Baraka FM
107.7 MHz
Forest ya zamani Mbeya mjini
0652587003
fmradiobaraka@gmail.com
http://www.Barakafm.co.tz
107.7 MHz
Forest ya zamani Mbeya mjini
0652587003
fmradiobaraka@gmail.com
http://www.Barakafm.co.tz
Jeshi la zimamoto limekuwa likitoa elimu ya matumizi ya vifaa vya kuzimia moto pindi unapotokea huku wakisisitiza utoaji wa taarifa mapema yanapotokea majanga hayo. Na Kelvin Lameck Moto mkubwa umezuka usiku wa kuamkia leo tarehe 4 April 2025 katika ghala…
17 February 2026, 15:46
Zao la nyuki linatajwa kuwa na faida mbalimbali za kiafya na kiuchumi. Na Hobokela Lwinga Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa za ufugaji wa nyuki kwa ajili ya kujiongezea kipato hali itakayopunguza malalamiko ya ukosefu wa ajira nchini. Rai hiyo imetolewa na…
16 February 2026, 19:54
Kanisa la Moravian Jimbo la kusini magharibi limeendelea kutelekeza miradi mbalimbali inayofadhiliwa na shirika la mission 21.Na Hobokela LwingaKanisa la Moravian Jimbo la kusini magharibi kupitia idara ya udiakonia kwa mwaka 2026 imetambulisha mradi mpya uitwao Gender justice project utaokaofanyika…
15 February 2026, 18:03
Wachungaji na waumini watakiwa kushirikiana katika ujenzi wa miundombinu ya kanisa kwa hali na mali. Na Hobokela Lwinga Mwenyekiti wa kanisa la Moravian wilaya ya Mbeya mchungaji Greenwell Sinkwembe amewataka Wakristo katika wilaya yake kujitoa kwa ajili ya kazi ya…
9 February 2026, 09:49
Baada ya uchaguzi wa viongozi mbalimbali wakimewo wenyeviti wa wilaya katika kanisa la Moravian Jimbo la kusini magharibi na wewe kisha kupangiwa vituo vya kazi,wilaya ya uyole imempokea mwenyekiti wake. Na Hobokela Lwinga Rasmi mwenyekiti wa wilaya ya Uyole Kanisa…
6 February 2026, 19:29
Kutokana nachangamoto ya uwingi wa wahitaji wa matibabu katika jamii viongozi Afya waja na mwarobaini wa kutatua changamoto hiyo. Na Ezra Mwilwa Jitihada za kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi, Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya kwa Kushirikiana na hospitali…
16 January 2026, 09:37
Mwili wa marehemu Zainabu Mwalyepelo umechukuliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi baada ya kukutwa ndani akiwa amefariki wiki tatu zilizopita. Na Ezekiel Kamanga Simanzi zimetawala kwa wakazi wa Mtaa wa Igodima Kata ya Iganzo Jijini Mbeya…
13 January 2026, 13:37
Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la misheni Iringa limepandishwa hadhi kutoka kuwa jimbo la misheni Iringa na kuwa jimbo kamili litakaloitwa kanisa la Moravian Tanzania jimbo la Iringa. Na Hobokela Lwinga Mkutano mkuu wa siondi ya kwanza kanisa la Moravian…
7 January 2026, 18:11
Ushirikiano ninguzo muhimu katika kunisaidie kutatua changamoto mbalimbli katika taasisi za serikali na binafsi. Na Ezra Mwilwa Benki ya NMB Makao Makuu Dar es Salaam, ukiongozwa na Hellen Lema Afisa Uhusiano na Ndugu Angumbwike Ngogo kutoka tawi la Mwanjelwa -Mbeya…
26 November 2025, 14:00
Ufundi stadi una umuhimu mkubwa katika kusaidia kunguza changamoto ya ajira kwa watu wengi. Na Hobokela Lwinga Wahitimu wa vyuo vya ufundi nchini wametakiwa kutumia fani zao walizosomea kwa kujiajiri ili kujiinua kiuchumi na kuachana na malalamiko ya ukosefu wa…
15 November 2025, 08:15
Kutokana na uzembe wa madereba barabara ajali zimezidi kukatisha uhai wa watu wengi Na Ezekiel Kamanga Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Agustino Senga, amethibitisha kutokea kwa ajali mbaya ya barabarani iliyoua mtu mmoja…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.