Mazingira FM
Mazingira FM
18 July 2023, 9:42 pm
Bulaya atembelea kituo cha watoto yatima na mazingira magumu St. Francis na kusaidia mahitaji mbalimbali kama sukari, mchele, unga na mafuta Na Edward Lucas Mbunge wa Viti Maalumu na ambaye pia amewahi kuwa Mbunge wa Bunda Mjini, Mh Ester Amos…
17 July 2023, 11:30 pm
Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia katika matukio tofauti huku mwingine wa miaka miwili akinusurika kifo baada ya kuopolewa kwenye shimo la choo, msichana wa miaka 18 ambaye ana muda wa takribani miezi miwili tangu afike kwenye hiyo familia…
16 July 2023, 3:14 pm
BAVICHA maadhimisho ya siku ya vijana Duniani yatafanyiaka Mwanza kauli mbiu kijana ijue na itambue nguvu yako, lengo ni kuwakutanisha vijana na badarishana mawaza ya fursa zilizopo. Na Adelinus Banenwa Baraza la vijana chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA wanatarajia…
16 July 2023, 12:28 pm
Urasimu chanzo cha kusitishwa kwa mikopo ya asilimia kumi kutoka mapato ya ndani ya halmashauri ambapo serikali inaandaa mfumo mwwingine ambao makundi ya akina mama vija na wenye ulemavu watatumia kupata fedha hizo. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa serikali imeamua…
15 July 2023, 8:47 pm
Ili kuhakikisha vijana wanaendelea kujikwamua kimaisha wametakiwa kuchanagmkia fursa zinazotolewa na serikali ikiwa ni pamoja na kuomba mikopo ya asilimia kumi kutoka halmashauri. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana mkoani Mara kuchangamkia fursa zinazotolewa na serikali ili kujikwamua kimaisha…
14 July 2023, 1:04 pm
Baadhi ya wakaazi wa Nyatwali waanza kutumia nyaraka zao za tathmini ya fidia kuchukulia mikopo kwa ahadi ya kurejesha watakapolipwa huku wengine wakikata miti kwa ajili ya mkaa na kuuza ikielezwa ni kutokana na ugumu wa maisha. Na Edward Lucas…
13 July 2023, 9:49 am
Mbio za mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2023 katika halmashauri ya wilaya Bunda imetembelewa miradi 7 ambapo miongoni mwa shughuli zilizofanyika ni uteketezaji wa zana haramu za uvuvi ikiwa ni jitihada za kulinda na kutunza mazingira. Na Thomas Masalu Kiongozi…
12 July 2023, 3:07 pm
Mbio za mwenge kitaifa bado zinaendelea mkoani mara leo mbio hizo zipo halmashauri ya wilaya ya Bunda ambapo miradi takribani 7 imetembelewa katika hatua za uwekaji wa jiwe la msingi na mingine kuzinduliwa. Na Thomas Masalu Mwenge wa uhuru 2023…
11 July 2023, 10:54 am
Wananchi watakiwa kutowaficha watoto wenye mahitaji maalumu kwa kuwa sasa serikali inatoa nafasi kubwa kwao katika sekta ya elimu Na Adelinus Banenwa Wito umetokewa kwa jamii wazazi na walezi mjini Bunda kuwaibua watoto wenye mahitaji maalumu Ili waweze kupata elimu…
9 July 2023, 10:53 pm
Tangu kufunguliwa msimu wa pamba mwezi Mei 2023 bei haijaongezeka hata senti moja kutoka bei elekezi iliyotangazwa na serikali shilingi 1,060 kwa kilo moja. Na Edward Lucas Matumaini ya wakulima juu ya ushindani wa bei kwa kampuni za ununuzi wa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com