

6 March 2025, 18:13
Mwalimu ni mtu anayesaidia wengine kupata ujuzi, maarifa na tunu ambapo kazi hiyo inaweza kufanywa na yeyote katika nafasi maalum, mfano mzazi au ndugu akimfundisha mtoto nyumbani, lakini kwa wengine ndio njia ya kupata riziki inayomdai karibu kila siku kwa…
6 March 2025, 09:47
Hali hii sasa imekuwa kawaida kwa madereva wa bajaji kuchukua hatua za kujiua kisa kushindwa kurejesha malengo kwa maboss zao,mamlaka ziingilie kati kuhusu mikataba ya ya madereva wengi Na Ezekiel Kamanga Siku chache baada ya dereva wa Bajaj mkazi wa…
5 March 2025, 17:51
Naibu waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi atimiza Hadi yake kusaidia ujenzi wa Bweni Na Hobokela Lwinga Siku chache baada ya Naibu Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi…
3 March 2025, 10:29
Wakati majeruhi wa ajali iliyotokea eneo la shamwengo Mbeya wakiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya kanda Mbeya wageni mbalimbali mashuhuri wanafika kuwajulia hali. Na Ezekiel Kamanga Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi amewatembelea majeruhi…
3 March 2025, 10:08
Katika kuadhimisha kilele cha siku ya mwanamke Duniani wanawake mkoani Mbeya watumia nafasi hiyo kuwatembelea wahitaji mbalimbli. Na Ezra Mwilwa Kuelekea siku ya mwanamke duniani Umoja wa kina mama mtaa wa Block D Ilomba wametembelea gereza la Ruanda upande wa…
3 March 2025, 09:22
Wanandoa mara zote huwa wanashauri kushirikiana pamoja katika maamuzi,hali hiyo imekuwa tofauti kwa ndoa za sasa. Na Ezekiel Kamanga Kijana George Arubati (29) mkazi wa mtaa wa Kanda ya Juu, kata ya Iduda jijini Mbeya amefariki dunia baada ya kudaiwa…
27 February 2025, 20:04
Mkoa wa Mbeya kushirikiana na chama cha mapinduzi wameshiriki kuaga miwili ya watu wa nne(4) walio fariki. Na Ezra Mwilwa NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John Mongella, leo tarehe 27 Februari 2025 ameongoza shughuli ya…
26 February 2025, 08:47
Matumizi mabaya na kutokufuata sheria za barabarani kumegharimu maisha ya wengi wasio na hatia,uzembe huu umekuwa ukisababishwa na madereva wasiotii alama za barabarani. Na Hobokela Lwinga Watu watatu wamefariki dunia akiwemo mwandishi wa habari wa kujitegemea mkoani Mbeya Furaha Simchimba…
24 February 2025, 18:18
Wananchi Mbeya wafurahia ujio wa msaada wa kisheria wa mama Samia legal aid uliozinduliwa February 24,2025. Na Hobokela Lwinga Msaada Wa Kisheria Kwa Maana Ya Legal Aid imezinduliwa Mkoani Mbeya ikiwa Ni Na lengo la Kutatua Changamoto za Kisheria ambazo…
23 February 2025, 20:25
Jumatatu ya tarehe February 24,2024 mkoa wa Mbeya unatarajia kuzindua kampeni ya msaada wa kisheria inayojulikana kama mama samia legal aid katika viwanja vya Ruanda Nzovwe jijini Mbeya. Na mwandishi wetu, Mbeya Wataalamu wa Utekelezaji wa Kampeni ya Msaada wa…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.