Mazingira FM
Mazingira FM
21 July 2024, 9:08 pm
Mwanamke mmoja ambaye hajajulikana, anadaiwa kutoa mimba inayokadiriwa kuwa na miezi mitano hadi sita na kisha kukitupa kiumbe hicho kwenye pipa la kutunzia taka Na Mussa Kagole na Fadhil Mramba Mwanamke mmoja ambaye hajajulikana, anadaiwa kutoa mimba inayokadiriwa kuwa na…
21 July 2024, 8:27 pm
Na Thomas Masalu Robert Chilare, mzazi wa mwanafunzi wa kike wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Mekomaliro, iliyoko kata ya Mihingo, wilaya ya Bunda, amemhamishia mtoto wake shule nyingine baada ya kuteswa mara kwa mara na mmoja wa…
19 July 2024, 8:28 pm
Wito umetolewa kwa wanawake kujitokeza kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wanawake kujitokeza kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi serikali za mitaa 2024 na uchaguzi…
17 July 2024, 8:31 pm
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewataka viongozi ngazi ya kata na mitaa kufafanua miradi inatoletwa na serikali katika maeneo yao kwa kuwa ni haki yao kuijua. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini…
17 July 2024, 8:11 pm
Kwa uzalishaji wa umeme uliopo kwa sasa lazima kila mtanzania apate umeme kwa sababu umeme tunao wa akutosha Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto ametoa shilingi milioni 4 kwenye mtaa wa Kyaragwita kata…
15 July 2024, 9:27 pm
Kamati ya ulinzi na usalama wilayani Bunda kwa kushirikiana na mamlaka ya dawa za kulevya Kanda ya Ziwa wamekata magunia 205 yanayodhaniwa kuwa dawa za kulevya. Na Edward Lucas Shehena ya magunia 205 yenye majani makavu yanayodhaniwa kuwa ni madawa…
15 July 2024, 9:00 pm
Titizo la ukosefu wa walimu wa sayansi na adhabu kwa wanafunzi ambao wazai wao wanashindwa kupeleka chakula shuleni vyatawala mkutano wa mbunge wa Bunda mjini katika kata ya Sazira. Naa Adelinus Banenwa Wakazi wa kata ya sazira mtaa wa ligamba…
13 July 2024, 7:30 pm
Wananchi Bunda wamekerwa na malipo ya kifuta jasho na kifuta machozi kutokana na madhira ya wanyama waharibifu kuchelewa, wamedai inawachukua hadi miaka mitano, Mbunge Maboto amewatuliza na kusema bunge limeagiza serikali kumaliza tatizo hilo. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa kata…
13 July 2024, 9:27 am
Kiasi cha shilingi milion 584 zimetolewa na serikali kujenga shule mpya ya sekondari katika kijiji cha Nyaburundu ambayo itasaidia wanafunzi kutoacha shule. Na Mariam Mramba Jumla ya shilingi milioni mia tano themanini na nne zimetolewa na serikali kwa ajili ya…
13 July 2024, 9:01 am
Suala la wajawazito na watoto chini ya miaka mitano kupata huduma bure hospitali za umma bado ni donda ndugu kutokana na malalamiko ya mara kwa mara kutoka kwa wananchi licha ya serikali kuendelea kusisitiza kuwa huduma kwa makundi hayo ni…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com