Recent posts
21 April 2022, 5:37 pm
mashindano ya Quran Bunda Ally Hashimu Hakimu aibuka mshindi
Ally Hashimu Hakimu ameibuka mshindi kwenye mashindano ya kutunza Quran tukufu wilaya ya Bunda mashindano hayop yamefanyika leo April 16, 2022 katika msikiti wa Ijumaa Bunda mjini ambayo yameandaliwa na Kamati ya Kukuza na Kueneza Uislamu Bunda huku mgeni…
15 March 2022, 5:27 pm
kutozingatia vipimo sahihi ndo changamoto ya upungufu wa Dawa kwa wakulima wa Pa…
Balozi wa Pamba nchini Tanzania Mh Agrey Mwanri amesema wakulima wa Pamba wamekuwa na malalamiko kuhusu upungufu wa Dawa kutokana na maeneo ya mashamba yao kutokuwa na vipimo sahihi Kauli hiyo ameitoa Leo 15 march 2022 katika siku ya tatu…
14 March 2022, 6:23 pm
Mwanri: kulima kwa mstari kutaongeza uzalishaji kwa wakulima wa Pamba
Balozi wa Pamba Tanzania Mh Agrey Mwanri amesema mwitikio wa wakulima wa zao la Pamba Wilayani Bunda wa kulima kwa mstari umekuwa mkubwa tofauti na ilivyokuwa zamani ambapo wakulima walikuwa wanalima kwa kulusha mbegu Hayo ameyasema Leo 14 march 2022…
13 March 2022, 10:32 pm
Bunda: waliochukua viuatilifu bila kuwa wakulima wapewa siku Saba kuvirudisha
Balozi wa Pamba nchini Tanzania Mh Agrey Mwanri ametoa wiki Moja kwa watu wote waliochukua viuatilifu vya zao la Pamba bila kuwa na mashamba kuweza kujisalimisha kwa viongozi wa zao la Pamba ngazi ya kata na WilayaAmetoa agizo hilo Leo…
10 March 2022, 8:20 pm
Bunda yajipanga kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi
Zaidi ya Bilion 3.4 zimetolewa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Bunda katika utekelezaji wa Mpango wa mabadiliko ya tabia ya nchi Akizungumza katika mafunzo maalumu ya usimamizi wa fedha za miradi yaliyofanyika Leo march 10, 2022 kwa Madiwani na wataalamu…
9 March 2022, 8:52 pm
Mh.Nassar: Azindua zoezi la Anwani za makazi Wilaya ya Bunda
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh Joshua Nassar amezindua rasmi zoezi la uwekaji wa anuani za makazi Hafla hiyo imefanyika viwanja vya stendi ya zamani Bunda mjini Leo march 9, 2022 Akizungumza kwenye uzinduzi huo mkuu wa Wilaya ya Bunda…
9 March 2022, 6:57 am
Mtangazaji wa Mazingira fm Tedy Thomas: atangazwa mwanamke shujaa Mkoa wa Mara k…
Wakati Dunia ikiadhimisha siku ya wanawake Duniani nchini Tanzania pia ni miongoni mwa mataifa yaliyoungana na Dunia kusherekea siku hii muhimu kwa kauli Mbiu isemayo *@Haki na usawa kwa maendeleo endelevu. Jitokeze kuhesabiwa#* Mkoani Mara Mwandishi wa Habari na mtangazaji…
8 March 2022, 9:36 am
UWT Bunda: watembelea hospital ya Manyamanyama kuwasalimia wanawake waliojifungu…
Kuelekea siku ya kilele Cha maadhimisho siku ya wanawake duniani march 8 jumuiya ya UWT wilaya ya Bunda na kamati ya utekelezaji chama Cha Mapinduzi wametembelea hospital ya Manyamanyama iliyopo Halmashauri ya Mji wa Bunda ili kuwaona wanawake waliojifungua katika…
8 March 2022, 7:49 am
Nassar: ili tumkomboe mwanamke inabidi tuanze na fikra Uchumi.
Halmashauri ya Mji wa Bunda imeadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ambayo kidunia huadhimishwa tarehe 08/03/2022. Katika Maadhimisho hayo, Mgeni rasmi ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Joshua Nassari amewapongeza wanawake wote wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya…
7 March 2022, 7:35 pm
Serengeti: kesi ya babu wawili waliobaka mjukuu kwa zamu mmoja akutwa na Hatia
HUKUMU YA KESI YA BABU WAWILI WALIOBAKA MJUKUU KWA ZAMU MMOJA AKUTWA NA HATIA SERENGETI.Mahakama ya Wilaya ya Serengeti imemhukumu Hamisi Maganga(50) mkazi wa kijiji cha Natta kutumikia kifungo cha miaka 30 na faini ya Sh1milioni kwa kosa la kubaka…