Baraka FM

Wakristo waaswa kutowanyanyapaa wenye maambukizi

29 May 2025, 19:16

Baadhi ya washiriki katika semina( picha na Hobokela Lwinga)

wakristo watakiwa kuacha kuwanyanyapaa watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi

Na Ezra Mwilwa

wito huo umetolewa na Askofu Robert Pangani amesema wameandaa mafunzo hayo yanayolenga kusaidia jamii zetu kuepukana na ongezeko la maambikizi mapya ya maambikizi mapya.

Askofu Robert Pangani (picha na Hobokela Lwinga)
Sauti ya Askofu Robert Pangani

katibu wa Idara ya Udiakonia Ndg Eliud Mahenge amesema wao kama idara wameona umuhimu wakuaanda semina hivyo ili kuelimisha kupunguza maambukizi mapya katika jamii

Eliud Mahenge katibu Idara ya Udiakonia (picha na Hobokela Lwinga)
Sauti ya Eliud Mahenge

mkufunzi Lulu Mpenja amesema kunawezekano wakupunguza maambikizi mapya pia kwa watu walio athirika waendelee kufuata miongozo iliyo wekwa nawataalamu wa Afya

Lulu Mpenja wakati akifundisha katika semina hiyo(picha na Hobokela Lwinga)
Sauti ya Lulu Mpenja