Nuru FM

Recent posts

3 September 2024, 09:33

Mradi wa HEET kutatua changamoto ya upungufu wa hosteli MUCE

Ukosefu wa hosteli katika kada za elimu hapa nchini Tanzania imekuwa ni changamoto inayowakabili wanafunzi wengi jambo linalopelekea kushindwa kutimiza malengo yao. Na Adelphina Kutika Wanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) wameishukuru serikali kuwaletea mradi wa (HEET)…

30 August 2024, 10:27

Wenyeviti wa vijiji waaswa kusimamia miradi ya maendeleo

Na Adelphina Kutika na Ayoub Sanga Wenyeviti wa Serikali ya Vijiji katika Halmashauri za Iringa wametakiwa kusimamia miradi ya Wadau wa Maendeleo inayolenga vijana ili kuhakikisha utekelezaji wake unafanyika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa. Wito huo umetolewa na Afisa…

29 August 2024, 15:15

SOS Children Villagers latoa cherehani 14 kwa wasichana Mufindi

Na Joyce Buganda Shirika la SOS Childrens Villagers kupitia mradi wa binti bora limetoa vifaa vya saluni na cherehani 14 vyenye thamani ya shilingi milioni 5 na laki mbili ili kuwaendeleza wasichana hao kimaisha. Akizungumza wakati wa zoezi la utoaji…

26 August 2024, 10:06

CAMFED kuja na filamu kuhamasisha elimu kwa mtoto wa kike

Elimu ya watoto wa kike ni moja ya njia bora za kupunguza umaskini, mimba na ndoa za utotoni katika mataifa yanayostawi. Na Adelphina Kutika Wadau wa elimu mkoani Iringa wamelitaka shirika la Campaign for Female Education (CAMFED) kuisambaza kwenye jamii…

23 August 2024, 10:28

Wananchi wa Kikombo walalamikia ubovu wa barabara

Na Fredrick Siwale Wananchi wa Kijiji cha Kikombo Kilichopo Kata ya Isalavanu Halmashauri ya Mafinga Mji wamelalamikia ubovu wa barabara jambo linalopelekea kuwa na vumbi linalotarisha afya zao. Wakizungumza katika ziara ya kikazi ya Mbunge wa Jimbo la Mafinga Cossato…

20 August 2024, 09:57

Madiwani Mafinga Mji wahoji uwepo maduka ya dawa karibu na hospitali

 Madiwani  Mafinga mji wamekazia Marufuku ya maduka binafsi ya dawa kuwa karibu na viunga vya hospitali za umma kuwa yanapaswa kuwa umbali usiopungua mita 500 kutoka hospitali ilipo sababu ikitajwa kuwa maduka hayo ya dawa yanahusika katika kuchochea upungufu wa…

20 August 2024, 09:48

Veta Iringa yahitimisha mafunzo kwa madereva zaidi 126

Na Adelphina Kutika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Mkoani Iringa kimehitimisha Mafunzo kwa Madereva wa Maroli 110 na Magari ya Abiria 16 ( PSV) kwa kipindi cha wiki Mbili lengo likiwa ni kupunguza ajali za barabarani. Akizungumza na Madereva hao…

19 August 2024, 21:12

Mtunzi: Msiwafiche watoto wenye ulemavu

Tabia ya kuwaficha watoto wenye ulemavu imendelea kukithiri katika Jamii jambo lililomuibua mganga Mkuu wa Wilaya ya iringa kukemea kitendo hicho. Na Joyce Buganda Wazazi mkoani Iringa wametakiwa kutowaficha watoto wenye changamoto ya ulemavu kwani kwa kufanya hivyo ni kuwanyima…

15 August 2024, 10:55

Sakata la nauli kupanda Mafinga Mji latua baraza la madiwani

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Barabarani Tanzania ndio yenye mamlaka ya kupandisha na kushusha nauli za usafiri wa uma jambo ambalo limekuwa tofauti katika Halmashauri ya mji Mafinga ambapo madereva ndio wametekeleza zoezi hilo. Na Hafidh Ally Siku chache…

14 August 2024, 08:20

Wakurugenzi Iringa kutenga bajeti ya program ya malezi PJT MMMAM

Utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto ( PJT-MMMAM) unaweza kutoa suluhisho la kudumu la changamoto inayokabili mkoa wa Iringa ya ukatili wa kijinsia, lishe, afya na malezi bora dhidi ya watoto…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.