

22 June 2022, 7:47 am
Mkuu wa Mkoa wa Mara amewaomba wazee wa mkoa huo kusaidia kukemea ubinafsi ambao unapelekea kuwepo hali duni za maendeleo unasababishwa na baadhi ya wananchi na viongozi kukwamisha baadhi ya miradi inayoletwa na Serikali. Kauli hiyo ametoa wakati akizungumza…
21 June 2022, 7:27 am
Mbunge wa Bunda Mjini, Robert Chacha Maboto amesema suala la wananchi kuvumbua sehemu ya uchimbaji wa madini kisha wataalamu na wasimamizi wengine kutafuta watu wanakwenda kukata leseni bila kuwashirikisha wananchi wa eneo husika limekuwa likileta mgogoro mkubwa. Maboto ameyasema…
17 June 2022, 12:44 pm
Saidi Amiri Afisa Habari kutoka ofisi ya Taifa ya Takwimu Kwa mujibu wa ofisi ya Taifa ya Takwimu 85% ya wananchi tayari waishaanza kuwa na uelewa kuhusu zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 Hayo yamesemwa Leo…
16 June 2022, 11:12 pm
Wananchi wanashauriwa kutoa taarifa sahihi kwenye zoezi la sensa ya watu na makazi ili kuwezesha kupata Takwimu sahihi Hayo yamebainishwa Leo June 16, 2022 wakati wa mafunzo ya ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS kwa wahariri wa vyombo vya habari…
16 June 2022, 5:08 pm
*IRINGA* Mtandao wa redio za kijamii Tanzania TADIO kwa kushirikiana na ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS wamefanya mafunzo kwa wahariri wa vyombo vya habari vya kijamii nchini kwa lengo la kuwawezesha kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa zoezi…
28 April 2022, 1:18 pm
Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imemuhukumu kifungo cha miaka 2 gerezani na fidia ya sh. Laki tatu ndugu Maisha Ngoko maarufu kwa jina la Kishosha Ngoko 31 mkazi wa kijiji cha Kihumbu kwa kosa la kumjeruhi kwa kumkata…
28 April 2022, 1:10 pm
Kampuni ya Grumeti Fund wameshiriki zoezi la anwani za makazi kwa kuchangia kuto vibao vya anwani za makazi 31 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi million mbili Akizungumza katika makabidhiano hayo mwakirishi wa kampuni ya Grumeti Fund, Davidi Mwakipesile amesema…
26 April 2022, 7:24 pm
Machimbo ya kokoto Manyamanyama Mwanamume mmoja aliyetambulika kwa jina la James Mathias 40 mkazi wa Manyamanyama Halmashauri ya Mji wa Bunda amepoteza Maisha akitajwa kufukiwa na kifusi wakati akichimba kokoto kwenye machimbo ya kokoto Manyamanyama. Wakizungumza na Mazingira Fm mashuhuda…
25 April 2022, 9:07 am
Choo cha Mcharo iliyosababisha Zahanati kufugwa
21 April 2022, 5:37 pm
Ally Hashimu Hakimu ameibuka mshindi kwenye mashindano ya kutunza Quran tukufu wilaya ya Bunda mashindano hayop yamefanyika leo April 16, 2022 katika msikiti wa Ijumaa Bunda mjini ambayo yameandaliwa na Kamati ya Kukuza na Kueneza Uislamu Bunda huku mgeni…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com