Nuru FM

Recent posts

23 March 2022, 7:42 am

Muundo Wa Mitaala Waanza Kuandaliwa

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST) na Wizara ye Elimu na Mafunzo ya Amali (WEMA) kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Taasisi ya Elimu Zanzibar (TEZ) imekamilisha zoezi la kuchambua maoni ya wadau pamoja na kuandika ripoti ya…

15 March 2022, 7:51 am

Serikali yapokea vifaa tiba kutoka Ufaransa

Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa vifaa tiba kutoka Serikali ya Ufaransa, kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa UVIKO-19. Akipokea msaada huo kwa niaba ya Serikali, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Balozi Liberata Mulamula,…

31 October 2021, 7:01 pm

Mh. Kiswaga akabidhi viti 10 Tagamenda

Mbunge wa Jimbo la Kalenga Mh. Jackson Kiswaga amekabidhi Viti 10 vya plastiki katika kijiji cha Tagamenda baada ya kuahidi katika ziara zake za kikazi. Mh. Kiswaga ametoa viti hivyo mara baada ya kutembelea kijiji hicho na kukabidhi kwa mwenyekiti…

7 September 2021, 6:16 pm

Dc Moyo aonya watakaovujisha mitihani ya darasa la saba

Uongozi wa Halmshauri ya wilaya ya Iringa umesema kuwa Kuelekea mitihani ya Darasa la saba  ambayo itaanza kufanyika Sept 8 mwaka huu, vyombo vya ulinzi na usalama viko makini ili kuhakikisha mitihani inafanyika kwa amani. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.