Nuru FM

Recent posts

11 September 2022, 15:34

Tume kuundwa kufuatilia migogoro ya ardhi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa Kagera, Albert John Chalamila kuunda Tume maalum itakayopokea malalamiko ya ardhi yaliyokithiri katika Halmashauri ya wilaya ya Karagwe, Mkoani Kagera.…

11 September 2022, 15:33

Wazazi watakiwa kufanikisha Mabaraza ya Watoto

Rais, Samia Suluhu Hassan amewataka wazazi na walezi nchini, kuwaruhusu watoto wao kushiriki kwenye Mabaraza ya watoto yaliyopo katika ngazi za Kata hadi Taifa, ili kujenga vipaji vyao vinavyopatikana kwenye mabaraza hayo. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na…

7 September 2022, 07:12

EWURA Yatangaza Kushuka Kwa Bei Ya Mafuta Hapa Nchini

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini ambapo bei hizo zimeanza kutumika kuanzia leo Septemba 7, 2022. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka…

7 September 2022, 06:23

Bodi ya Utalii Kusini Yawahimiza Wadau Wa Utalii Kushiriki Onesho La S!TE

Wadau wa Utalii hapa Nchini wametakiwa kushiriki katika maonesho ya kimataifa ya Utalii yanayojulikana kwa jina la Swahili international Tourism Expo (S!TE) huko Jijini Dar es salaam. Akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake Mkoani Iringa, Afisa kutoka Bodi ya…

6 September 2022, 10:16

Karani Wa Sensa Aona Miti Badala Ya Nyumba-Tabora

Mratibu wa wa sensa katika Wilaya ya Igunga Ally Hemed amesema kwamba Karani  wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora,  alishindwa kuifikia kaya moja iliyopo katika kijiji cha Migelele, Kata ya Lugubu wilayani humo baada ya kuchezewa kiini macho na kuona miti kila…

6 September 2022, 10:13

Denis Lavagne kocha mpya Azam FC

Hatimaye Uongozi wa Azam FC umekamilisha mchakato wa kumpata Kocha Mkuu, baada ya kuvunja mkataba wa Kocha kutoka nchini Marekani Abdihamid Moallin mwishoni mwa mwezi Agosti. Azam FC imethibitisha kukamilisha mchakato wa Kocha huyo kupitia kurasa zake za Mitandao ya…

6 September 2022, 10:06

Kenya: Kenyatta ajipanga kumkabidhi Ruto ‘mikoba’

Rais Mteulewa Kenya, William Ruto anatarajiwa kuapishwa siku ya Jumanne, Septemba 13, 2022 baada ya Mahakama ya Juu Zaidi kutupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa urais katika uchaguzi uliofanyika Agosti 9. Sherehe hiyo, inafanyika siku ya saba tangu tarehe…

6 September 2022, 10:01

Madereva wapata elimu zoezi la ukaguzi magari ya Shule

Polisi Mkoa wa Arusha imefanya ukaguzi wa magari ya shule zaidi ya 150 na kutoa elimu kwa wamiliki wa shule na madereva wa magari hayo, toka maeneo mbalimbali jijini humo. Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha, Mrakibu…

5 September 2022, 05:06

IGP Wambura aonya tabia ya kujichukulia sheria mkononi

Mkuu wa jeshi la polisi nchini (IGP), Camillius Wambura amewaonya wanachi wa wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, kuwacha tabia ya kujilichukulia sheria mkononi kwa kuwaadhibu wahalifu ikiwemo ama kuwaua, na badala yake wawapeleke kwenya vyombo vya sheria. IGP Wambura, ametoa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.