Mazingira FM
Mazingira FM
17 July 2024, 20:11
Kwa uzalishaji wa umeme uliopo kwa sasa lazima kila mtanzania apate umeme kwa sababu umeme tunao wa akutosha Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto ametoa shilingi milioni 4 kwenye mtaa wa Kyaragwita kata…
15 July 2024, 21:27
Kamati ya ulinzi na usalama wilayani Bunda kwa kushirikiana na mamlaka ya dawa za kulevya Kanda ya Ziwa wamekata magunia 205 yanayodhaniwa kuwa dawa za kulevya. Na Edward Lucas Shehena ya magunia 205 yenye majani makavu yanayodhaniwa kuwa ni madawa…
15 July 2024, 21:00
Titizo la ukosefu wa walimu wa sayansi na adhabu kwa wanafunzi ambao wazai wao wanashindwa kupeleka chakula shuleni vyatawala mkutano wa mbunge wa Bunda mjini katika kata ya Sazira. Naa Adelinus Banenwa Wakazi wa kata ya sazira mtaa wa ligamba…
13 July 2024, 19:30
Wananchi Bunda wamekerwa na malipo ya kifuta jasho na kifuta machozi kutokana na madhira ya wanyama waharibifu kuchelewa, wamedai inawachukua hadi miaka mitano, Mbunge Maboto amewatuliza na kusema bunge limeagiza serikali kumaliza tatizo hilo. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa kata…
13 July 2024, 09:27
Kiasi cha shilingi milion 584 zimetolewa na serikali kujenga shule mpya ya sekondari katika kijiji cha Nyaburundu ambayo itasaidia wanafunzi kutoacha shule. Na Mariam Mramba Jumla ya shilingi milioni mia tano themanini na nne zimetolewa na serikali kwa ajili ya…
13 July 2024, 09:01
Suala la wajawazito na watoto chini ya miaka mitano kupata huduma bure hospitali za umma bado ni donda ndugu kutokana na malalamiko ya mara kwa mara kutoka kwa wananchi licha ya serikali kuendelea kusisitiza kuwa huduma kwa makundi hayo ni…
12 July 2024, 12:16
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewataka wananchi kuchagua viongozi waadilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa ambao watakaowaletea Maendeleo Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewataka wananchi kuchagua…
7 July 2024, 17:56
“Niko tayari kutetea nafasi yangu kwa kuwa kazi nilizozifanya ndani ya kipindi cha miaka mitano zinaonekana“ Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa Idara ya maji kata ya Bunda stoo halmashauri ya mji wa Bunda Ndugu Mtaki Bwire Ndama amesema atatetea nafasi…
7 July 2024, 16:08
Katika kipindi cha miaka mitatu serikali ya awamu ya sita imefanya mengi katika sekta ya mifugo ikiwemo ujenzi wa majosho, kuongeza bajeti ya wizara, ununuzi wa pembejeo za mifugo, uchimbaji wa mabwawa ya mifugo n.k. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa…
4 July 2024, 07:31
Mhe Esther Bulaya amvaa Mchungaji Msigwa asema kilichomfanya kuhama ni hasira za kushindwa uchaguzi wa kanda ya Nyasa. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa Viti maalumu CHADEMA Mhe Esther Amos Bulaya amesema Mchungaji Msigwa hakufanya vyema kuiponda CHADEMA baada ya kuhamia…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com