Mazingira FM
Mazingira FM
10 August 2023, 11:03 am
Pamoja na idadi hiyo ya tani za pamba ambazo zimeishanunuliwa kutoka kwa wakulima hadi wakati huu kuonekana ni ndogo lakini bado wakulima wanaendelea kuuza pamba yao katika vituo vya AMCOS hivyo kufanya mwaka huu kupiga hatua kubwa kulinganisha na miaka…
10 August 2023, 7:41 am
Wakulima kutumia teknolojia ili kukuza kilimo kama vile kujua ukubwa wa mashamba yao. Na Adelinus Banenwa Akifungua kikao kilichowakutanisha wataalam wa halmashauri zote mbili za wilaya ya Bunda katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewataka wakulima kutumia teknolojia ili…
6 August 2023, 10:29 pm
Taasisis ya bonde la Ziwa Victoria inayohudumia nchi zote ndani ya Afrika Mashariki tayari imeandaa mpango wa kusimika mitambo ya mawasiliano ziwani yenye thamani ya shilingi bilioni 60 pesa ya kitanzania itakayosaidia kutoa taarifa kwa changamoto yoyote itakayojitokeza kwa watu…
6 August 2023, 10:05 pm
Ghala la pamba linalomilikiwa na kampuni ya 4c limeteketea kwa moto huku likiwa na mzigo wa pamba ndani, hadi sasa haijulikani hasara ni kiasi gani. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Mhe Salumu Mtelela amesema hadi sasa haijulikani…
4 August 2023, 2:33 pm
Lengo la mafunzo haya kati ya vyama vya wenye ulemavu na waandishi wa habari ni kuweka mpango kazi wa pamoja na kuweka mapendekezo wa njia gani zitumike katika kutokomeza ukatili wa kijinsia katika jamii. Na Adelinus Banenwa Katika kukabiliana na…
3 August 2023, 3:23 pm
Dismas amewataka watu wenye ulemavu hasa wanawake na wasichana kujiona watu wa kawaida katika Jamii. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa waandishi wa habari kuelimisha Jamii juu ya madhara yatokanayo ya ukatili wa kijinsia katika Jamii hasa kwa kwa wanawake…
2 August 2023, 9:55 pm
28 walipata ajali 30 July 2023, wakanusurika 14 siku ya tukio , mtoto wa mwaka mmoja akapatikana akiwa amefariki na katika zoezi la utafutaji tarehe 1 August 2023 hadi kufikia saa 12:00 jioni wawili walikuwa wamepatikana na kufika asubuhi 2…
2 August 2023, 8:23 am
Na Adelinus Banenwa Katika zoezi la utafutaji ya miili ya wanaoohofiwa kufa maji kwa ajali ya mitumbwi, hadi sasa miili 12 tayari imepatikana kati ya watu 13 waliotajwa kuzama katika ajali hiyo Baada ya miili miwili kupatikana hada jana jioni,…
1 August 2023, 8:11 pm
Mwili mwingine wa muumini wa kanisa la KTMK umepatikana jioni hii na kufanya jumla ya waliopatikana kufika wawili huku vifo vikifikia vitatu kati ya watu 28 waliokuwa kwenye mitubwi iliyozama. Na Adelinus Banenwa Katika zoezi la utafutaji wa miili ya…
1 August 2023, 5:04 pm
Mwili mmoja umepatikana leo majira ya saa saba mchana katika zoezi la kuwatafuta watu 13 waliozama Ziwa Victoria kijiji cha Mchigondo kata ya Igundu Wilaya ya Bunda. Na Edward Lucas Mwili mmoja wapatikana kati ya 13 wanaoohofiwa kufa maji ziwa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com