Mazingira FM

Recent posts

12 September 2023, 17:10

WWF: Mto Mara ulindwe na utunzwe

Kupitia Maadhimisho ya 12 ya siku ya Mto Mara, Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF limeeleza mikakati linayoifanya kuulinda Mto Mara. Na Edward Lucas Wananchi mkoani Mara wametakiwa kuendelea kutunza rasilimali ya Mto Mara ili kuifanya kuwa endelevu.…

11 September 2023, 17:25

BUWSSA: Wizi wa maji Bunda haukubaliki

Tatizo la wizi wa maji ndani ya mji wa Bunda lipo na wanaendelea kukamata watu wote wanaojihusisha na wizi huo pia mamlaka haipendezwi na tabia hizo. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Bunda mkoani Mara kuacha tabia ya…

8 September 2023, 13:33

Ukosefu wa eneo la wazi chanzo cha ukosefu miradi Kata ya Bunda mjini

Mhe Mzamili diwani wa kata ya Bunda Mjini amesema kata ya Bunda Mjini ina eneo Moja tu la wazi la miti mirefu linalipatikana mtaa wa Mapinduzi ambalo kisheria haliruhusiwi kubadirishiwa matumizi Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa maeneo katika…

6 September 2023, 13:26

Kesi yatajwa kuchelewesha wakazi wa Nyatwali kuhama

Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vincent Naano amesema mchakato wa kuwaamisha wakazi wa Nyatwali huwenda ukakamilika mwishoni mwa mwezi wa tisa. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vincent Naano amesema mchakato wa kuwaamisha wakazi…

6 September 2023, 13:07

Mkurugenzi Bunda Mji aonya uchafuzi wa mazingira

Mkurugenzi Mkongo amesema wameazimia kutoa maelekezo kwa wafanyabiashara wote hasa wenye maduka kuwa na vitunza taka katika maeneo yao huku wamiliki wa baa na hoteli kuwa na vitunza taka vya aina tatu kwa ajili ya taka ngumu, zinazooza na chupa.…

31 August 2023, 11:13

Katibu tawala Bunda ateta na wakuu wa shule Bunda mji

Kiongozi bora halalamiki bali anatafuta ufumbuzi wa matatizo ya watu walio chini yake. kipimo cha uongozi ni jinsi gani kiongozi anaweza kuleta ushawishi kwa watu na kufikia maendeleo yaliyotarajiwa. Na Thomas Masalu Imeelezwa kuwa kipimo cha uongozi ni jinsi gani kiongozi anaweza kuleta ushawishi kwa watu na kufikia maendeleo yaliyotarajiwa. Kiongozi bora halalamiki bali…

29 August 2023, 10:41

Wananchi Butakale walia na huduma za maji, barabara

Wakazi wa mtaa wa Butakale kata ya Bunda Stoo halmashauri ya mji wa Bunda wamelalamikia changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama pamoja na changamoto ya tembo katika maeneo yao. Na Adelinus Banenwa Wakazi wa mtaa wa Butakale kata…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com