Mazingira FM
Mazingira FM
18 October 2023, 12:18 pm
Imeelezwa kuwa baadhi ya walimu wa shule ya Msingi Nyaburundu iliyopo kata ya Ketare halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara wamejiingiza katika siasa na kusahau wajibu wao shuleni. Na Thomas Masalu Imeelezwa kuwa baadhi ya walimu wa shule ya…
17 October 2023, 11:05 am
Shule ya sekondari Esperanto kufungiwa mfumo wa intarnet ili kusaidia ufundishaji na ujifunzaji kwa wanafunzi shuleni hapo. Na Avelina Sulus na Taro Michael Shule ya sekondari Esperanto kufungiwa mfumo wa intanet ili kusaidia ufundishaji na ujifunzaji kwa wanafunzi shuleni hapo.Hayo…
17 October 2023, 8:51 am
Mwenyekiti wa chama cha wafugaji Tanzania na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi shirika la NARCO Mhe Mlida Mshota ameziomba mamlaka kuainisha mipaka baina ya hifadhi na maeneo ya wafugaji ili kuepusha migogoro baina yao na wafugaji. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti…
14 October 2023, 7:26 pm
Vifaa vya shule vyenye thamani ya shilingi milioni 6 vimetolewa shule ya msingi Nyerere iliyopo kata ya Balili halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara na mwanafunzi aliyehitimu shuleni hapo Joseph Kiraryo. Na Adelinus Banenwa Vifaa vya shule vyenye thamani…
14 October 2023, 1:28 pm
Eng. Kambarage Wasira kwa kushirikiana na mdau wa maendeleo ndugu Eng.Gasper Mchanga wameahidi kuweka umeme katika madarasa 6 shule ya Sekondari Nyiendo iliyopo Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara. Na Adelinus Banenwa Mfumo wa umeme utakaogharimu shilingi milioni mbili…
13 October 2023, 11:40 am
“Takribani shilingi milioni 16 zinahitajika kufanyia maboresho baadhi ya mambo katika zahanati ya Kung’ombe na kufikia mwezi Disemba 2023 itaanza kutoa huduma” Na Edward Lucas Kufuatia kilio cha wananchi wa mtaa wa Kung’ombe Halmashauri ya Mji wa Bunda juu ya…
13 October 2023, 7:22 am
Kiasi cha shilingi million moja laki moja na elfu Arobaini na nne (1,144,000) zimetolewa na Ndugu Kambarage Wasira katika kutatua changamoto ya maji shule ya sekondari kunzugu leo kwenye mahafali ya kidato cha nne. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi…
12 October 2023, 5:14 pm
Zahanati ilizinduliwa na mbio za Mwenge wa Uhuru Julai 11 2023 lakini hadi sasa Oktoba 2023 bado haijaanza kazi, wananchi wapaza sauti kwa serikali. Na Edward Lucas Wakazi wa mtaa wa Kung’ombe Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara wameiomba…
7 October 2023, 12:56 pm
Na Taro M. Mujora Shule ya msingi Tingirima iliyopo halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imefanya mahafali ya 42 ya kuwaaga wanafunzi waliohitimu elimu ya msingi shuleni hapo. Mahafali hayo yamefanyika jana Oktoba 6,2023 shuleni hapo huku mgeni rasmi…
6 October 2023, 8:39 am
Mahafali ya kidato cha nne shule ya sekondari Kabasa, Kambarage Wasira akiwa mgeni rasmi atoa milioni moja (1,000,000/=Tsh) kukabili sehemu ya changamoto katika shule hiyo. Na Edward Lucas Ikiwa ni wiki moja imepita tangu Kambarage ashiriki mahafali ya darasa la…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com