Mazingira FM
Mazingira FM
17 September 2023, 11:54
Na Edward Lucas “Ni shirika ambalo lipo Tanzania tangu miaka ya 1960 likifanya kazi hasa za Uhifadhi wa Wanyamapori lakini miaka ya 1990 liliongeza uwanda wa Uhifadhi na kuongeza programu za misitu, maji baridi, mazao ya bahari na nishati ”…
15 September 2023, 13:32
Na Edward Lucas Wadau wametakiwa kuwa na Ushirikiano ili kufanikisha juhudi na mikakati yote ya uhifadhi wa Bonde la Mto Mara kwa ajili ya uhifadhi endelevu. Wito huo umetolewa na Mratibu wa Programu za Maji Baridi kutoka WWF Tanzania, Eng.…
14 September 2023, 19:49
Wito umetolewa kwa wakulimakutumia teknolojia ya kilimo hifadhi ili kupata mazao mengi kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayoendelea kushuhudiwa duniani kwa sasa. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wakulimakutumia teknolojia ya kilimo hifadhi ili kupata mazao mengi kutokana…
14 September 2023, 19:31
Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya Bunda Betron Sokanya amesema kuwa upande wa mashtaka umethibitisha kosa na mahakama imethibitisha pasi na kuacha shaka lolote kuwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya Bunda imemuhukumu…
14 September 2023, 19:17
Mheshimiwa Ridhiwani Jakaya Kikwete ameagiza kufutwa mara moja mfumo wa ulipaji wa fedha kwa wanufaika wa TASAF kwa njia ya mitandao ya simu. Na Thomas Masalu Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala…
14 September 2023, 08:02
Kufuatia tukio la mwananchi kukamatwa na kuliwa na mamba, Mkuu wa mkoa wa Mara awasisitiza wananchi kutofanya shughuli zao ndani ya hifadhi ya mto Mara Na Edward Lucas Mkuu wa mkoa wa Mara, Said Mtanda amewasisitiza wananchi kutofanya shughuli zao…
13 September 2023, 23:59
Mamlaka za serikali na wadau wengine wa Mazingira wametakiwa kudhibiti matumizi ya maji yasiyoendelevu na kudhibiti vyanzo vya maji ili kuulinda Mto Mara Na Edward Lucas Maadhimisho ya 12 ya siku ya Mto Mara yamezinduliwa rasmi leo katika Viwanja vya…
13 September 2023, 18:05
Na Edward Lucas Mkuu wa mkoa wa Mara, Said Mtanda amelipongeza Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF na wadau wengine katika juhudi wanazozifanya katika kuulinda Mto Mara Mtanda ametoa kauli hiyo leo wakati wa zoezi la upandaji wa…
13 September 2023, 16:35
Viongozi wa Wilaya ya Serengeti na Tarime wasimamie sheria zilizowekwa ili kulinda vyanzo vya maji ya Mto Mara Na Edward Lucas Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda amewaagiza viongozi wa Wilaya ya Serengeti na Tarime kukaa pamoja na kusimamia…
12 September 2023, 23:24
WWF yaweka mpango wa kupanda miti 44,000 kando kando ya Mto Mara na kuweka alama au bikoni ili kuzuia shughuli za uharibifu katika vyanzo vya maji ya mto huo. Na Edward Lucas Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com