Recent posts
18 April 2023, 14:10
Mbunge Midimu Aiomba Serikali kuwapatia Jokofu la Maiti na genereta Hospital ya…
Hospital ya Wilaya ya Itilima imekuwa ikitoa huduma za afya kwa wananchi wengi huku ikibaliwa na changamoto ambazo serikali imeombwa kuzitatua. Na Hafidh Ally Hospitali ya Wilaya ya Itilima iliyopo Mkoa wa Simiyu inakabiliwa na Changamoto ya ukosefu Jokofu la…
18 April 2023, 13:29
Mbunge Sitta aibana serikali kuwapatia watumishi kada ya Elimu na Afya Jimbo la…
Serikali imeombwa kuhakikisha inafikisha watumishi wa afya na elimu katika Jimbo la Urambo ili waweze kuwahudumia wananchi. Na Hafidh Ally Jimbo la Urambo Mkoani Tabora linakabiliwa na uhaba wa watumishi wa uma katika kada za afya na elimu jambo linalopelekea…
17 April 2023, 17:00
Mnec Asas apongezwa na Mbunge Kabati kwa kishiriki Miradi ya Maendeleo Iringa
Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Taifa Mkoa wa Iringa MNEC Salim Asas amekuwa akishiriki katika shughuli za miradi ya kimaendeleo Mkoani Iringa jambo ambalo linapaswa kuigwa na wadau wengine. Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Iringa Ritta…
17 April 2023, 16:41
Mbunge Kabati aiomba Serikali kukarabati Barabara korofi Iringa.
Wananchi wa Iringa wanashindwa kufanya shughuli za kiuchumi kutokana na ubovu wa miundombinu ya Barabara. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kukarabati barabara Korofi za Mkoani Iringa ambazo zimekuwa hazipiti katika kipindi cha Mvua ili kufungua shughuli za kiuchumi. Hayo yamezungumzwa…
17 April 2023, 13:40
Mustafa Hamad awa mshindi wa kuhifadhi Quran juzuu 25 nyanda za juu kusini
Mashindano ya kuhifadhi Quran Nyanda za juu kusini yalihusisha Mikoa ya Iringa Njombe na Dodoma kama Mgeni Mwalikwa huku vijana wakishindana kuanzia juzuu ya 1 mpaka ya 25 Iringa Mjini. Na Hafidh Ally Kijana Mustafa Hamad kutoka Madrasa ya DAR-…
17 April 2023, 12:08
Waziri Masauni awataka Wazazi kusimamia maadili kwa watoto
Maadili yameshuka kwa Kasi hivyo ni jukumu la wazazi na walezi kuwalea watoto kwa kufuata misingi ya Dini. Na Hafidh Ally Wazazi wametakiwa kuwale watoto katika Maadili Mema ili kuwaepusha watoto na matukio ya ukatili dhidi ya watoto yanayosababishwa na…
14 April 2023, 19:20
Mbunge Lupembe aishukuru serikali kwa fedha za madarasa na Vyoo Jimbo la Nsimbo
Fedha hizo zitasaidia kukamilisha miradi mbalimbali ya maendeleo katika Jamii. Na Halfan Akida Mbunge wa jimbo la Nsimbo, Mh Anna Lupembe ameishukuru serikali kwa kutoa bilioni 6.2 kwa ajili ya miradi ya maendeleo Nsimbo, mkoani katavi. Lupembe amesema hayo leo…
14 April 2023, 17:16
Makala ikielezea malezi bora kwa watoto
Package ikieleza wazazi manispaa ya Iringa wametakiwa kuishi kwa upendo na kuepusha migogoro ndani ya familia ili waweze kuwalea watoto wao katika malezi chanya.
14 April 2023, 16:59
Kabati aiomba Serikali Kufuta Kodi ya vifaa tiba.
Kodi za vifaa tiba zinapelekea vifaa hivyo kuchelewa bandarini kutokana na kutokuwepo kwa mpango mzuri wa kuviruhusu ili vikatoe huduma kwa wagonjwa. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kuweka mpango mkakati wa kuondoa Kodi ya vifaa tiba kutoka Bandarini ili viweze…
13 April 2023, 13:37
Mbunge Kabati aibana serikali kujenga kituo Cha afya Kimara Wilaya ya Kilolo
Wananchi Kata ya Kimara Wilaya ya Kilolo wanakutana na changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya kutokana na kutokuwepo kwa kituo Cha afya. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kujenga kituo cha afya katika Kata ya Kimara Wilaya ya…