Recent posts
19 October 2021, 5:26 pm
Wananchi wa Tamau wapata kivuko kipya kilichogharimu 420000/Tsh
Uongozi wa serikali ya mtaa wa Tamau kata ya Nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda leo umekabidhi kivuko kipya kwa wananchi wa eneo la Tamau ujaluoni ili kurahisisha shughuli za uvukaji katika eneo hilo. Akikabidhi mtumbwi huo uliogharimu kiasi cha…
8 October 2021, 3:59 pm
Nassar:-Ruwasa simamieni suala bili za Maji ili mpanue mtandao wa maji
Jumuiya za watumiaji maji wilaya ya Bunda Mkoani Mara wametakiwa kusimamia ipasavyo miradi ya maji iliyo katika maeneo yao kwa kuhakikisha wanatumia vizuri pesa wanazo kusanya katika miradi hiyo.Agizo hilo limetolewa leo Oct.7. 2021 na mgeni rasmi ambaye ni mkuu…
5 October 2021, 5:48 pm
Bunda:- Hofu ya mamba na viboko wananchi walazimika kutumia maji ya kwenye madim…
Kutokana na matukio ya mara kwa mara ya wananchi kujeruhiwa au kuuawa na mamba, baadhi ya wananchi wamelazimika kuwa wanatumia maji yaliyotuwama kando kando ya barabara kwa hofu ya kwenda Ziwani au Mtoni kutoka na matukio hayo. Mazingira Fm imeshuhudia…
5 October 2021, 4:50 pm
Siku ya Mwalimu Duniani: walimu waaswa kuendelea kusimamia nidhamu na elimu
Wito umetolewa kwa walimu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara kuendelea kusimamia nidhamu, elimu kwa wanafunzi na kuelimisha jamii inayo wazunguka hasa katika masuala ya ujenzi wa Taifa. Wito huo umetolewa leo na katibu msaidizi wa Tume ya utumishi wa…
5 October 2021, 3:01 pm
Apoteza maisha wakati akivuka mkondo wa maji wa ziwa Victoria
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Dotto Mbogo au maarufu kama Mwanambogo mkazi wa Tamau kata ya Nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda amefariki dunia baada ya kuanguka na kufa maji katika mkondo wa mto Rubana na Ziwa Victoria. Mashuhuda…
3 October 2021, 11:07 am
Ahofiwa kupoteza Maisha wakati akivua samaki ziwa Victoria
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Lugoye Ndimila (31) mkazi wa mtaa wa Kariakoo Kata ya Nyatwali Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara anasadikiwa kufariki duniani akiwa katika shughuli za uvuvi kando ya Ziwa Victoria usiku wa kuamkia tarehe…
29 September 2021, 10:22 am
Auawa kwa kisu kisa 1000 ya kamali
Ni Jumanne Jackson miaka 21 mkazi wa mtaa wa kabusule Kata ya Nyamakokoto Halmashauri ya Mji wa Bunda amechomwa kisu nakupoteza Maisha katika ugomvi wa kamali Tukio hilo limetokea September 28, 2021 majira ya jioni ambapo kwa kujibu wa mashuhuda…
28 September 2021, 4:48 pm
Wananchi wa Miembeni kata Bunda stoo wachimba Barabara kwa zana zao za asili
Wananchi wa mtaa wa Miembeni kata ya Bunda stoo Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara, wameamua kuchonga barabara za mitaa yao kwa kutumia zana za asili baada ya kukosa huduma hiyo kwa muda mrefu. Wakizungumza na Radio Mazingira fm…
28 September 2021, 4:26 pm
Mbunge wa Bunda mjini Robert Mabotto Afanya Ziara kata ya Nyasura
mbunge wa Jimbo la Bunda mjini Mh Robert Chacha Mabotto ametoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milion mbili kwenye gereza la Bunda lililoko kata ya Nyasura Halmashauri ya Mji wa Bunda katika Ziara hiyo mh Mabotto aliongozana na…
28 September 2021, 1:15 pm
Tamau: kamati yasiasa yakaa nakuamua
Akizungumza katika ufunguzi wa kikao hicho Mwenyekiti wa CCM tawi la Tamau, Matale Kikoi amesema ni kwa muda sasa kumekuwa hakuna mahusiano mazuri kati ya viongozi wa chama na serikali katika mtaa wa Tamau jambo linalokwamisha utekeleza wa shughuli za…