

14 October 2022, 4:48 pm
Mkuu wa mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mzee ametatua mgogoro uliokuwepo kati ya wamiliki wa mashamba, wachimbaji Wadogo na wamiliki wa leseni ya uchimbaji wa madini mtaa wa Stooni Kata ya Guta halmashauri ya Mji wa Bunda. Rc Mzee…
10 October 2022, 8:01 am
Wananchi wa mitaa ya Zanzibar na Nyasura B kata ya Nyasura Halmashauri ya mji wa Bunda wamejitolea katika ujenzi wa madarasa mawili shule ya msingi Kilimani kutokana na uhaba uliopo shuleni hapo. Wakizungumza wakati wakichimba msingi tayari kwa kuanza…
25 September 2022, 8:58 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Joshua Nassar amezindua kambi ya matibabu kwa wangojwa katika hospitali ya wilaya ya Bunda Manyamanyama inayodhaminiwa na kamati ya kukuza na kuendeleza uislamu Tanzania Akizungummza katika uzinduzi huo mhe mkuu wa wilaya ameishukuru…
25 September 2022, 8:50 pm
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Jushua Nassar katikati katika semina ya TRA kwa wafanyabiashara Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Joshua Nassar amesema kuna haja na umuhimu mkubwa kwa wafanyabiashara kujua mabadiriko ya sheria ya Kodi ili kuondoa mkanganyiko baina…
13 September 2022, 7:49 am
Halmashauri ya Mji wa Bunda imepokea tani 30 za mahindi ya bei nafuu kutoka kwa wakala wa hifadhi ya chakula ya Taifa NFRA Akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake Katibu tawala Wilaya ya Bunda Salum halfani Mterela amesema…
9 September 2022, 12:39 pm
Baraza la madiwani halmashauli ya mji wa bunda limefanya kikao chake cha robo ya nne ya mwaka mbapo madiwani wameitaka halmashauri kuwashirikisha katika miradi ya maendeleo na kiwango cha fedha kinachotumika kutekeleza miradi hiyo Wakizungumza katika kikao hicho kilichofanyika katika…
9 September 2022, 12:25 pm
Tume ya Madini Mkoani Mara imesema tatizo la usalama wa wachimbaji wadogo wa Madini kutozingatiwa umesababisa mamlaka hiyo kufunga Baadhi ya Migodi ndani ya mkoa wa Mara Hayo yamesemwa na Joseph Kumbulu afisa Madini Mkoa wa Mara wakati akizungumza Mazingira…
2 September 2022, 9:07 am
Mtu mmoja ambaye ni dereva bodaboda aliyetambulika kwa jina la ISSA SAGUDA (22) mkazi wa Rubana kata ya Balili, Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara amekutwa amepoteza Maisha kwa kukatwa na kitu Chenye Ncha Kali shingoni na tumboni…
24 August 2022, 8:46 pm
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Joshua Nassar amekamata mapipa 32 ya lami yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 30 za kitanzania katika eneo la kiloleli nyamanguta Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Akiwa kituo Cha polisi Bunda Mhe Nassar…
24 August 2022, 8:40 pm
Mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya maji Bunda eng maisha amewataka wakazi wa Mji wa Bunda kuacha kuhujumu miundombinu ya maji ili kuebusha hasara kwa mamlaka na serikali Akizungumza na redio Mazingira Fm ofisini kwake eng maisha amesema matukio ya…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com