Mazingira FM

Recent posts

22 September 2023, 9:37 am

Wilaya ya Bunda yakamilisha kuunda jukwaa wakulima wadogo

Imeelezwa kuwa wilaya ya Bunda mkoani Mara, wamekamilisha uundaji wa jukwaa la wakulima wadogo lenye wadau mbalimbali akiwa ni pamoja na wakulima wenyewe. Na Thomas Masalu Imeelezwa kuwa wilaya ya Bunda mkoa wa Mara, wamekamilisha uundaji wa jukwaa la wakulima…

20 September 2023, 10:06 am

Majukwaa ya wakulima chachu Kwa wakulima wadogo

Kilimo kimeendelea kuwa muhimu katika kuchangia Pato la taifa (GDP) na uchumi wa nchi. Na Thomas Maswali Kilimo kimeendelea kuwa muhimu katika kuchangia Pato la taifa (GDP) na uchumi wa nchi. Katika mwaka 2019 mchango wa kilimo katika Pato la…

20 September 2023, 6:52 am

ESRF yazinoa radio jamii kuboresha huduma za afya nchini

Na Edward Lucas Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii ESRF Tanzania inaendesha mafunzo kwa waandishi wa habari wa Radio Jamii nchini ili kusaidia katika juhudi za kuboresha huduma za afya katika jamii. Mafunzo hayo ya siku 4 yameanza leo…

17 September 2023, 11:54 am

Dr. Lawrence Mbwambo aifafanua WWF kwa Naibu Waziri wa Maji

Na Edward Lucas “Ni shirika ambalo lipo Tanzania tangu miaka ya 1960 likifanya kazi hasa za Uhifadhi wa Wanyamapori lakini miaka ya 1990 liliongeza uwanda wa Uhifadhi na kuongeza programu za misitu, maji baridi, mazao ya bahari na nishati ”…

15 September 2023, 1:32 pm

Ujumbe wa WWF kwa wadau wa Uhifadhi

Na Edward Lucas Wadau wametakiwa kuwa na Ushirikiano ili kufanikisha juhudi na mikakati yote ya uhifadhi wa Bonde la Mto Mara kwa ajili ya uhifadhi endelevu. Wito huo umetolewa na Mratibu wa Programu za Maji Baridi kutoka WWF Tanzania, Eng.…

14 September 2023, 7:31 pm

Bila kuwepo mahakamani, ahukumiwa miaka 30 jela kwa kosa la kubaka

Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya Bunda Betron Sokanya amesema  kuwa upande wa mashtaka umethibitisha kosa na mahakama imethibitisha pasi na kuacha shaka lolote kuwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya Bunda imemuhukumu…

14 September 2023, 7:17 pm

Ziara ya Ridhiwani mkoani Mara yaondoka na waratibu wa TASAF

Mheshimiwa Ridhiwani Jakaya Kikwete ameagiza kufutwa mara moja mfumo wa ulipaji wa fedha kwa wanufaika wa TASAF kwa njia ya mitandao ya simu. Na Thomas Masalu Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala…

14 September 2023, 8:02 am

Serengeti: Aliwa na Mamba wakati akivuka Mto Mara kwenda Shambani

Kufuatia tukio la mwananchi kukamatwa na kuliwa na mamba, Mkuu wa mkoa wa Mara awasisitiza wananchi kutofanya shughuli zao ndani ya hifadhi ya mto Mara Na Edward Lucas Mkuu wa mkoa wa Mara, Said Mtanda amewasisitiza wananchi kutofanya shughuli zao…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com