Mazingira FM

Recent posts

27 November 2024, 8:13 am

Bunda mji yazindua vitabulisho vya machinga

Wanaofanyabiashara kando ya barabara wanatakiwa kutoka hasa ukizingatia uwepo wao kwenye maeneo hayo ni hatari kwa usalama wao. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Naano azindua vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo maalufu kama machinga huku akiwataka walioko…

26 November 2024, 10:24 am

Esperanto sekondari yapokea vitabu vya kiesperanto

Jumuiya ya waongeaji wa kiesperanto wamesaidia miradi kadhaa kwenye shule ya Sekondari Esperanto ikiwemo ujenzi wa mabweni mawili ya wanafunzi wa kike, maktaba ya vitabu na kompyuta, nyumba sita za walimu, matundu ya vyoo vya wanafunzi, madarasa na miradi mingine…

24 November 2024, 6:58 pm

Bunda DC yafanikiwa kupanda miti elfu 27

Salumu Mtelela amezielekeza taasisi zote za serikali kuachana na matumizi ya mkaa na kuni badala yake wahakikishe wanatumia nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi na umeme. Na Adelinus Banenwa Katika kuendeleza kampeni ya Rais Samia Suluhu Hassan ya matumizi ya…

23 November 2024, 6:05 pm

TAKUKURU Mara yawaonya wagombea watoa rushwa

Baadhi ya matendo ambayo yakifanyika inatafsiri kuwa ni rushwa ni pamoja na ugawaji wa tisheti, kanga, shati, chumvi, sabuni sukari au sherehe kabla wakati na baada ya uchaguzi. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kutoa taarifa za vitendo vya…

23 November 2024, 3:04 pm

Mahafali ya 38 Kisangwa FDC tatizo la maji kubaki historia chuoni

Chuo cha Kisangwa kinatoa kozi za ufundi na ujuzi ambapo mwanafunzi akihitimu lazima awe na uwezo wa kufanya kitu. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa chuo cha Maendeleo ya wananchi Kisangwa (Kisangwa FDC) ameishukuru serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania…

22 November 2024, 1:29 pm

CCM yazindua kampeni Bunda, yasema Rais Samia kamaliza kila kitu

“Wananchi kuna kila sababu ya kuwachagua viongozi wa CCM kwa kuwa serikali inayoongozwa na CCM imefanya mengi na yanaonekana kuanzia sekta ya Afya maji, barabara, umeme, elimu n.k” Bi Joyce Mang’o. Na Adelinus Banenwa Chama cha mapinduzi wilaya ya Bunda…

22 November 2024, 1:03 pm

Mbunge Maboto akabidhi bima za afya kwa wazee 500 Bunda

hatua ya kuwakatia bima wazee hao ni sehemu ya ahadi yake aliyoitoa kuhakikisha mshahara wake wa ubunge unarudi kuwahudumia wananchi. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amekabidhi bima za afya wazee wapatao 500…

20 November 2024, 2:49 pm

Wananchi wapewa tahadhari kuhusu vishoka wa maji

Mara nyingi maunganisho mapya ya maji huwavutia vishoka hivyo wananchi wanatakiwa kuwa makini kwa kuwa BUWSSA haipokei fedha tasrimu kwenye maunganisho mapya ya maji Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira Bunda BUWSSA wamewataka wananchi kufuata utaratibu…

15 November 2024, 12:26 pm

BUFADESO wahaidi kuwa kinala maonesho ya kilimo mseto Mara

Baraka amesema kama walivyofanya miaka mingine nyuma na msimu huu wamejipanga kushinda katika maonesho hayo kutokana na ubora wa bidhaa zinazozalishwa na wakulima wao. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, inaendelea kujenga mazingira wezeshi…

14 November 2024, 7:56 pm

Diwani, DED wapongezwa na baraza Bunda DC

Ni kutokana na kudhibiti utoro na ukusanyaji wa mapato yaliyovuka lengo Na Adelinus Banenwa Baraza la madiwani halamshauri ya wilaya ya Bunda limempatia diwani wa kata ya Nyamuswa Mhe Ibrahim Mganga Igai kiasi cha shilingi laki tano kwa kuthibiti utoro…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com