Nuru FM
Nuru FM
24 June 2022, 07:56
WANANCHI wa Manispaa ya Singida wataondokana na kero ya maji kufuatia Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) kuanza kutekeleza mradi wa maji wenye thamani ya Sh.540 Milioni katika Manispaa hiyo. Mhandisi wa Ufundi wa SUWASA Mkoa…
24 June 2022, 07:52
Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga amesema Serikali imedhamiria kutumia vyanzo vya maji vya Mito na Maziwa ili kuongeza upatikanaji wa huduma ya maji kwenye maeneo yaliyo jirani na vyanzo hivyo. Ametoa kauli hiyo Mkoani Katavi Juni 23,…
20 June 2022, 11:53
SHIRIKA la kidini la Compassion International Tanzania limepongezwa kwa jitihada zake nzuri za kusaidia watoto na vijana walio na umri chini ya miaka 18 kiroho na kimwili ikiwemo kuwapa ujuzi utakaowasaidia kujikwamua kiuchumi. Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt…
19 June 2022, 17:01
Hatimaye mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Kanda ya Wilaya ya Kilolo imepeleka huduma ya maji safi ya bomba katika familia ya watu watatu wenye ulemavu iliyopo kijiji cha Lulanzi Kata ya Mtitu Mkoani Iringa. Akizungumza mara…
19 June 2022, 16:55
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amezitaka taasisi zote zenye dhamana ya masuala ya ardhi na makazi kuhakikisha zinaleta mikakati thabiti ya kutatua migogoro ya matumizi ya ardhi iliyoainishwa wakati wa utekelezaji wa zoezi la operesheni ya anwani za makazi. Ametoa wito…
19 June 2022, 16:51
Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo (DRC), imefunga mipaka yake yote na Rwanda huku hali ya mvutano kati ya nchi hizo mbili ukiendelea kuongezeka kufuatia madai ya Rwanda kuunga mkono waasi wa M23 wanaopigana na jeshi la DRC. Mbali…
19 June 2022, 16:47
Serikali imeingiza ugonjwa wa Sikoseli kwenye mpango mkakati wa kupambana na magonjwa yasiyoambukiza na kuhakikisha huduma za vipimo na matibabu zinapatikana katika vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya msingi. Hayo yamesemwa leo Juni 19 na Naibu Katibu Mkuu…
11 June 2022, 08:25
Kwa mujibu wa jeshi la Polisi katika kipindi cha Januari hadi Desemba mwaka 2020 kulikuwa na matukio 54 ya kuuawa kwa wazee nchini, lakini katika kipindi cha Januari hadi Desemba, 2021 hapakuwepo na tukio lolote la kuuawa kwa wazee nchini.…
11 June 2022, 08:17
BIDHAA mbalimbali za vyakula na vipodozi vyenye thamani takribani ya shilingi za Kitanzania milioni 7 zimeteketezwa katika dampo la Manispaa ya Mpanda baada ya kukutwa hazikidhi viwango kwa mujibu sheria ya Viwango Na 2 Sura 130. Bidhaa hizo zilizoteketezwa mjini…
11 June 2022, 08:13
Taasisi ya Utafiti wa Virusi nchini Uganda (UVRI), imetangaza kuwaweka katika uangalizi maalumu watu sita, wanaoshukiwa kuwa na ugonjwa wa Monkeypox. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Prof. Pantiano Kaleebu, amesema sampuli zilizochukuliwa kwa watu hao zimesafirishwa nchini Afrika ya…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.