

23 August 2022, 7:32 am
Mbunge Jimbo la bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewahimiza wakazi wa Jimbo la Bunda Mjini kushiriki Sensa ya watu na makazi kikamilifu Akizungumza na redio Mazingira Fm Mhe Maboto amesema lengo kuu la sensa ya watu na makazi ni…
18 August 2022, 10:34 am
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Suleimani Mzee amefanya ziara katika Wilaya ya Bunda inayojumuisha Halmashauri 2 na majimbo matatu Akimkaribisha katika ziara hiyo mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh Joshua Nassar amesema kwa Wilaya ya Bunda kuna mafanikio mengi…
18 August 2022, 6:06 am
Viongozi wa dini,Vyama vya Siasa,Wazee wa mila na waandishi wa habari wameombwa kuunganisha nguvu na taasisi za Serikali kuhamasisha masuala ya Sensa ili watu wote waweze kujitokeza kuhesabiwa. Akitoa hamasa kwa makundi hayo Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali…
26 July 2022, 8:17 pm
Wakufunzi wa Sensa ngazi ya mkoa wa Mara wametakiwa kwenda kusisitiza suala la nidhamu kwa makarani watakaosimamia zoezi hilo. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa mkoa wa Mara,Ally Hapi,wakati akifunga mafunzo ya siku 21 kwa wakufunzi 296 wa ngazi…
22 July 2022, 6:17 am
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mheshimiwa Joshua Nassari amehitimisha zoezi la utoaji Elimu kuhusu kukabiliana na wanyamapori wakali pamoja na waharibifu kwa wakazi wanaozunguka Hifadhi ya Taifa ya Serengeti Ili kuepuka na kupunguza madhara yanayotokana wanyama hao. Akizungumza na…
19 July 2022, 1:03 pm
Watu wawili wanusurika kifo kwa kuungua moto wa maajabu uliotokea usiku saa 8 wakiwa wamelala. Tukio hilo la aina yake limetokea usiku wa kuamkia July 18, 2022 katika mtaa wa Majengo Mapya kata ya Nyamakokoto Halmashauri ya mji wa Bunda…
15 July 2022, 10:43 pm
Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mhe. Robert Chacha Maboto amegawa pikipiki 14 kwa vikundi vya waendesha pikipiki kutoka Katika kila Kata za Halmashauri ya Mji wa Bunda ndani ya Jimbo la Bunda Mjini Leo Tarehe 15.07.2022, Uwanja wa Sabasaba.…
15 July 2022, 8:26 pm
Wajumbe wa kikao cha WDC kata ya kabarimu walalamikia uongozi wa Tarura Bunda katika hatua ya kuondoa na kubadilisha majina ya vibao vya barabara katika zoezi la anuani za makazi huku wakidai linapelekea usumbufu mkubwa kwao Wakizungumza katika kikao kilichofanyika…
15 July 2022, 12:34 pm
Hayo yameelezwa wakati wa Baraza Maalumu la Halmashauri la kupitia Hoja za Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) tarehe 14.07.2022. Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally S. Hapi amewapongeza Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu kwa kusimamia vizuri Miradi inayoletwa na Serikali…
7 July 2022, 9:17 pm
Mwenge wa Uhuru uwapo katika Halmashauri ya Mji wa Bunda tarehe 05.07.2022 umetembelea na kukagua Miradi mbalimbali, Umeweka jiwe la Msingi na kuzindua Miradi nane yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 2.2. Miradi iliyozinduliwa ni madarasa matatu na Ofisi…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com