elimu
23 June 2026, 10:29 pm
Ubadilishaji wa mita za kisasa za umeme unaendelea
Zoezi la ubadilishaji wa mita za kisasa za umeme (Smart Meter) linaendelea katika Mkoa wa Manyara na sasa limeingia katika awamu ya pili ambapo linafanyika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Manyara kwa lengo la kuboresha huduma za umeme na…
5 June 2026, 6:28 pm
Manyara wahimizwa kukagua mifumo ya umeme
Wananchi mkoani Manyara wamehimizwa kuhakikisha wanakagua mifumo ya umeme katika nyumba, Taasisi na maeneo ya biashara mara kwa mara ili kubaini changamoto zinazoweza kujitokeza na kuzifanyia marekebisho kwa wakati. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na Afisa Uhusiano wa Shirika…
21 September 2025, 8:40 am
JKT Itaka wafundisha utengenezaji mkaa mbadala
Ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali la matumizi ya nishati safi Na Stephano Simbeye KIKOSI cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 845KJ Itaka wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kimeanza kufundisha jinsi ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia taka za shambani.…
7 July 2025, 12:19
Viongozi wa dini watakiwa kutokuwa na chuki
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Wesern Tanganyika amewataka wachungaji kuwatumikia kwa upendo. Na Hagai Ruyagila Wachungaji na viongozi wa Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Western Tanganyika (DWT), wametakiwa kuachana na roho ya chuki na migawanyiko miongoni mwao, badala…
21 March 2025, 17:23
Walimu Wilaya ya Kati wahimizwa kufanya tathmini mara kwa mara
Wilaya ya Kati. Walimu wanatakiwa kufanya tathmin mara kwa mara ili kufahamu wapi kuna Changamoto ili kuweza kuzitatua Changamoto hizo mapema kabla ya kufika muda wa kufanya mitihani ya Taifa. Hayo ameyasema Afisa Taaluma Sekondari Wilaya ya Kati HAMDU ZUBEIR…
6 February 2024, 10:54
Rungwe yafanya tathmini ya matokeo ya mitihani ya taifa 2023
Na mwandishi wetu Tathmini ya matokeo ya Mtihani wa taifa kidato cha pili na nne kwa mwaka 2023 imefanyika leo tarehe 2.2.2024 uliwakutanisha Viongozi kutoka idara ya elimu, wakuu wa shule za sekondari 45 Maafisa elimu kata kutoka katika kata…
3 February 2024, 7:23 pm
UWT Ludete yawapa tabasamu wanafunzi walioripoti bila sare
Jamii yashauriwa kuendelea kuwasaidia wanafunzi wanaoishi kwenye mazingira magumu ili waweze kutimiza ndoto zao. Na Mrisho Sadick: Wananchi kwa kushirikiana na Jumuiya ya umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Ludete wilayani Geita wamejitokeza kuwasaidia wanafunzi wanaoishi kwenye mazingira magumu…
3 February 2024, 4:47 pm
Hatimaye shule yanukia Serengeti Kyela
Baada ya kukosekana kwa shule za msingi na sekondari hatimaye wakaazi wa kata ya Serengeti hapa wilayani Kyela wanatarajia kuanza ujenzi wa shule baada ya kupatikana eneo. Na Masoud Maulid Kutokana na kilio cha muda mrefu kwa wananchi wa kata…
30 January 2024, 10:16 pm
Kyela:Wanafunzi zaidi ya 40 hawajaripoti Ngonga Sekondari
Wakati mhura mpya wa masomo ukianza rasmi hapa nchini Tanzania zaidi ya wanafunzi 40 hawajaripoti katika shule ya sekondari Ngonga kutokana na sababu zisizotambulika na mamlaka husika. Na Nsangatii Mwakipesile Mtendaji wa kata ya Ngonga Lutufyo Mwangamilo ametoa tahadhari ya…
25 January 2024, 5:52 pm
Walimu wanyang’anywa madawati, wakaa chini Geita
Kitendo cha walimu kunyang’anywa madawati waliyokuwa wakiyatumia kwenye ofisi yao kimezua mjadala. Na Mrisho Shabani – Geita Chama cha walimu Tanzania (CWT) wilayani Geita kimelaani kitendo cha serikali ya kijiji cha Nyansalala Kata ya Bukondo wilayani Geita cha kuwanyang’anya walimu…