Mazingira FM

Recent posts

16 September 2021, 9:42 am

Aweso: aagiza matumizi bora ya maji ya mabonde ya mito

By Thomas Masalu Waziri wa maji mheshimiwa Jumaa Aweso ameagiza bodi za maji za mabonde nchini kuhakikisha wanaandaa mipango ya matumizi ya maji katika mabonde madogo ili kuhakikisha matumizi bora ya maji katika shughuli za kijamii na kiuchumi. Aweso ametoa…

10 September 2021, 10:12 am

Mh Mabotto: wananchi wa bunda mjini wamevumilia sana mradi wa maji

By Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda Mjini Mh Robert Chacha Mabotto  amewataka wananchi wa jimbo hilo kuendelea kuwa wavumilivu kwenye suala la mradi wa maji kwa kuwa bado anazidi kulipigania Akizungumza na Radio Mazingira FM kwa njia ya…

6 September 2021, 4:43 pm

Bunda: Tembo aua mmoja ajeruhi mmoja

By Adelinus Banenwa Kwandu Mtorogo (67) mkazi wa mtaa wa butakare kata ya bunda stoo wilayani bunda amepoteza maisha kwa kukanyagwa na tembo wakati anatoka kusenya kuni Tukio hilo limetokea leo sept 5, 2021 ambapo kwa mujibu wa mashuuda wamesema…

2 September 2021, 7:55 pm

Bunda; 4 Sept 2021 siku ya usafi wilaya nzima

By Hawa Mbulula Katibu tawala wa wilaya ya bunda Salum Mtelela ametoa wito kwa wananchi wote wa bunda kwa ujumla kuwa tarehe 4/9/2021 siku ya jumamosi ni siku ya usafi  mkoa wa mara Mteela ameyasema hayo leo sept 2 ,2021…

2 September 2021, 8:56 am

Aliyekuwa DC Bunda aagwa baada ya kustaafu

By Adelinus Banenwa Umoja wa watumishi Makada wilaya ya Bunda mkoani Mara,leo umefanya sherehe ya kumuaga aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Bunda mwalimu Lydia Bupilipili na kumkaribisha mkuu wa wilaya ya Bunda Mheshimiwa Joshua Nasarr. Akizungumza wakati wa kufungua sherehe…

6 July 2021, 6:35 pm

Dampo lawa kero kwa wakazi wa Migungani kata ya Bunda stoo

By Adelinus Banenwa Wananchi wa mtaa wa Migungani kata ya Bunda stoo Halmashauri ya Mji wa Bunda wameiomba serikali kuhamisha dampo la Migungani kutokana na kero kubwa wanazozipata Hayo wameyasema leo july 5, katika eneo la dampo la maji taka…

3 July 2021, 3:33 pm

Baraza la umoja wa Vijana UVCCM Wilaya ya Bunda

By Adelinus Banenwa Katibu wa Umoja wa Vijana UVCCM mkoa wa Mara Wambula Peresia amesema niwajibu wa madiwani na wabunge kuwawezesha Vijana hasa kwenye kuandaa mabaraza ya Wilaya Hayo ameyasema leo July 3, 2021 kwenye baraza la Vijana UVCCM Wilaya…

2 July 2021, 1:15 pm

Diwan wa kata ya Neruma wilayani Bunda kupitia CCM afariki dunia

by Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Neruma Mh. Alfred Maungo amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi Akizungumza na Mazingira fm Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mh. Charles Manunbu  amethibitisha kifo cha diwani huyo huku taarifa…