Mazingira FM
Mazingira FM
24 August 2023, 1:32 pm
Mwili wa mtoto aliyekutwa amefariki dunia maeneo ya shule ya sekondary ya Ellys iliyoko mtaa wa Mbugani kata ya Manyamanyama halmashauri ya mji wa Bunda umetambuliwa. Na Adelinus Banenwa Mussa Iramba mkazi wa Hunyari ambaye ni baba mzazi wa mtoto…
23 August 2023, 3:44 pm
Mtoto mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 10 hadi 12 amekutwa amefariki na mwili wake kutelekezwa katika jengo Moja la shule ya Elly’s iliyopo mtaa wa mbugani kata ya manyamanyama halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara…
23 August 2023, 12:03 am
Mtoto wa mwaka mmoja na miezi 6 Ismail Erasto amefariki dunia katika kifo cha kuhuzunisha na kusikitisha baada ya bodaboda kwenda kumtelekeza nje nyumbani kwa babu yake kijiji cha Mabuli wilaya ya Serengeti Na Edward Lucas Tukio la kusikitisha na…
22 August 2023, 4:11 pm
Jeshi la polisi mkoa wa Mara linaendelea kumtafuta mhusika wa tukio hilo huku akibainisha baadhi ya vitu vilivyopotea katika nyumba ya marehemu vimekamatwa wilayani Serengeti. Na Adelinus Banenwa Jeshi la polisi mkoani Mara linamtafuta mwanaume mmoja anayetuhumiwa kumuua mwanamke aliyetajwa…
22 August 2023, 3:21 pm
Changamoto ya uwepo wa huduma ya uhakika ya maji safi na salama inavyowatesa wakazi wa Balili katika kata ya Balili halmashauri ya Mji wa Bunda. Na Mussa Matutu na Samweli Erastus Wakazi wa mtaa Balili Stoo kata ya Balili halmashauri…
18 August 2023, 10:18 am
Suala la maji katika Mtaa wa idara ya maji hasa maeneo ya panda miti imekuwa ni kikwazo ambapo wamesema hulazimika kuamka usiku wa manane ili kwenda kufata maji. Na Adelinus Banenwa Wakazi Mtaa wa Idara ya Maji kata ya Bunda…
17 August 2023, 6:04 pm
“Serikali itusaidie kampuni ya ujenzi ya China iturekebishie nyumba zetu zilizoharibika wakati wakilipua miamba kutengenezea barabara ya Nyamuswa” wakazi wa Misisi wilaya ya Bunda Na Edward Lucas Wakazi wa mtaa wa Misisi kata ya Sazira Halmashauri ya Mji wa Bunda…
16 August 2023, 9:50 am
Bunda ni miongoni mwa wilaya zinaongoza kwa kutokuwa na vyoo mkoani Mara Na Thomas Masalu Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe. Dr,Vicent Naano amegiza kushughulikiwa kikamilifu suala la usafi wa mazingira hasa kuwa na vyoo bora majumbani ili kusaidia kupunguza…
13 August 2023, 3:26 pm
katibu tawala ameonesha kukerwa na kutoridhika na mahudhurio ya wajumbe katika kikao hicho ambapo kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa wakurugenzi iliwataka watendaji wote kutoka kata na 33 na mitaa na vijiji pamoja na maafisa ugani kuwepo katika kikao hicho…
10 August 2023, 1:14 pm
Wafugaji wanaona yapo manufaa makubwa kwenye uwekezaji wa bandari hivyo wanaunga mkono jitihada zote za serikali katika uwekezaji huo. Na Adelinus Banenwa Chama cha wafugaji Tanzania kupitia kwa mwenyekiti wake kimesema kinaunga mkono mkataba wa mashirikiano ya serikali na kampuni…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com