5:26 pm

Wananchi wa Tamau wapata kivuko kipya kilichogharimu 420000/Tsh

Uongozi wa serikali ya mtaa wa Tamau kata ya Nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda leo umekabidhi kivuko kipya kwa wananchi wa eneo la Tamau ujaluoni ili kurahisisha shughuli za uvukaji katika eneo hilo. Akikabidhi mtumbwi huo uliogharimu kiasi cha…

8 October 2021, 3:59 pm

Nassar:-Ruwasa simamieni suala bili za Maji ili mpanue mtandao wa maji

Jumuiya za watumiaji maji wilaya ya Bunda Mkoani Mara wametakiwa kusimamia ipasavyo miradi ya maji iliyo katika maeneo yao kwa kuhakikisha wanatumia vizuri pesa wanazo kusanya katika miradi hiyo.Agizo hilo limetolewa leo Oct.7. 2021 na mgeni rasmi ambaye ni mkuu…

5 October 2021, 3:01 pm

Apoteza maisha wakati akivuka mkondo wa maji wa ziwa Victoria

Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Dotto Mbogo au maarufu kama Mwanambogo mkazi wa Tamau kata ya Nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda amefariki dunia baada ya kuanguka na kufa maji katika mkondo wa mto Rubana na Ziwa Victoria. Mashuhuda…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com