Recent posts
12 January 2025, 11:37
Mbunge Kabati akabidhi baiskeli kwa mwenye Ulemavu Ibumu
Na Mwandishi wetu Watu wenye ulemavu mkoa wa Iringa wameendelea kunufaika na jitihada za mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa, Mh Dr. Ritta Kabati za kutoa vifaa saidizi katika kundi hilo. Kabati ameendelea kutoa vifaa saidizi kwa kukabidhi baiskeli…
12 January 2025, 11:17
USAID yapongezwa kwa kuwezesha vijana na wanawake Iringa
Na Godfrey Mengele Mkuu wa Wilaya ya Iringa Komred Kheri James ameipongeza USAID Tanzania kupitia Mradi wa Feed the Future Tanzania imarisha Sekta binafsi, pamoja na wadau wao Agriedo Hub kwa kuwezesha vikundi vya vijana na Wanawake wilayani humo. Akizungumza…
12 January 2025, 11:04
Iringa yajipanga kupandisha ufaulu
Na Adelphina Kutika Mkuu wa wilaya ya Iringa Komred Kheri James amewataka wadau wa elimu wilayani Iringa kujipanga kikamilifu ili kupandisha ufaulu na kusimamia malezi na maadili ya watoto. Komred Kheri James ameyasema hayo katika kikao kazi cha Wakuu wa…
12 January 2025, 10:57
Wananchi Iringa waaswa kuacha tabia ya kufungulia maji taka
Na Zahara Said na Halima Abdallah Ikiwa tupo katika msimu wa mvua, wananchi Manispaa ya Iringa wametakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kuacha kufungulia maji taka ili kuepukana na magonjwa ya mlipuko hasa kipindu pindu. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya wananchi…
31 December 2024, 10:01
Iringa wakusanyika kuenzi utamaduni wa Wahehe
Na Adelphina Kutika Wakazi wa Kijiji cha Lusinga, Kata ya Dabaga, Wilaya ya Kilolo, wanaoishi katika mikoa mbalimbali ya Tanzania, wamekusanyika kwenye kijiji hicho kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka kwa lengo la kukumbushana malezi bora na maadili yenye misingi…
24 December 2024, 08:55
Wananchi 4,610 wapatiwa msaada wa Kisheria Iringa
Na Godfrey Mengele Takribani wananchi 4,610 wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wamefaidika na kampeni ya Msaada wa kisheria ya mama Samia iliyokuwa na lengo la kuwasaidia wananchi utatuzi wa kisheria wa masuala mbalimbali Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa wilaya…
19 December 2024, 09:09
Madereva Iringa waaswa kuongeza umakini barabarani
Na Zahara Said na Halima Abdallah Kuelekea sikukuu za Mwisho wa Mwaka, Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa limewataka madereva kuwa makini pindi wanapoendesha vyombo vya moto ili kupunguza ajali barabarani. Hayo yamezungumwa na Mtahini wa…
19 December 2024, 09:01
INEC yasisitiza uwazi katika uboreshaji daftari la mpiga kura
Na Hafidh Ally Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeeleza kuwa uwepo wa mawakala kwenye vituo vya kuandikisha wapiga kura ni kielelezo cha uwazi na haki katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Akizungumza wakati…
16 December 2024, 12:54
Jaji Mbarouk: Jitokezeni kuboresha taarifa katika daftari la mpiga kura
Na Hafidh Ally Tume huru ya Taifa ya uchaguzi imewataka wananchi Mkoani Iringa kutojiandikisha zaidi ya mara moja katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajia kuanza Dec 27 mwaka huu. Akizungumza katika mkutano wa Tume…
16 December 2024, 10:27
Askari polisi Iringa asakwa kwa tuhuma za mauaji
Na Ayoub Sanga Jeshi Polisi Mkoa wa Iringa linawatafuta Askari namba F. 4987 Sajenti Rogers Joshua Mmari wa kituo cha Polisi Ipogolo na Askari wa Jeshi la Akiba (Mgambo) Thomas Mkembela kwa tuhuma za kumuua Nashon Kiyeyeu (23) Mkazi wa…