Mazingira FM
Mazingira FM
26 August 2023, 21:24
Akutwa amejinyonga nyumbani kwa wazazi wake chanzo hakijajulikana aacha mke na watoto wawili Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Kija Hamis Machilu {29} mkazi wa Kitaramanka kata ya Sazira Bunda mjini amepoteza maisha kwa kujinyonga nyumbani kwa…
26 August 2023, 21:19
Watoto 3 wanusurika kifo nyumba ikiteketea kwa moto maeneo ya mtaa wa majengo kata ya kabarimu halmashauri ya mji wa Bunda mkoani mara huku chanzo kikitajwa ni mtoto kuchezea kiberiti. Na Adelinus Banenwa Watoto 3 wanusurika kifo nyumba ikiteketea kwa…
25 August 2023, 12:25
Na Edward Lucas Mkurugenzi wa Makumbusho ya Taifa ya Mwalimu Nyerere-Butiama Mkoani Mara, Emmanuel Kiondo awaasa wakazi wa mkoa wa Mara na Kanda ya Ziwa kuwa na tabia ya kutembelea vituo vya utalii Kiondo ametoa kauli hiyo Agosti 24, 2023…
24 August 2023, 23:41
Kupitia hafla ya kukabidhi sare kwa mabalozi wote wa CCM kata ya Bunda Stoo, CCM Wilaya ya Bunda yamwagia sifa Diwani Flavian kwa kukijenga chama na kusimamia shughuli za maendeleo katika kata hiyo Na Edward Lucas Katibu wa Siasa na…
24 August 2023, 15:54
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya…
24 August 2023, 13:44
Zoezi la ununuzi wa pamba linaelekea ukingoni na tayari kilo milioni saba na laki tatu na elfu hamsini na sita zimenunuliwa kutoka kwa wakulima wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya tani elfu 7 za pamba tayari zimenunuliwa katika vituo…
24 August 2023, 13:32
Mwili wa mtoto aliyekutwa amefariki dunia maeneo ya shule ya sekondary ya Ellys iliyoko mtaa wa Mbugani kata ya Manyamanyama halmashauri ya mji wa Bunda umetambuliwa. Na Adelinus Banenwa Mussa Iramba mkazi wa Hunyari ambaye ni baba mzazi wa mtoto…
23 August 2023, 15:44
Mtoto mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 10 hadi 12 amekutwa amefariki na mwili wake kutelekezwa katika jengo Moja la shule ya Elly’s iliyopo mtaa wa mbugani kata ya manyamanyama halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara…
23 August 2023, 00:03
Mtoto wa mwaka mmoja na miezi 6 Ismail Erasto amefariki dunia katika kifo cha kuhuzunisha na kusikitisha baada ya bodaboda kwenda kumtelekeza nje nyumbani kwa babu yake kijiji cha Mabuli wilaya ya Serengeti Na Edward Lucas Tukio la kusikitisha na…
22 August 2023, 16:11
Jeshi la polisi mkoa wa Mara linaendelea kumtafuta mhusika wa tukio hilo huku akibainisha baadhi ya vitu vilivyopotea katika nyumba ya marehemu vimekamatwa wilayani Serengeti. Na Adelinus Banenwa Jeshi la polisi mkoani Mara linamtafuta mwanaume mmoja anayetuhumiwa kumuua mwanamke aliyetajwa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com