

22 October 2022, 8:28 pm
Sikika kwa kushirikiana TAKUKURU wilayani Bunda wameendesha mafunzo kwa kamati za ujenzi na mapokezi kwa lengo la kuzuia masuala ya rushwa wakati wa kutekeleza majukumu yao. Mafunzo hayo yamefanyika wilayani Bunda ambapo Sikika kwa kushirikiana na TAKUKURU chini ya mpango…
22 October 2022, 8:24 pm
Imeelezwa kuwa upungufu wa matundu 28 ya vyoo shule ya msingi balili A bado limekuwa changamoto katika shule hiyo. Hayo yamebainishwa katika risala ya wanafunzi wa darasa la saba katika mahafari yao ya kuhitimu elimu ya msingi yaliyofanyika leo…
22 October 2022, 8:18 pm
Katibu tawala Wilaya ya Bunda Mhe Salam Halfani Mterela amepokea tani 15 za mbegu za pamba kutoka Kampuni ya Muhamed interpraisess Mapokezi hayo yamefanyika Leo 19 Oct 2022 ofisini kwa mkuu wa Wilaya ambapo Katibu tawala amesema hadi hivi sasa…
22 October 2022, 8:14 pm
Katibu tawala wilaya wilaya ya bunda salum mterela amewahimiza wananchi wa wilaya ya bunda kutumia fullsa ya mahindi ya bei nafuu yaliyoletwa na serikali wilayani bunda. Mterela ameto msisitizo huo leo ofisini kwakwe wakati akiongea na vyombo vya habari ambapo…
22 October 2022, 8:09 pm
it katibu tawala wa wilaya ya Bunda mh. Salum Mtelela amesema ofisi ya mkuu wa wilaya ya Bunda itaongeza bajeti ya elimu ya watu wazima ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanafunzi wengi wanajiumga na elimu hiyo. Akizungumza kwa niaba ya…
14 October 2022, 5:23 pm
Diwani wa kata ya Ketare halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara ndugu Mramba Simba Nyamkinda ameahidi kutekeleza changamoto mbalimbali zilizopo katika shule ya sekondari Esperanto. Akizungumza wakati wa mahafali ya 8 ya kidato cha nne ya shule hiyo…
14 October 2022, 5:19 pm
Diwani wa kata ya Ketare ndani ya halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara Mhe Mramba Simba Nyamkinda amekabidhi vifaa vya shule mbalimbali vya shule kwa wanafunzi 19 wa shule ya msingi Ketare waliofanya vizuri katika mitihani ya nusu…
14 October 2022, 5:04 pm
Katibu Tawala Wilaya ya Bunda Moani Mara, Salumu Mtelela amepiga marufuku umoja wa Machinga kutoza faini wala kutoza ushuru katika masuala yanayohusu usafi wa Mazingira. Kauli hiyo ya Mtelela imekuja baada ya kupokea kero na malalamiko mbalimbali ya wafanyabiashara na…
14 October 2022, 5:01 pm
Vijana 72 kati ya 136 wameshindwa kuhitimu mafunzo ya jeshi la akiba ‘mgambo’ wilayani bunda mkoani mara 2022. Utovu wa Nidhamu, Utoro, Uelewa na Kutomudu gharama za kulipia sare ni moja ya changamoto zilizopelekea baadhi ya wanafunzi kushindwa kuhitimu mafunzo…
14 October 2022, 4:53 pm
Wito umetolewa kwa wanafunzi kujiepusha na masuala ya mahusiano ya kimapenzi angali wakiwa shuleni badala yake wajikite kwenye kusoma Hayo yamesemwa na katibu tawala wa Wilaya ya Bunda Mhe Salum Alfani Mterela wakati wa Ziara yake ambapo amezungumza na wanafunzi…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com