Mazingira FM
Mazingira FM
22 November 2023, 5:05 pm
Vichaka na kandokando ya ziwa vimeendelea kutumika kama vyoo jambo ambalo ni hatari kwa afya hasa kwa kipindi hiki cha mvua. Na Edward Lucas Wahudumu wa afya kijiji cha Bwai Musoma Vijijini walia na hatari ya magonjwa ya tumbo na…
22 November 2023, 9:00 am
Dinnah Matwiga (15) mwanafunzi wa kidato Cha kwanza shule ya Sekondari Pauljohn amefariki dunia kwa kugongwa na gari akielekea shuleni. Na Adelinus Banenwa Dinnah Matwiga (15) mwanafunzi wa kidato Cha kwanza shule ya Sekondari Pauljohn na mkazi wa mtaa wa…
21 November 2023, 8:42 pm
Kiasi Cha shilingi milioni 58 fedha za mfuko wa Jimbo zimepokelewa ndani ya Jimbo la Bunda Mjini. Na Adelinus Banenwa Kiasi Cha shilingi milioni 58 fedha za mfuko wa Jimbo zimepokelewa ndani ya Jimbo la Bunda Mjini Hayo yamesemwa na…
18 November 2023, 8:48 pm
Imeelezwa kuwa ukosefu wa maji safi na salama, upungufu wa mabweni Bado ni changamoto chuo Cha Maendeleo ya wananchi kisangwa FDC. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa maji safi na salama, upungufu wa mabweni Bado ni changamoto chuo Cha…
16 November 2023, 9:49 pm
Madiwani wakataa kuendelea na kikao wakiomba kupata taarifa za miradi mbalimbali inayotekelezwa ndani ya halmashauri. Na Edward Lucas. Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mkoani Mara, Mhe. Charles Manumbu ameahirisha kikao cha baraza hilo na kumwagiza…
12 November 2023, 7:43 pm
Wanafunzi wapatao 4953 kidato cha nne wanatarajia kuanza mtihani wa kuhitimu kidato cha nne wilayani Bunda kati yao wasichana ni 2470 na wavulana 2483. Na Adelinus Banenwa Wanafunzi wapatao 4953 kidato cha nne wanatarajia kuanza mtihani wa kuhitimu kidato cha…
12 November 2023, 12:36 pm
Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt. Vicent Naano ameipongeza Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Bunda kwa ubora wa miradi wanayoitekeleza. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt. Vicent Naano ameipongeza Mamlaka ya Maji na…
12 November 2023, 12:27 pm
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Bunda Ndg. Mayaya Abraham Magesse amewasihi wakazi wa Bunda kuomba kuunganishiwa maji kwenye makazi yao kutoka Mamlaka ya Maji Bunda. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Bunda Ndug. Mayaya Abraham Magesse amewasihi wakazi…
12 November 2023, 11:54 am
Idara ya Elimu Sekondari halmashauri ya mji wa Bunda imefanya hafla ya kuwapongeza walimu na wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya Kidato cha Nne na Sita mwaka 2022. Na Adelinus Banenwa Idara ya Elimu Sekondari halmashauri ya mji wa Bunda…
12 November 2023, 11:47 am
Dkt. Anney ameielekeza Halmashauri kufanyia kazi migogoro yote ya ardhi hasa iliyopo katika maeneo ya Taasisi kwa kulipa fidia wananchi waliohamishwa katika maeneo hayo. na adelinus Banenwa Dkt. Anney ameielekeza Halmashauri kufanyia kazi migogoro yote ya ardhi hasa iliyopo katika…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com