Recent posts
13 October 2022, 05:43
EBOLA: Tuchukue Tahadhari Sahihi
Wataalamu wa Afya wametakiwa kujua ugonjwa wa Ebola na kuwaelimisha wengine ili kujua jinsi ya kujikinga pamoja na kuchukua tahadhari sahihi namna ya kukabiliana na ugonjwa huo. Hayo ameyasema Mganga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Urio Kusirye wakati akifungua…
13 October 2022, 05:32
TBS yatoa wito kwa wazalishaji na waingizaji wa mabati nchini kuzingatia viwango
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wazalishaji na waingizaji wa mabati nchini kuhakikisha wanazingatia viwango ili kuzalisha mabati bora. Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Kaimu Meneja wa Ukaguzi na Usimamizi wa Sheria TBS, Bw.Moses Mbambe amesema…
13 October 2022, 05:27
KINANA Ataja Mambo Manne Yaliyokuwa Yakisimamiwa Na Mwalimu NYERERE Ili Kuleta M…
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametaja mambo manne ambayo Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alikuwa akiyasimamia enzi ya uhai wake kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania. Kinana ameyataja mambo…
10 October 2022, 08:14
TAMCODE Yapinga Adhabu Ya Kifo …Yasema Bora Hukumu Ya Kifungo Cha Maisha
Shirika la Vyombo vya Habari kwa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TAMCODE) limetoa wito kwa Majaji kutoa hukumu ya kifungo cha maisha kwa washtakiwa wa mauaji badala ya kifo ili kuokoa watu wasiokuwa na hatia. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi…
8 October 2022, 07:39
Waziri Mkenda Ataka Chuo Cha DIT Kuongeza Mafunzo Kwenye Ujuzi Wa Bidhaa Za Ngoz…
Serikali imeitaka Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Saalam (DIT) kuhakikisha kuwa inaongeza ufundishaji kwenye ujuzi wa bidhaa za ngozi. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameyasema hayo wakati alipotembelea chuo hicho kampasi ya Mwanza ili…
5 October 2022, 05:16
Mwenyekiti Apora Ardhi Za Wananchi wa Mgera Mkoani Iringa,Atishia Kuwaua Wakilal…
Wananchi wa Kijiji cha Mgera kata ya Kiwele wilaya ya Iringa wamemlalamikia mwenyekiti wa Kijiji hicho kwa kuwapora ardhi ya wananchi kwa kutumia mabavu na madaraka aliyonayo ya kiungozi. Akizungumza kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan…
5 October 2022, 05:02
TBS Yafanya Mafunzo Kuhusu Kanuni Ya Ushirikiano Kati Ya TBS Na Halmashauri
SHIRIKA la Viwango Tanzania limefanya mafunzo ya Utekelezaji wa kanuni za Ushirikiano katika Utekelezaji wa Mamlaka na Majukumu baina ya TBS na Tamisemi yaliyotolewa kwa Maafisa Afya na Maafisa Biashara wa mkoa wa Dar es salaam. Akizungumza wakati akifungua Mafunzo…
4 October 2022, 09:17
RC Dendego Amefufua Shamba La Chai Kijiji Cha Kidabaga Wilaya Kilolo
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Halima Dendego amelifufua shamba la Chai lenye hekta zaidi ya elfu 3,000 katika Kijiji cha Kidabaga Kilichopo kata ya Dabada Wilaya ya Kilolo ambalo halikufanya uzalishaji kwa zaidi ya Miaka 30. Akiungumza katika mashamba…
26 September 2022, 13:47
Wanawake wawili Manyara wakamatwa na misokoto 1220 ya bangi
Kiasi cha misokoto 1220 cha madawa ya kulevya aina ya bangi kimekamatwa hapo jana na jeshi la polisi katika kijiji cha mswakini kilichopo wilayani Babati mkoani Manyara. Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa polisi mkoani humo, kamishna msaidizi wa…