Mazingira FM
Mazingira FM
13 September 2023, 11:59 pm
Mamlaka za serikali na wadau wengine wa Mazingira wametakiwa kudhibiti matumizi ya maji yasiyoendelevu na kudhibiti vyanzo vya maji ili kuulinda Mto Mara Na Edward Lucas Maadhimisho ya 12 ya siku ya Mto Mara yamezinduliwa rasmi leo katika Viwanja vya…
13 September 2023, 6:05 pm
Na Edward Lucas Mkuu wa mkoa wa Mara, Said Mtanda amelipongeza Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF na wadau wengine katika juhudi wanazozifanya katika kuulinda Mto Mara Mtanda ametoa kauli hiyo leo wakati wa zoezi la upandaji wa…
13 September 2023, 4:35 pm
Viongozi wa Wilaya ya Serengeti na Tarime wasimamie sheria zilizowekwa ili kulinda vyanzo vya maji ya Mto Mara Na Edward Lucas Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda amewaagiza viongozi wa Wilaya ya Serengeti na Tarime kukaa pamoja na kusimamia…
12 September 2023, 11:24 pm
WWF yaweka mpango wa kupanda miti 44,000 kando kando ya Mto Mara na kuweka alama au bikoni ili kuzuia shughuli za uharibifu katika vyanzo vya maji ya mto huo. Na Edward Lucas Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF…
12 September 2023, 5:10 pm
Kupitia Maadhimisho ya 12 ya siku ya Mto Mara, Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF limeeleza mikakati linayoifanya kuulinda Mto Mara. Na Edward Lucas Wananchi mkoani Mara wametakiwa kuendelea kutunza rasilimali ya Mto Mara ili kuifanya kuwa endelevu.…
11 September 2023, 5:25 pm
Tatizo la wizi wa maji ndani ya mji wa Bunda lipo na wanaendelea kukamata watu wote wanaojihusisha na wizi huo pia mamlaka haipendezwi na tabia hizo. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Bunda mkoani Mara kuacha tabia ya…
8 September 2023, 1:40 pm
Chama Cha mapinduzi wilaya ya Bunda kimewaonya makada wa chama hicho walioanza kujipitisha katika mitaa, kata na majimbo kutaka nafasi za uongozi kwamba chama kitawachukulia hatua. Na Adelinus Banenwa Katibu wa siasa na uenezi chama Cha mapinduzi wilaya ya Bunda…
8 September 2023, 1:33 pm
Mhe Mzamili diwani wa kata ya Bunda Mjini amesema kata ya Bunda Mjini ina eneo Moja tu la wazi la miti mirefu linalipatikana mtaa wa Mapinduzi ambalo kisheria haliruhusiwi kubadirishiwa matumizi Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa maeneo katika…
6 September 2023, 1:26 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vincent Naano amesema mchakato wa kuwaamisha wakazi wa Nyatwali huwenda ukakamilika mwishoni mwa mwezi wa tisa. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vincent Naano amesema mchakato wa kuwaamisha wakazi…
6 September 2023, 1:07 pm
Mkurugenzi Mkongo amesema wameazimia kutoa maelekezo kwa wafanyabiashara wote hasa wenye maduka kuwa na vitunza taka katika maeneo yao huku wamiliki wa baa na hoteli kuwa na vitunza taka vya aina tatu kwa ajili ya taka ngumu, zinazooza na chupa.…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com